Aliyekuwa anakupeleka hotels kubwa na adventures ndio huyo huyo akuoe, tusipeane stress ukubwani

Aliyekuwa anakupeleka hotels kubwa na adventures ndio huyo huyo akuoe, tusipeane stress ukubwani

🤣🤣🤣🤣
Mpe mpee mkuu! Ikibidi na huu uzi mtumie link kabisa asikutanie!! Ujana ale na nani halafu uzee aje akustress!!!!
 
Wanawake kuna umri wakifika bila kuolewa unaweza kuwaonea huruma.
Labda awe na hela tu vinginevyo ataanza kuwaamkia hadi vichaa
Dogo. Hata akiwa na hela. Yuko tayari kupeleka mahari kwa wazazi wake uonekane wewe ndio umetoa. Yametoka mara nyingi tu. Ila akishakuweka ndani kwa ng'uu ndani na nje. Anakupiga kiburi siku yoyote lakini status alishaolewa.
 
Ushu sio kumpleka hotel, Wanaume mara nyingi tunakuwa na nia nzuri mwanzoni, sasa unakuta Mwanamke anachukulia kama umekwama kwake chochote utampa, anaamua kutafta kabwana kengine. Unakula pesa zangu nikijua unacheat hata siulizi nakuacha tu, ndio haooo mnasema wametelekezwa kumbe matatizo yao binafsi.
 
Wanawake wengi sana wana changamoto kubwa ambayo ni uwezo hafifu wa kuona potentials za mwanaume ili waji-commit. Wengi wanatumia wrong criteria ku-justify potentials za wanaume na kuacha uhalisia lakini mwishoni kilomita zikienda ndo wanajua ukweli.

Mwanamke akiona umependeza, una kiusafiri na unaweza kubadili restaurant za kumpeleka kwenda dinner atakuheshimu na anaweza kukusikiliza hata kama hauonyeshi maono ya kufika mbali. yupo radhi kukuvulia nguo unavyotaka. Ila ukiwa na maono nae na kwa bahati mbaya ukawa hujajipata hata kama unajituma kiasi gani ataishia kukudharau na kukupotezea.

Wengi hawaamini katika michakato. Bali wanapenda mafanikio na hawataki kusikia chochote kuhusu michakato ya kufika huko. Nitamheshimu sana mwanamke ambaye atanipenda, kuniridhia na kuamini katika jitihada zangu na akanitia moyo na kunishauri.
 
Simple as that. Tusilaumiane . Watu tunaoa tulio kuwa nao. Enzi hatuna kitu, and we still don't have enough , they still love and support us to this day. Mtu anashinda hotelini, Anashituka 30s analalamika amna mtu wakumuoa.
Aliyekuwa nakupeleka expensive hotels akuoe. Simple don't stress others.
Reap, what you sow.

To some, not every one. Nyie mlio twendwa na bata amkula poleni. You gave every thing God provides. Everything will turn alright
Aiseee🤣🤣
 
Ni mtazami tu,inaelekea hao waliokuwa wanampeleka outing,wameishiwa,wapo juu ya mawe!
Shemeji yenu nilianza kumpeleka outing na kula bata akiwa form six,ameingia chuo,mpaka anamaliza,ni kula bata tu,likizo tupo Zenj,wazazi was najua yupo campus,leo ndoa ina miaka 12!!
Msiwalaumu mabinti,hakuna anayetaka kuishi kwenye shida,tafuteni pesa,Binti kula bata za njemba,harsfu njemba ikafilisika,isionekane ni kosa,
Umemzidi miaka mingapi?
 
Kwahiyo kama relationship haisomeki ukae tu kisa ndoa. Au usile good times kisa huto olewa na huyo jamaa? Muda unavyozid kwenda ndoa haitokua priority tena kwa wadada itakua viceversa
Ndoa sio priority kwa wanaume kwa sasa. Sisi tushaanza nyie mtakuwa mmechelewa sana
 
Inategemea wewe mwanamke ulikuwa unaishi nae vipi huyo mwanaume kipindi anajitafuta. Ulikuwa unakaa nae kama umelazimishwa au unakaa nae kwa upendo na mapenzi ya hali ya juu hadi akajiona ana bahati ya nadra.

Unaishi na mwanaume hana pesa anajitafuta kila siku ni kutafuta hoja za kumlaumu. Mara akufumanie na sms unachat na jitu mnatakana huko akikumind unatishia kuondoka anaamua kuwa mpole ili asijekukosa hata wa kuishi nae ampe company.

Hauna lugha nzuri, unamuita kwa jina lake na wala sio majina ya mahaba. Haumuonyeshi heshima unaishi nae kama basi tu yaani bora liende na unamuonyesha ile taswira ya kuwa muda wowote ukizingua naweza kusepa nikakuacha mwenyewe uendelee kupambana na haya maisha. Mimi huko nje kuna wanaume wengi sana wananitaka.

Siku jamaa mambo yakianza mkamlia vizuri ukianza kujileta kwake unategemea ataanzaje kukupenda tena ya dhati ataanza kukukwepa na kukuona kero. Tunayaona haya ila ni vile wanaume huwa hatuongei sana ni watu wa matendo.

Usije ukaishi vibaya na mwanaume ukitegemea eti atasahau baadae atakuwa bwege. Wanaume tunawaheshimu na kuwapenda sana wanawake ambao wanahuruma sana na sisi na kututunzia heshima zetu pamoja na mali zetu.
Nataman ujumbe huu ausome mamaJ
 
Back
Top Bottom