TANZIA Aliyekuwa Askofu Mkuu wa TAG, Prof. Rainwell Mwenesongole wa Upanga CCC ametwaliwa na Bwana!

TANZIA Aliyekuwa Askofu Mkuu wa TAG, Prof. Rainwell Mwenesongole wa Upanga CCC ametwaliwa na Bwana!

Nafikiri hata Biblia huijui vijijini kwenye upagani wanaotakiwa kwenda ni wainjilisti sio wachungaji!!

Eneo lenye upagani mwingi anayetakiwa kwenda ni mwinjilisti naona huelewi hata mpangilio wa huduma katika mwili wa Kristo Na kazi zao
Kwa hiyo mtu akiamua kujiita mchungaji ndio anakuwa amejitoa kwenye jukumu la kwenda kuhubiri injili huko kwenye vijiji vyenye upagani?

Vipi kuhusu hao wachungaji wako waliojazana mijini na kugoma kwenda huko vijijini kwenye umaskini kuchunga kondoo wanaorandanda kwa kukosa wachungaji wa uhakika?

Vipi na maaskofu, wao kazi yao ni kukaa mijini kupiga pesa tu?
 
Magufuli alitesa na kuua akina nani hao, lini na wapi? Thibitisha hilo kwanza. Mimi nikiropoka mbowe ni mbakaji haiwezi kua kweli mpaka nithibitishe unakaji wake.
Endelea hivyo hivyo kujifanya hujui yale maovu yaliyotendeka chini ya utawala wa Magufuli wakati kila mtu akiyajua.
 
Endelea hivyo hivyo kujifanya hujui yale maovu yaliyotendeka chini ya utawala wa Magufuli wakati kila mtu akiyajua.
Acha uongo na propaganda, thibitisha hata mtu mmoja aliyeuawa na magufuli. Yaani mtu unalewa pombe ya kienyeji kuja kusema uongo kisa fake Id? Sema hayo maovu ya JPM
 
Ninayo historia yake hapa ndugu na nkipata nafasi ntakuwekea hapa
Ndugu yangu humu JF kuna watu huwa wanajifanyaga wanamjua Kulola kuliko sisi wengine tulioweza hata kuishi naye.

Ukisema chochote kuhusu Kulola watakwambia wewe humjui.
 
Acha uongo na propaganda, thibitisha hata mtu mmoja aliyeuawa na magufuli. Yaani mtu unalewa pombe ya kienyeji kuja kusema uongo kisa fake Id? Sema hayo maovu ya JPM
Asante ndugu yangu.
Sawa mimi nimelewa na pombe za kienyeji ndio maana naandika hapa JF kwa ID fake.
Wewe endelea kuamini unachokiamini, lakini sisi wengine tulioumizwa na ukatili wa Magufuli tuache.
 
Asante ndugu yangu.
Sawa mimi nimelewa na pombe za kienyeji ndio maana naandika hapa JF kwa ID fake.
Wewe endelea kuamini unachokiamini, lakini sisi wengine tulioumizwa na ukatili wa Magufuli tuache.
Huna ulichoumizwa as long as umeshindwa kuthibitisha. Tunywe chai tukatafute pesa mkuu.
 
Kwa hiyo mtu akiamua kujiita mchungaji ndio anakuwa amejitoa kwenye jukumu la kwenda kuhubiri injili huko kwenye vijiji vyenye upagani?

Vipi kuhusu hao wachungaji wako waliojazana mijini na kugoma kwenda huko vijijini kwenye umaskini kuchunga kondoo wanaorandanda kwa kukosa wachungaji wa uhakika?

Vipi na maaskofu, wao kazi yao ni kukaa mijini kupiga pesa tu?
Hujui wito wa Mungu wewe Kwa mfano wewe unaonyesha una uchungu sana na wapagani walioko vijijini huo ni wito unatakiwa uende wewe unayesikia uchungu ukawahubirie usiseme ohh Mungu tuma wachumgaji waliorundikana mjini!!!! Hao hawaendi uchungu huo hawana wewe mwenye uchungu mziito ndie Mungu anakupa huo mzigo uende ukahubiri vijijini

Uchungu Mungu akupe wewe halafu wewe unasukumia wengine wasio na huo uchungu huo ni ufarisayo hutaki kubeba huo mzigo unabebesha wengine wewe ubaki mjini ukila chips kuku na mayai


Wewe acha porojo nenda vijijini ukahubiri injili kama kweli una mzigo wa kweli na si wa kifarisayo
 
Mwongo mkubwa wewe huwezi andika jina lako kiwanja Cha kanisa hutapata vibali vya ujenzi toka serikalini


UKijenga kanisa vibali vyote vya ujenzi lazima visomeke jina la kanisa na hutolewa ukishaambatanisha hati ya kiwanja yenye jina la kanisa


Au wewe unaongekea makanisa ya makuti ? Nani akupe kibali Cha kujenga kanisa kiwanja binafsi? hayupo.

Ukienda TU kuomba kibali Cha ujenzi wa kanisa lazima upeleke hati ya kiwanja inayosomeka jina la kanisa sio Jina lako binafsi Au la mkeo
Nimeandika nikiwa na uhakika
Sijaandika TU
Tena mmoja namfahamu wa TAG
 
Nafikiri hata Biblia huijui vijijini kwenye upagani wanaotakiwa kwenda ni wainjilisti sio wachungaji!!

Eneo lenye upagani mwingi anayetakiwa kwenda ni mwinjilisti naona huelewi hata mpangilio wa huduma katika mwili wa Kristo Na kazi zao
Mwinjilisti anatokea wapi kama sii kanisani
Mwinjilisti atawezeshwa na nani kama sii washirika
Mchungaji kama anabana Hela zote Kwa manufaa yake
Mwinjilisti ataweza kwenda kuinjilisha
 
Nafikiri hata Biblia huijui vijijini kwenye upagani wanaotakiwa kwenda ni wainjilisti sio wachungaji!!

Eneo lenye upagani mwingi anayetakiwa kwenda ni mwinjilisti naona huelewi hata mpangilio wa huduma katika mwili wa Kristo Na kazi zao
Kondoo wamejaa Kila kona ya nchi
Mchungaji akae TU sehemu moja eti sio kazi yangu kutangaza injili
Mbona unaongea pumba
Kanisani lazima kuww na huduma ya uinjilishaji na huduma nyingine
Mchungaji kama hataki kuziwwzesha hizo huduma he zitafanikiwa?
Madai Yao wanapeleka pesa kwenye miradi
 
Mwinjilisti anatokea wapi kama sii kanisani
Mwinjilisti atawezeshwa na nani kama sii washirika
Mchungaji kama anabana Hela zote Kwa manufaa yake
Mwinjilisti ataweza kwenda kuinjilisha
Mwinjilisti aliyeitwa na Mungu hahitaji kupelekwa na mtu awaye yeyote .Mungu akimwita mtu yeye ndie atamuwezesha Kila kitu


Mijitu isiyo na wito ndio hukaa kusingizia ohhh mfuko wa Kupeleka injili kanisani haupo !!!


Yohana mbatizaji alienda kuhubiri porini alilala porini na kula matunda pori lakini Yerusalem na miji yote watu walihama miji na kufuata Injil yake huko porini

Hakuwa na suti na tai kama baadhi ya wahubiri wengine matapeli wa Leo wala hakuwa na mfadhili ila watu walimiminika mikutano yake porini Huko huko Na walifuata Injili ya kuungama na kutubu dhambi sio maombezi !!! Alijua kaitwa na walijuana na aliyemuita

Mtu anayesema nimeitwa mwinjilisti halafu anasingizia ohhh nitaendaje nusipopelekwa? Akupeleke nani ? Huyo aliyekuita akupeleke atakupelekaje sio kazi ya Kanisa au Mchungaji au Askofu kujua.Muelewane na aliyekuita vinginevyo na wewe una wito wa Hela TU hakuna mwinjilisti hapo
 
Hujui wito wa Mungu wewe Kwa mfano wewe unaonyesha una uchungu sana na wapagani walioko vijijini huo ni wito unatakiwa uende wewe unayesikia uchungu ukawahubirie usiseme ohh Mungu tuma wachumgaji waliorundikana mjini!!!! Hao hawaendi uchungu huo hawana wewe mwenye uchungu mziito ndie Mungu anakupa huo mzigo uende ukahubiri vijijini

Uchungu Mungu akupe wewe halafu wewe unasukumia wengine wasio na huo uchungu huo ni ufarisayo hutaki kubeba huo mzigo unabebesha wengine wewe ubaki mjini ukila chips kuku na mayai


Wewe acha porojo nenda vijijini ukahubiri injili kama kweli una mzigo wa kweli na si wa kifarisayo
Umeongea kweli kabisa
 
Mwinjilisti aliyeitwa na Mungu hahitaji kupelekwa na mtu awaye yeyote .Mungu akimwita mtu yeye ndie atamuwezesha Kila kitu


Mijitu isiyo na wito ndio hukaa kusingizia ohhh mfuko wa Kupeleka injili kanisani haupo !!!


Yohana mbatizaji alienda kuhubiri porini alilala porini na kula matunda pori lakini Yerusalem na miji yote watu walihama miji na kufuata Injil yake huko porini

Hakuwa na suti na tai kama baadhi ya wahubiri wengine matapeli wa Leo wala hakuwa na mfadhili ila watu walimiminika mikutano yake porini Huko huko Na walifuata Injili ya kuungama na kutubu dhambi sio maombezi !!! Alijua kaitwa na walijuana na aliyemuita

Mtu anayesema nimeitwa mwinjilisti halafu anasingizia ohhh nitaendaje nusipopelekwa? Akupeleke nani ? Huyo aliyekuita akupeleke atakupelekaje sio kazi ya Kanisa au Mchungaji au Askofu kujua.Muelewane na aliyekuita vinginevyo na wewe una wito wa Hela TU hakuna mwinjilisti hapo
Ni kweli kabisa injili ni jukumu la kila mtu, sio kumuangalia Mchungaji tu.
 
Mwinjilisti anatokea wapi kama sii kanisani
Mwinjilisti atawezeshwa na nani kama sii washirika
Mchungaji kama anabana Hela zote Kwa manufaa yake
Mwinjilisti ataweza kwenda kuinjilisha
Kwanza Yesu aliagiza wazi kuwa Kila anayetaka kumfuata ahesabu gharama kwanza . Mchungaji mfano Mwenisongole alihesabu gharama ya kuwa Mchungaji Akaona ataiweza .Hakutegemea Mchungaji yeyote wala nani alianza na washirika wanne

Kila huduma na Kila anayeitwa ahesabu gharama kwanza Mambo ya ohhh Mimi Nina uhakika nimeitwa kuwa Mwinjilisti siku hiyo nikiwa nimelala akaja Yesu na malaika akina Michael na Gabriel wakasema umeteuliwa kuwa mwinjilisti wa dunia kuwashinda wote hata akina Billy Graham uko tayari kwenda nikajibu ndiyo!!! Malaika kibao waKanipigia makofi sana nilipokubali wito!!!


Haya inafika utekelezaji Mchungaji au maaskofu wanakwambia mbona umekaa TU huendi kufanya huo uinjilisti wako? .Unaanza kubweka nitaendaje ninyi wachungaji na maaskofu msiponipeleka? nipeni pesa niende!!! Mihela mumekalia TU kwenye miradi leteni pesa niende bila pesa haendi mtu hapa!!! Wapagan nyie na wapinga injili kuenea !!! Uswahili unaanza!!!! Mwitwa na Yesu na Malaika Mikaeli anaanza kuchachamalia wachumgaji na maaskofu kuwa watoe pesa wasipitoa haendi!!!! Huyo hakuhesabu gharama kabla kukubali wito!!!

Wengi waanza huduma huwa wakali Kwa waliowatangulia Askofu Oyedepo wa Winners church kawatimua wengi sana wa tabia hiyo Huwa hawabembelezi mara mbili ohh Mimi Mwinjilisti anakwambia kwenda haraka Kaanze huduma eneo Fulani gumu kwenye upagani mwingi hatoi hata mia ya nauli ukishindwa anakufukuza kanisani kabisa Kwa kosa la kuendesha utapeli kwenye huduma
 
Mwinjilisti aliyeitwa na Mungu hahitaji kupelekwa na mtu awaye yeyote .Mungu akimwita mtu yeye ndie atamuwezesha Kila kitu


Mijitu isiyo na wito ndio hukaa kusingizia ohhh mfuko wa Kupeleka injili kanisani haupo !!!


Yohana mbatizaji alienda kuhubiri porini alilala porini na kula matunda pori lakini Yerusalem na miji yote watu walihama miji na kufuata Injil yake huko porini

Hakuwa na suti na tai kama baadhi ya wahubiri wengine matapeli wa Leo wala hakuwa na mfadhili ila watu walimiminika mikutano yake porini Huko huko Na walifuata Injili ya kuungama na kutubu dhambi sio maombezi !!! Alijua kaitwa na walijuana na aliyemuita

Mtu anayesema nimeitwa mwinjilisti halafu anasingizia ohhh nitaendaje nusipopelekwa? Akupeleke nani ? Huyo aliyekuita akupeleke atakupelekaje sio kazi ya Kanisa au Mchungaji au Askofu kujua.Muelewane na aliyekuita vinginevyo na wewe una wito wa Hela TU hakuna mwinjilisti hapo
Naona TU uvivu kujibu
Lakini ni ukwwli uliowazi wachungaji waneacha misingi ya kanisa ya kuitangaza injili na kuvhunga kondooo wamerukia kazi za kusimamia miradi
Huo ni ukweliii
Wachungaji wanapaswa kujitafakari na kujitekdbisha ingawa sii wote
Ila wengi Kwa Sasa wameona uchungaji. I. Jia ya kujinufaisha
 
Back
Top Bottom