Dickson Edwin Mgaya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2020
- 513
- 1,422
Ifike mahali tukubaliane kuwa hali ni mbaya badala ya kuendelea kudanganyana kuwa Korona ipo chache ilihali tunakufa kizungu na tai shingoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hayo uliyoandika ni kama umejiandikia wewe. Yaani huoni kuna kitu kisicho cha kawaida kabisa.wabongo mnaakili ndogo za kipuuzi kweli kweli,kila kifo ni Corona?
kabla ya neno Corona huko mahospitalini kila siku walikua watu wakifa na kuzikwa..kila siku iendayo kwa MUNGU. Hivi hizi akili za kipumbavu namna hii mnatoa wapi?
Lione hili nalo!Lo lo lo!!
Likwelile kaondoka?
Jamani corona nomaa!!
Wacha uroho mkuu, hilo gap linamrudia Kwete!Hivi alizaa na Vicky? Vicky ana watoto wangapi? Maana naona nafasi ya kazi
Ukichukua hatua ndo haitoua?Corona inaua, tuchukue hatua
unataka kuwa kingasti? nenda kwa shilole,uwoya u auntie ezekiel na wolper.Hivi alizaa na Vicky? Vicky ana watoto wangapi? Maana naona nafasi ya kazi
Tusitishane(in jiwe's voice?)Lo lo lo!!
Likwelile kaondoka?
Jamani corona nomaa!!
Waziri wake je?Vicky Kamata atangaza kuondokewa na mwenza wake Dkt. Servacius Beda Likwelile. Moja ya wahadhiri nguli na wanazuoni wa kitanzania Dkt. Servacius Likwelile hatunaye. Dkt. Likwelile amewahi kuhudumu katika Wizara ya Fedha na Mipango kama Katibu Mkuu kabla ya uteuzi wake kutenguliwa mwaka 2016.
Pia soma
- Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile
Marry bado yupo hai! Ndiye mke wa ndoa. baadaye akaoa secretary wake (ndiye aliyekufa) na sasa huyu cha wote Vicky Kamata.Waliachana au mke wake alifariki? Nakumbuka mke wake alifariki akiwa Mzee Likwelile walikuwa hawajaachana.
Wakati ule Daktari Likwelile alikuwa Negative wakati mke wake ni positive. Mke kaokoka na hata kupeleka gari kanisani!!!!!! Tuache hayo kashaondokaHii corona ukiwa na pressure, kisukari Unaweza kupona kirahisi lakini ukiwa na ngwengwe kupona ni ngumu. Lukuvi kapona labda hana ngwengwe
Kweli kabisa mkuuKwa muda mrefuuu
Tatizo watu wengi afya mgogoro
Na wana sumbuliwa na maradhi
Ova
Kweli maana hali ni tete?!Kuna uhumimu vyombo vya dola kuwalinda hawa wazee.
Mwenye sukari na pressure kupona rahisi. Lakini ngoma ukiwa nayo na uongezee sukari na pressure lazima uondoke tuKweli kabisa mkuu
Mtu mwenye sukari na pressure na kinga pungufu wapo kwenye wakati mgum Sana
R.I.PVicky Kamata atangaza kuondokewa na mwenza wake Dkt. Servacius Beda Likwelile. Moja ya wahadhiri nguli na wanazuoni wa kitanzania Dkt. Servacius Likwelile hatunaye. Dkt. Likwelile amewahi kuhudumu katika Wizara ya Fedha na Mipango kama Katibu Mkuu kabla ya uteuzi wake kutenguliwa mwaka 2016.
Pia soma
- Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile
He was wasting and putting huge burden on taxpayers moneyNakumbuka sana kwa kunywa Jack Daniel chupa kubwa nzima bila mixer yoyote pale Land Mark Hotel daily. R.I.P
Hii kitu yenyewe inapandisha sukari mkuu wenye vvu wana afadhali kiasi ila sukari ni kisangaMwenye sukari na pressure kupona rahisi. Lakini ngoma ukiwa nayo na uongezee sukari na pressure lazima uondoke tu
Hii nayo point ujue[emoji848][emoji848]Mbna wazee Tu , au Mungu ameamua kuwapigania vijana kivingine wapate ajira ...R.I.P mwamba , tukutane asubuhi njema ya ufufuo kama ulizichanga vizur kete hapa duniani na Mungu wako lakni..kama uliharibu basi tena