TANZIA Aliyekuwa Askofu Mkuu wa TAG, Prof. Rainwell Mwenesongole wa Upanga CCC ametwaliwa na Bwana!

Kwa hiyo malengo makuu ya CCC ya kipindi hiki ni kuwa na miradi mikubwa ya kiuchumi kuliko kuhubiri injili tena?
Hongera zao!
Bora unisaidie kuuliza
Badala ya kuangalia kanisa linapanua VP huduma zake kufikia watu wengi zaidi wamjue Yesu
Watu wanawaza project zilizoavhwa na Mwwnisongole
Hawajui kanisa sii Mali ya mtu. Ni Mali ya Mungu
 
Mchungaji ysyote mwenye maono ya kazi ya Mungu na mwwnye nia ya dhati katika kumtumikia Mungu anawwza
Acheni propaganda
Mimi nashangaaa kanisa halijawahi kuwa Mali ya mtu ni Mali ya Mungu na washirika ndio waamuzi lakini wachungaji siku hizi ananunua kiwanja Cha kanisa anaandika jina lake inakuwa Mali yake Kwa sadaka za washirika
 
Huu ndio ujinga wa watu wengi
Ndii maan wachungaji wameacha kuhubiri injili ya kwwli wanawaza pesa TU
Waumini nao hvyohvyo
Hivi mnamuelewa Mungu vizuri
Mungu anapangiwa watumishi?
Kwani hakuwa na uwezo wa kumuwwka mwwnisongole amalizie miradi? Mbona amemchukua
Kanisa limeacha kuangalia misingi halisi ya kuwafundisha watu kutubu na kumeudi a Mungu wachungaji na waumini wanWaza miradi
Nilitegemea watu waseme kazi kubwa aliyoicha Mwwnisongole ya kuifkisha injili vijijini inatakiwa impate mchungaji makini lakini badala yake
Hahahaha
 
RIP kwa wafiwa ila huyu mzee nae nilianza kumsikia nikiwa shule ya msingi ,hivi hawa waheshimiwa wao hawana ukomo? kwani mara askofu mkuu TAG akaondoka mara papu mchungaji kiongozi CCC, wawe wanapumzika huu umungu mtu wa kuwa bila wao basi kanisa linakuwa si kanisa hauna tija, naona wengi wanajigeuzageuza tu mara askofu mkuu akitoka uaskofu mkuu anakuwa askofu wa jimbo yaani ni sawa na mtu alikuwa raisi ukiisha mhula wake anakuwa mbunge, akina Malasusa hadi leo wamekaza scrubu!
 
Hakika mkuu.

Huduma yake ilianzia Kinondoni A miaka ile ya 1979 kisha akahamia Kisutu girls kabla ya kujenga Kanisa kubwa hapo Olympio opposite na Mzumbe.
Hela ya waumini,kanisa la Mungu linakuwa kanisa la mtu binafsi,huu ndio ujasiriadini.
 
NaIfahamu shule kadhaa za sekindari za binafsi na za seeikali hapa Dsm wakati wa vipindi vyao vya dini hawana walimu wanaotoka makanisani kwenda mashuleni kufundisha dini
Watoto wanajiongoza ongoza TU ilimradi
Halafu wachungaji wamekaa TU makanisani kusubiri kuendesha miradi
Wanaona watoto hawana sadaka wanawaacha
Badala ya kuvuna roho zao Sasa
Biblia inaswma mles mtoto katika njianimpasayo .. ...
Halafu maadili yameporomoka
Wazazi hatuna maadili vyote hvyo hawavioni wanangangania miradi
Wengine wanasubiriu kuuza maji ya upako
Wachungaji angalieni roho za watu zaidi mengine mtazixishiwapppp
 
usihukumu na wewe urahukumiwa
 
Mwongo mkubwa wewe huwezi andika jina lako kiwanja Cha kanisa hutapata vibali vya ujenzi toka serikalini


UKijenga kanisa vibali vyote vya ujenzi lazima visomeke jina la kanisa na hutolewa ukishaambatanisha hati ya kiwanja yenye jina la kanisa


Au wewe unaongekea makanisa ya makuti ? Nani akupe kibali Cha kujenga kanisa kiwanja binafsi? hayupo.

Ukienda TU kuomba kibali Cha ujenzi wa kanisa lazima upeleke hati ya kiwanja inayosomeka jina la kanisa sio Jina lako binafsi Au la mkeo
 
Hela ya waumini,kanisa la Mungu linakuwa kanisa la mtu binafsi,huu ndio ujasiriadini.
La binafsi kivipi wakati hati zote haziko kwenye jina lake binafsi ziko Kwa jina la kanisa.Na akaunti zote za Benki ni za kanisa na zinasomamiwa na uongozi wa kanisa ? Hujui hata unachoongea
 
Bora unisaidie kuuliza
Badala ya kuangalia kanisa linapanua VP huduma zake kufikia watu wengi zaidi wamjue Yesu
Watu wanawaza project zilizoavhwa na Mwwnisongole
Hawajui kanisa sii Mali ya mtu. Ni Mali ya Mungu
Mungu aliyeagiza watu waokoke ndie huyo huyo ialiyeagiza kuijengewa mahekalu mazuri Ya kumwabudia
Kanisa linalojengwa si Mali binafsi ya mtu ni Mali ya Kanisa na Lina hati zote za kanisa sio binafsi


Kwa taarifa yako hata ukitoa kiwanja kanisa lijengwe utawajibika kwanza kubadili hati ya kiwanja isomeke jina la kanisa kabla kupata kibali Cha ujenzi toka serikalini

Hizo porojo za kusema sijui za kujenga kanisa la mtu ni habari za vijiweni kajaribu wewe kuomba vibali vya ujenzi wa kanisa kwenye kiwanja chako binafsi utagomewa utaambiwa badili jina na matumizi kwanza kisomeke Cha kanisa Kwa jina la kanisa na badili matumizi kutoka kuwa kiwanja Cha matumizi binafsi kuwa Cha kanisa
 
Ndugu yangu, acha kujifanya hujui yanayoendelea huko makanisani.

Nani asiyejua kuwa karibu 90% ya haya makanisa yamejengwa mitaani kwenye mazingira ya makazi ya watu na hakuna suala la vibali wala nini.

Nani asiyejua kuwa mengi ya haya makanisa yalipo sasa hapo awali yalikuwa yanatumika kwa shughuli zingine kisha yakabadilishwa matumizi. Mengine talikuwa magodauni, vilabu vya bonge, gereji, nyumba za watu nk.

Nani asiyejua kuwa mengi ya haya makanisa/madhehebu yalisajiriwa kama mali ya mtu (huduma yake binafsi) na ujenzi wa kanisa unabakia kuwa mali ya huduma, na huduma ni mali yake.
 
Ndugu yangu mambo yote ni pesa tu, wanakamua mpaka uzeeni, na wote wanabanana mjini tu.

Kuna mamia ya vijiji hapa Tz kumejaa upagani na wachungaji hawataki kwenda huko, wachungaji wengi wamebakia mjini kunyang'anyana kondoo walionona tu.
 
Neno hayati linatumiwa kwa wanajeshi na amir jeshi mkuu na wasaidizi wake wawili yaani makamu na waziri mkuu.

Wengine wote ni marehemu kwa heshima zao hapa duniani
Yaani binadamu kqa ubaguzi, mpaka marehemu tumewapa madaraja. Kuna marehemu daraja la heshima na marehemu kajamba nani.

Lakini wote wanaenda kuoza na kuwa fossils.
 
Unaongekea mambo ya zamani ambayo Kwa sasa hayana uhalisia Kwa asilimia 90 Kwa pande zote Kwa makanisa na misikiti .

Pili kumbi ziko Kwa ajili ya kukodiwa Kwa sherehe,au ibada hivyo usishangae kukuta ukumbi unatumiwa Kwa ibada Na pili godown kubadilishwa jengo la ibada pia si ajabu ni taratibu TU kufuatwa mfano kanisa la Efatha pale Mwenge ni kanisa kubwa sana lililonunua magodown na kubadilishwa na kupata vibali yatumike kama kanisa


Hata baa kubadilishwa kanisa au msikiti ni jambo zuri kwanza unaondoa haramu na kuweka halali na Kwa sababu lilikuwa jengo la watu wengi yaani walevi kulibadili kuwa kanisa wala sio kazi kubwa Kwa sababu tayari lilikuwa likitumiwa na watu wengi likiwa na huduma nyingi za kuhudumia watu wengi kama vyoo nk ni jengo la jamii ya watu wengi.Na ingependeza sana baa nyingi zigeuzwe kuwa majengo ya kuabudia
 
Ndugu yangu mambo yote ni pesa tu, wanakamua mpaka uzeeni, na wote wanabanana mjini tu.

Kuna mamia ya vijiji hapa Tz kumejaa upagani na wachungaji hawataki kwenda huko, wachungaji wengi wamebakia mjini kunyang'anyana kondoo walionona tu.
Nafikiri hata Biblia huijui vijijini kwenye upagani wanaotakiwa kwenda ni wainjilisti sio wachungaji!!

Eneo lenye upagani mwingi anayetakiwa kwenda ni mwinjilisti naona huelewi hata mpangilio wa huduma katika mwili wa Kristo Na kazi zao
 
Magufuli alitesa na kuua akina nani hao, lini na wapi? Thibitisha hilo kwanza. Mimi nikiropoka mbowe ni mbakaji haiwezi kua kweli mpaka nithibitishe unakaji wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…