TANZIA Aliyekuwa Askofu Mkuu wa TAG, Prof. Rainwell Mwenesongole wa Upanga CCC ametwaliwa na Bwana!

TANZIA Aliyekuwa Askofu Mkuu wa TAG, Prof. Rainwell Mwenesongole wa Upanga CCC ametwaliwa na Bwana!

Hiyo tafsiri yako kuwa Askofu ni mtumishi wa Mungu hivyo hapaswi kuwasemea na kuwatetea wanadamu ni tafsiri potofu kwa 100%.

Kama askofu hawezi kuwasemea na kuwatetea wanadamu wanaomzunguka huyo sio mtumishi wa Mungu bali ni tapeli wa kawaida sana kwa mgongo wa dini.

Wakati ule kanisa lake lilipokuwa linamsemea na kumpongeza Magufuli, halikujua kuwa Magufuli naye ni binadamu?

Utasemaje unampenda Mungu kama huwezi kumpenda jirani yako?
Kama kuna mamilioni ya watanzania wanateswa kwa dhuluma za Serikali, na wanakwenda kila jumapili kanisani kumlilia Mungu na kutoa sadaka zao, halafu wewe Askofu unapokea sadaka zao na kuzitafuna halafu hapo hapo unaogopa kufungua mdomo wako kuwasemea au kuwatetea watu hao dhidi ya serikali inayowatesa, wewe ni muovu mkubwa, na mbinguni unaweza usiingie.
Neno la Mungu linatutaka kuheshimu namlaka iliyo kuu kwa kuwa kila mamlaka imewekwa na Mungu.
Pia dini haipambanii mambo ya mwilini bali ya rohoni.
 
Ni kweli ugomvi haukuhusu uaskofu

Tatizo ni kanisa la TAG kutokujua matumizi ya karama na huduma
Moses Kulola alikuwa mwinjilisti maisha yake yote hajawahi omba kuwa awe mchungaji au Askofu na wala hakutamani hivyo vyeo aliridhika TU na kuwa mwinjilisti tena bure hata bila kulipwa hata mia akialikwa alilala maporini alisafiri Kwa miguu mikoa na mawilaya kibao

Akialikwa hakula hata chakula alifunga siku zote za mkutano akipewa kahela sawa asipopewa sawa Hakudai Kanisa lilikua kwa kiwango cha kutisha kipindi chake maelfu waliokoka si kwa sababu wana shida za maisha waliokoka watu wenye vyeo na maisha wasiohitajo maombi yeyote au huduma ya maombezi . Mfano Hadi Professor ISSA Shivji aliokoka kwenye huduma ya Moses Kulola

Tofauti na sasa waokokaji wengi wanachi shida au changamoto za maisha


kipindi cha Kulola wanaookoka walikuwa wengi kuliko wanaohitaji huduma za maombi au maombezi kama ilivyo sasa wahitaji huduma za maombi na maombezi wengi waokokaji wachache

Aliifanya TAG kuwa kanisa kubwa la kipentecoste pekee lililoogopwa Hadi na serikali


Ukaundwa mkakati wa kuliua na kulivunja vunja vipande .Moses Kulola akapewa uchungaji na umakamu Askofu vyeo visivyoendana na huduma na karama zake .Wakaanza kumbana afanye zaidi kazi za uchungaji na umakamu Askofu sio uinjilisti akawa mkaidi kuwa hataki wachungaji wengine wakamuunga mkono vita ikaanza kuwa wachumgaji sasa kanisa litakuwa linalipa mishahara wachumgaji hivyo kunakuja uhamisho
Wachungaji wakorofi wa maeneo kama kinondoni mchungaji Mhina na Temeke mchungaji Masalu nk wakawa wa kwanza kupewa barua za kuhama!!! Vita ikaanza hapo Temeke kupitia choir wakagoma mchungaji kuondoka na ilitokea baada ya kuona kuwa Mchungaji Mhina wa kinondoni alipohamishwa nafasi yake imejazwa na mchaga Ndugu yake kabisa na Askofu Emmanuel Lazaro .Kanisa la Temeke wengi walikuwa wasukuma Taarifa zikasambaa kuwa Askofu katoa kabila ingine kinondoni kaleta mchaga mwenzie.Makanisa yenye wasukuma wengi yakagoma wachumgaji kuondoka ndipo ikaanza vita ya Sukuma gang vis chaga gang ndani ya TAG Wanyakyusa wakaunga Na Waha pia wakaunga mkono Kulola

Walipomfukuza Akaondoka na wachumgaji kibao wa kisukuma kinyakyusa na waha.Baadaye yakazaliwa madhehebu kibao ya watu ambao wote walikuwa TAG Kuna wale waliosema hatuko upande wa Kulola wala Emmanuel Lazaro wakafungua makanisa yao kibao.nguvu ya TAG ikasambaratika mission ikawa acommlishe
Hadi Leo TAG haijapata mwinjilisti mwenye nguvu ambaye alikuwa Billy Graham wa Tanzania kama Moses Kulola


Wangenwacha abaki tu kama Mwinjilisti kanisa la TAG Leo lingekuwa kubwa kuliko KKKT kwani wachumgaji na waumini wengi sana wa KKKT na Anglican walihamia TAG
Umejitahidi ingawa kuna vitu vinamiss
 
Msibani huwa yanaongelewa mengi mojawapo nililolisisikia ni je nani anatakiwa kushika Hilo kanisa baada ya kifo cha Mwenisongole ?


Wa kwanza kwenye maongezi msibani ni mchungaji Dondo msomi na ana kanisa kubwa la wasomi na viongozi wakubwa kama ilivyokuwa la Mwenisongole huyo aweza endana na vision na mission ya Mwenisongole


Mchungaji Yared Dondo Wa TAG CIty Harvest Church baadhi ya waumini wanataka aombwe ashike Hilo kanisa la CCC la marehemu Mwenisongole
Kanisa atakabidhiwa mchungaji Dr Kipilimba.
 
Bwana ametoa ,Bwanq ametwaa!jina la bwana na libariwe!! , mwanga wa milele na umuangazie ee bwana
 
Msibani huwa yanaongelewa mengi mojawapo nililolisisikia ni je nani anatakiwa kushika Hilo kanisa baada ya kifo cha Mwenisongole ?


Wa kwanza kwenye maongezi msibani ni mchungaji Dondo msomi na ana kanisa kubwa la wasomi na viongozi wakubwa kama ilivyokuwa la Mwenisongole huyo aweza endana na vision na mission ya Mwenisongole


Mchungaji Yared Dondo Wa TAG CIty Harvest Church baadhi ya waumini wanataka aombwe ashike Hilo kanisa la CCC la marehemu Mwenisongole
Upo vizuri chief.
Unamfahamu marehemu mchungaji mwanjala wa pale sinza?
 
Ni kweli ugomvi haukuhusu uaskofu

Tatizo ni kanisa la TAG kutokujua matumizi ya karama na huduma
Moses Kulola alikuwa mwinjilisti maisha yake yote hajawahi omba kuwa awe mchungaji au Askofu na wala hakutamani hivyo vyeo aliridhika TU na kuwa mwinjilisti tena bure hata bila kulipwa hata mia akialikwa alilala maporini alisafiri Kwa miguu mikoa na mawilaya kibao

Akialikwa hakula hata chakula alifunga siku zote za mkutano akipewa kahela sawa asipopewa sawa Hakudai Kanisa lilikua kwa kiwango cha kutisha kipindi chake maelfu waliokoka si kwa sababu wana shida za maisha waliokoka watu wenye vyeo na maisha wasiohitajo maombi yeyote au huduma ya maombezi . Mfano Hadi Professor ISSA Shivji aliokoka kwenye huduma ya Moses Kulola

Tofauti na sasa waokokaji wengi wanachi shida au changamoto za maisha


kipindi cha Kulola wanaookoka walikuwa wengi kuliko wanaohitaji huduma za maombi au maombezi kama ilivyo sasa wahitaji huduma za maombi na maombezi wengi waokokaji wachache

Aliifanya TAG kuwa kanisa kubwa la kipentecoste pekee lililoogopwa Hadi na serikali


Ukaundwa mkakati wa kuliua na kulivunja vunja vipande .Moses Kulola akapewa uchungaji na umakamu Askofu vyeo visivyoendana na huduma na karama zake .Wakaanza kumbana afanye zaidi kazi za uchungaji na umakamu Askofu sio uinjilisti akawa mkaidi kuwa hataki wachungaji wengine wakamuunga mkono vita ikaanza kuwa wachumgaji sasa kanisa litakuwa linalipa mishahara wachumgaji hivyo kunakuja uhamisho
Wachungaji wakorofi wa maeneo kama kinondoni mchungaji Mhina na Temeke mchungaji Masalu nk wakawa wa kwanza kupewa barua za kuhama!!! Vita ikaanza hapo Temeke kupitia choir wakagoma mchungaji kuondoka na ilitokea baada ya kuona kuwa Mchungaji Mhina wa kinondoni alipohamishwa nafasi yake imejazwa na mchaga Ndugu yake kabisa na Askofu Emmanuel Lazaro .Kanisa la Temeke wengi walikuwa wasukuma Taarifa zikasambaa kuwa Askofu katoa kabila ingine kinondoni kaleta mchaga mwenzie.Makanisa yenye wasukuma wengi yakagoma wachumgaji kuondoka ndipo ikaanza vita ya Sukuma gang vis chaga gang ndani ya TAG Wanyakyusa wakaunga Na Waha pia wakaunga mkono Kulola

Walipomfukuza Akaondoka na wachumgaji kibao wa kisukuma kinyakyusa na waha.Baadaye yakazaliwa madhehebu kibao ya watu ambao wote walikuwa TAG Kuna wale waliosema hatuko upande wa Kulola wala Emmanuel Lazaro wakafungua makanisa yao kibao.nguvu ya TAG ikasambaratika mission ikawa acommlishe
Hadi Leo TAG haijapata mwinjilisti mwenye nguvu ambaye alikuwa Billy Graham wa Tanzania kama Moses Kulola


Wangenwacha abaki tu kama Mwinjilisti kanisa la TAG Leo lingekuwa kubwa kuliko KKKT kwani wachumgaji na waumini wengi sana wa KKKT na Anglican walihamia TAG
Umenena vizuri sana. Isipokuwa kuna marekebisho kidogo.
Mchungaji Muhina, alkuwa Dodoma kama sikosei.
Nadhani ila sina uhakika, Kinondoni kulikuwa na Mchungaji Sosi ama Swai sijui vizuri hapo.

Tatizo, lilikuja kuwa kubwa kwenye uhamisho wa Wachungaji. Mchungaji wa Temeke, Marehemu Masalu, wakati kanisa lake na yeye mwenyewe wamekataa masuala ya uhamisho, waliamuliwa kutengwa. Katika kutengwa huko, hawakutakiwa hat kuhost mikutano ya Injili.

Mzee Moses Kulola aligoma kuwekewa mipaka ya kuhubiri kwamba Temeke mfano kwa kuwa walitengwa, asiende kule kuhubiri. Alikwenda kuhubiri kule, kwa hiyo akaonekana ameasi amuri ya watawla akatengwa. Kila aliyemkaribisha mzee kufanya huduma ya mahubiri naye alitengwa na TAG. Na kazi ikawa TAG ya Mzee Emannuel Lazaro, kwenda kuzuia Mikutano ya Injili iliyokuwa inafanywa na Moses Kulola kwa kutumia dola. TAG walicontend kwamba, wanahubiri kwa dini ya TAG wakati TAG imewatenga, haiwatambui? Vita ikaendelea hata TAG wanaanza kuzuia ibada katika majengo yenye jina la TAG yanayounga mkono Injili ya Kulola kwa kuwa amekataa kutii amri ya kutokuhubiri TEMEKE, na hivyo ameasi uongozi na kanisa halimtambui. Mzee Kulola akasema Yeey aliitwa kuhubiri Injili ili watu waovu waache dhambi wamfuate Kristo.

Ilikuwa vita hata mara nyingi alikamatwa na kupelekwa mahabusu, wakati mwingine amekaa Butmba siku 7 bila chakula, kuna wakati alipewa sumu n.k, n.k. Lakini kila walipomwachia aliingia barabarani kupeleka Injili. Ndipo miaka ya 84 hivi, chini ya Edward Sokoine, akashauriwa yeye na watuwa Injili wenzake, wasajili kanisa lingine ili wapate Jina huru ya kuhubiria badala ya kuendelea kudhikishana kwa ajili ya jina la kanisa.

Mzee kulola hakutaka kuwa askofu hata siku moja. Nashangaa sana kuona huyu mtu aitwaye johnthebaptist akikomaa kwamba eti walikuwa wanagombania uaskofu!. Wapi na wapi?

Ahsante sana YEHODAYA kwa kufafanua.
 
Umenena vizuri sana. Isipokuwa kuna marekebisho kidogo.
Mchungaji Muhina, alkuwa Dodoma kama sikosei.
Nadhani ila sina uhakika, Kinondoni kulikuwa na Mchungaji Sosi ama Swai sijui vizuri hapo.

Tatizo, lilikuja kuwa kubwa kwenye uhamisho wa Wachungaji. Mchungaji wa Temeke, Marehemu Masalu, wakati kanisa lake na yeye mwenyewe wamekataa masuala ya uhamisho, waliamuliwa kutengwa. Katika kutengwa huko, hawakutakiwa hat kuhost mikutano ya Injili.

Mzee Moses Kulola aligoma kuwekewa mipaka ya kuhubiri kwamba Temeke mfano kwa kuwa walitengwa, asiende kule kuhubiri. Alikwenda kuhubiri kule, kwa hiyo akaonekana ameasi amuri ya watawla akatengwa. Kila aliyemkaribisha mzee kufanya huduma ya mahubiri naye alitengwa na TAG. Na kazi ikawa TAG ya Mzee Emannuel Lazaro, kwenda kuzuia Mikutano ya Injili iliyokuwa inafanywa na Moses Kulola kwa kutumia dola. TAG walicontend kwamba, wanahubiri kwa dini ya TAG wakati TAG imewatenga, haiwatambui? Vita ikaendelea hata TAG wanaanza kuzuia ibada katika majengo yenye jina la TAG yanayounga mkono Injili ya Kulola kwa kuwa amekataa kutii amri ya kutokuhubiri TEMEKE, na hivyo ameasi uongozi na kanisa halimtambui. Mzee Kulola akasema Yeey aliitwa kuhubiri Injili ili watu waovu waache dhambi wamfuate Kristo.

Ilikuwa vita hata mara nyingi alikamatwa na kupelekwa mahabusu, wakati mwingine amekaa Butmba siku 7 bila chakula, kuna wakati alipewa sumu n.k, n.k. Lakini kila walipomwachia aliingia barabarani kupeleka Injili. Ndipo miaka ya 84 hivi, chini ya Edward Sokoine, akashauriwa yeye na watuwa Injili wenzake, wasajili kanisa lingine ili wapate Jina huru ya kuhubiria badala ya kuendelea kudhikishana kwa ajili ya jina la kanisa.

Mzee kulola hakutaka kuwa askofu hata siku moja. Nashangaa sana kuona huyu mtu aitwaye johnthebaptist akikomaa kwamba eti walikuwa wanagombania uaskofu!. Wapi na wapi?

Ahsante sana YEHODAYA kwa kufafanua.
Uko sahihi kanisa la EAGT lilisajiliwa hata bila kuomba usajili serikali ikatoa hati ya usajili bila EAGT kuomba usajili kumaliza mgogoro sababu Kulola aliapa kufa TAG wakati TAG hawamtaki serikali ikatoa hadi Jina la kanisa jipya la EAGT kumaliza mgogoro katiba walIpeleka Baadaye baada ya kusajiliwa sababu ilikuwa si rahisi kusajili kanisa enzi hizo bila kupata approval ya Dini kubwa ikiwemo TAG serikali ikatumia busara kumpa Kulola usajili wa kanisa jipya la EAGT bila kufuata taratibu za kawaida za usajili kumaliza vita na ugomvi ndani ya TAG sababu Askofu Emmanuel Lazaro alimuona Moses Kulola mwasi asiyetii mamlaka ya Askofu mkuu TAG na Kulola alimuona Askofu mkuu Emmanuel Lazaro mpinga Injili shetani asiyetakiwa TAG

Serikali ikaona isiwe kesi wakawapa EAGT hati ya usajili bila kuomba kumaliza mgogoro na mgogoro ukaisha
 
Meneja wa benki ndio kiongozi mkubwa. Serikalini? Khaa
kwa wakati ule sawa kabisa....wewe unachukulia nyakati hizi....kipindi hicho hiyo benki ya taifa ya biashara ilikuwa ni ya serikali....ni mashirika ya UMMA yaliyoheshimika sana...na alijiunga hapo akitokea NAIROBI UNIVERSITY alikopata degree yake...imagine miaka hiyo ya sabini...degree holders wakutafuta nchini
 
Swala Sio muda mtu anatumia kufikia upadre issue ni kuwa kabla kuwa padre anakuwa jobless anaupata upadre akiwa jobless
Mbona unakuwa na kichwa kigumu. Upadre watu wanaenda seminari walitokea shule ya msingi, wewe ulipokuwa form one ulikuwa na ajira? Sasa ulitaka waajiriwe watoto wadogo kisha wastaafu ndio waende seminari
 
Kulola alikuwa spiritual kwelikweli alikuwa akishika tu maiki akisema 'yooo' mapepo yanaanza kutimka hapo bado hajaanza kuhubiri.
 
Kulola alikuwa spiritual kwelikweli alikuwa akishika tu maiki akisema 'yooo' mapepo yanaanza kutimka hapo bado hajaanza kuhubiri.
Mwenisongole mwenyewe aliokoka kwenye mkutano wa Moses Kulola Temeke tena akiwa meneja wa Benki Enzi hizo watu wa vyeo waliokoka sana mkutano yake tofauti na sasa wanaookoka wengi wenye shida na matatizo na low class kwenye jamii

Kulola alikuwa na mvuto wa ajabu
 
Pamoja na mambo yote aliyowahi kuyafanya, huyu Askofu hakuwa muadilifu kwa jamii kwa kipindi chote cha utawala wa Magufuli.

Huyu Askofu, yeye binafsi na kanisa lake la TAG waligeuka kuwa waongo na wanafiki ili kujipendekeza kwa Magufuli. Hawa maaskofu wa TAG na wapentekoste wengine ndio walifikia hatua ya juu ya unafiki ya kumuita na kumpa tuzo ya uadilifu Magufuli!

Wakati watanzania wakiuwawa, wakiteswa, kudhulumiwa na kufanyiwa kila ubaya na utawala wa Magufuli, huyu askofu na wenzake walikuwa kimya au kumimina pongezi kwa Magufuli.

Kwangu binafsi ninapenda kusema huyu Marehemu hakuwa tena na mchango wowote kwa jamii ya watanzania labda kwa dini yake.

Ninatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki walioguswa na msiba huu, lakini ninasikitika kusema hapa kuwa, Marehemu hakuwa tena na faida yoyote kwetu kijamii, na bora amepumzika.
Umenena ukweli mtupu tukiacha unafiki kuna maaskofu na masheikh ovyo kabisa nchi hii,walitusaliti wananchi wakaungana na magufuli kututesa .sina uchungu nao hata wakifa
 
Back
Top Bottom