TANZIA Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Servacius Likwelile afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Servacius Likwelile afariki dunia

Wafe kwa magonjwa/ugonjwa wanaougua au kuumwa SIYO huu mnaowabambikia NYIE msiyoitakia mema Tanzania yetu na wenye kuishi kwa kuzusha maneno ya uongo as per directives from your overseas masters!

Corona ipo kuwa na tahadhari all the time...may be hayajampata mmoja wenu katika familia ndio maana unakuwa mbishi mbishi....ukiwa na magonjwa mengine tofauti na corona na ikakupata corona hapo ni balaaa bob, anza kuaga mapema
 
Haya mambo tuyaache yalivyo! Waliachana na mke wake wa kwanza kwa vile alipata ngwengwe! Sasa ametangulia kabla yake. RIP mate
Waliachana au mke wake alifariki? Nakumbuka mke wake alifariki akiwa Mzee Likwelile walikuwa hawajaachana.
 
Back
Top Bottom