Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
wewe umeshakula maisha?Duuu
Hili SHUWA limeondoka? Ila hata hivyo limekula Sana maisha hata akiondoka poa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe umeshakula maisha?Duuu
Hili SHUWA limeondoka? Ila hata hivyo limekula Sana maisha hata akiondoka poa tu
Yaani dawa za Korona za asili nazobwia zinaweza hata kuiamsha huko iliko maana ukiambiwa hii unaacha ya zamani unaanza mpya.Kibaya zaidi unazima kama mshumaa jangwani......yaani ni nyakati za mashaka kweli....
Nimecheka sana jmn dahMimi tangawizi imeniokoa sana yaani nilikuwa nakiona kifo miguuni.......sasa hivi natafuna tangawizi kama karanga.......yaani kila saa najitafuna kama mbuzi....vile.....
Sawa....wewe cheka.......sura yote imekuwa nyekundu kwa ukali wa tangawizi.....lakini sina jinsi nataka kuishi......Nimecheka sana jmn dah
Wafe kwa magonjwa/ugonjwa wanaougua au kuumwa SIYO huu mnaowabambikia NYIE msiyoitakia mema Tanzania yetu na wenye kuishi kwa kuzusha maneno ya uongo as per directives from your overseas masters!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sawa....wewe cheka.......sura yote imekuwa nyekundu kwa ukali wa tangawizi.....lakini sina jinsi nataka kuishi......
Vipi kwani? hakutakiwa kuondoka?
Umejuaje kwamba ni Corona???. Itabidi utueleze vizuri.Lo lo lo!!
Likwelile kaondoka?
Jamani corona nomaa!!
Tatizo inabagua Hadi Sasa ni watu wema tu ndo wanaondokaCorona inaua, tuchukue hatua
KILA mtu atapita magumuPole kwa wafiwa.
Mungu awatie nguvu wote wanaopitia magumu.
BiasharaYaani dawa za Korona za asili nazobwia zinaweza hata kuiamsha huko iliko maana ukiambiwa hii unaacha ya zamani unaanza mpya.
My baby kamechekeshwaNimecheka sana jmn dah
Waliachana au mke wake alifariki? Nakumbuka mke wake alifariki akiwa Mzee Likwelile walikuwa hawajaachana.Haya mambo tuyaache yalivyo! Waliachana na mke wake wa kwanza kwa vile alipata ngwengwe! Sasa ametangulia kabla yake. RIP mate
Ulitaka waouvu kama Jiwe wanyoosheTatizo inabagua Hadi Sasa ni watu wema tu ndo wanaondoka
Hii corona ukiwa na pressure, kisukari Unaweza kupona kirahisi lakini ukiwa na ngwengwe kupona ni ngumu. Lukuvi kapona labda hana ngwengweWaliachana au mke wake alifariki? Nakumbuka mke wake alifariki akiwa Mzee Likwelile walikuwa hawajaachana.
Kwa muda mrefuuukwa muda gani mkuu pengine!
Kabisa...