Aliyekuwa askofu Konde aondolewa wakfu. Fimbo, msalaba na pete yake vyaondolewa wakfu pia. Sasa atabakia kuwa muumini wa kawaida

Ni nini wameamua kumdhihaki hivi.

Wameshindwa kumstahi hata kidogo mpaka wanamdhalilisha hivi.

Hivi vitu unaweza ona ni kawaida ila vinaumiza moyo.

Wao wana uhakika upi kuwa ni watumishi halali wa Bwana.
Ukitaka kulielewa hili vizuri ni kama Magufuli alivyomuondowa CAG Profesa Assad wakati hakuwa na mamlaka hayo kikatiba.

Hivyo basi Askofu wa mnyororo akishawekwa wakfu hakuna mwenye uwezo wa kumvuwa huo Uaskofu hilo halipo.

Kinachowezekana ni kumvuwa tu madaraka ya Kiaskofu kwenye dayosisi na mfano mzuri ni Askofu Mokiwa wa Anglican alivuliwa madaraka tu lakini bado ni Askofu.

Huwezi kumvuwa Jaji title yake, huwezi kumvuwa mwalimu tittle yake, kinachoendelea Konde ni bangi tu kuzidi kutuamsha kwamba dini ni biashara na hii ni vita ya kimaslahi.
 

Kuwa askofu tunakoelekea watu wafanye interview kuondoa upendeleo na malalamiko kwenye makanisa​

 
Hivyo basi Askofu wa mnyororo akishawekwa wakfu hakuna mwenye uwezo wa kumvuwa huo Uaskofu hilo halipo.
Lutheran lipo madhehebu hayalingani taratibu

Kuhusu title ya jaji unaweza vuliwa pia Tanzania pia iliwahi mvua mtu ujaji ila process yake kali inahusisha joo.la msjaji toka ndani na nje ya nchi

Alikutwa na makosa mazito akavuliwa title
Kuvuliwa hata degree waweza vuliwa zote.Mugabe alivuliwa digrii zake
 
Kabisa tena bangi linavutwa hadharani na boss wao Shoo! mambo ya ajabu kabisa
 
Ndio kingereza linaitwa Lutheran

Kiswahili linaitwa KKKT yaani Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)
Safi San Mkuu kwa maelezo mazuri,pia ni moja kati ya makanisa yanaunda Christian Council of Tanzania yaani CCT, ambayo ni KKKT, Moravian,Babtist na mengineyo.Ila Roman Catholic ipo chini ya TEC,Walokole yaani TAG,EAGT nk nao wana Umoja wao kama sikosei unaitwa EACT
 
Wakati Paulo akilitesa kanisa hakuwa Mkristo alipobadilika kuwa Mkristo ndio akawa vizuri sana

Mwaikali katesa kanisa akiwa Mkristo
Usimlinganishe na Paulo!!
Roho wa Mungu anayefanyakazi ndani ya Mwaikali kwa kumpa Uaskofu na aliyempa Paulo Utume alikuwepo hata kabla ya Ukristo. Matendo ya Paulo (akiwa Sauli) yalikuwa mafu kuliko ya Mwaikali.
 
Roho wa Mungu anayefanyakazi ndani ya Mwaikali kwa kumpa Uaskofu na aliyempa Paulo Utume alikuwepo hata kabla ya Ukristo. Matendo ya Paulo (akiwa Sauli) yalikuwa mafu kuliko ya Mwaikali.
Tatizo la Mwaikali ni moja tu hakutengeneza base nzito ya watu wa kula nao sadaka za kondoo wa bwana.

Unapokaa kwenye ulaji mkubwa ni lazima uwe na chawa wa kutosha tu wanaishi kwenye payroll yako, hii ndio kanuni ya kudumu kwenye ulaji.
 
Tatizo la Mwaikali ni moja tu hakutengeneza base nzito ya watu wa kula nao sadaka za kondoo wa bwana.

Unapokaa kwenye ulaji mkubwa ni lazima uwe na chawa wa kutosha tu wanaishi kwenye payroll yako, hii ndio kanuni ya kudumu kwenye ulaji.
Mwaikali na Shoo walianza ugomvi wao tangu wakiwa chuoni kugombania wanawake.
 
Ni nini wameamua kumdhihaki hivi.

Wameshindwa kumstahi hata kidogo mpaka wanamdhalilisha hivi.

Hivi vitu unaweza ona ni kawaida ila vinaumiza moyo.

Wao wana uhakika upi kuwa ni watumishi halali wa Bwana.
Atakuwa ana maneno ya SHOMBO Sana huyu Mwaikali!
Mnyaki atakuwa alitoa maneno Ka ya Mwakyembe hadi wajumbe, wakaona isiwe taabu, wakamchinjia baharini!
 
Wewe mburula, hizo ni taarifa zinapatikana kwenye public domains. Wengine sisi ni wanasheria tumehusika kwenye cases nyingi ya taasisi mbalimbali zikiwemo za dini hivyo tunajua.

Una akili ndogo sio rahisi kuelewa mambo mengi kwa wakati mmoja.
Mwanasheria wewe principle iliopo kwenye kesi ya Donogue vs Stevenson..yenyewe inatambua uwepo wa Mungu..wewe unajifanya nani kunifanya hautambui uwepo wa Mungu...🤣🤣🤣🤣
 
Huu mgogoro ni kituko kitupu, aibu kubwa sana hii
 
Tumemaliza kazi sisi KKKT

KWA UTARATIBUU Kabisa wa Kanisa letu.

Nakushauri Ndugu Mwaikali omba msamahaa la sivyo mwisho wako sio mzuri
Pamoja na kujifanya mnamiliki Imani na bado mnamtishia maisha yake.

Hakika CHUKIZO LA UHARIBIFU LIMESIMAMA MADHABAHUNI leo
 
Mwanasheria wewe principle iliopo kwenye kesi ya Donogue vs Stevenson..yenyewe inatambua uwepo wa Mungu..wewe unajifanya nani kunifanya hautambui uwepo wa Mungu...🤣🤣🤣🤣
Kesi kutambua uwepo wa mungu hiyo ni facts ama opinion ya Judges?

Kuna Judges opinion na facts, facts hua zinaletwa mahakamani kama exhibits ama evidences, mungu alietwa mahakamani?
 
Unawauliza watu wa mwilini kuhusu Ufalme wa Mungu?
 
Jibu rahisi tu watu ni walewale sema rc padre ana ndoa Wala kuwa mtoto hivyo ni ngumu kutokea unadhizilifu wa Mali za kanisa maana viingozi wamejifungamanisha na kanisa cyo familia zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…