Kabla ya aliyefariiki kuna wa kwanza kabisa wa ndoa. Alikuwa CEO wa iliyokuwa Presidential Trust Fund aliondoka sijui aliajiriwa wapi tena. Ni mtu mzima kwa sasa.Waliachana au mke wake alifariki? Nakumbuka mke wake alifariki akiwa Mzee Likwelile walikuwa hawajaachana.
Mbabe Ni yupi hapo?Eeeh[emoji15][emoji15][emoji15]View attachment 1707190
Halafu wengi Ni wanawake wavaa Madera na wachezaji wakubwa wa vibati.Here we go again..... ''Kwa hiyo....''. Watu wenye kawaida ya kuanza sentensi na maneno ''kwa hiyo.....'' kwenye mijadala mara zote wanafanya wrong conclusion. Ni nani kasema wote waliopata walikuwa hawachukui tahadhari ndugu wee? Kuna wengine wamechukuwa tahadhari zote lakini mpumbavu mmoja asiyechukuwa tahadhari akasababisha waambukizwe. Ndiyo maana tunasema kila mtu achukuwe hatua.
Hata ukigongwa na gari. Watazusha ulikua umetokea siptali kutibiwa Corona na ulidhoofika kiasi kwamba huangalii magariukifariki kwa sasa, utaambiwa Corona tu.Labda ugongwe na gari
Subiri ufike sabini ndio uanze kusema umekula chumvi.Kweli huu mwaka balaa hasa sie tuliobwia chumvi nyingi, tunalo.
Limekufanya kivipi?Lione hili nalo!
Umejuaje kwamba ni Corona???. Itabidi utueleze vizuri.
Mpaka mnakera! Nani kakuambia kuwa Ni korona?Lo lo lo!!
Likwelile kaondoka?
Jamani corona nomaa!!
Alijitwalia Kamata dah,haya bwana.Vicky Kamata atangaza kuondokewa na mwenza wake Dkt. Servacius Beda Likwelile. Moja ya wahadhiri nguli na wanazuoni wa kitanzania Dkt. Servacius Likwelile hatunaye. Dkt. Likwelile amewahi kuhudumu katika Wizara ya Fedha na Mipango kama Katibu Mkuu kabla ya uteuzi wake kutenguliwa mwaka 2016.
Pia soma
- Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile
Ndo homa gani hiyo?.Homa ya jiji haijakupitia?
Wanakera kweli kweli,Corona imekua udaku sasa na magonjwa mengine all of a sudden yameyeyuka.Upuuzi kweli kweli.Mpaka mnakera! Nani kakuambia kuwa Ni korona?
Air pollution (Chemtrails etc.)+5G=Ugonjwa wa njia ya hewa!Tunawe na maji tiririka na sabuni,
Tuepuke misongamano
Tuepuke mikusanyiko isiyo ya lazima
Tuvae barakoa,
Tutumie sanitaiza..
Jamani tuchukue tahadhari, wanaume tunaondoka!
Everyday is Saturday............................... 😎
Wanakera kweli kweli,Corona imekua udaku sasa na magonjwa mengine all of a sudden yameyeyuka.Upuuzi kweli kweli.
Air pollution (Chemtrails etc.)+5G=Ugonjwa wa njia ya hewa!
Umekuja kumtetea baba yako Shetani?Nime-note,maana namgaragaza kweli kweli.Kama huelewai maana ya pandemic ni bora ukatafute conspiracy ya dunia ni flat uipandishe jukwaani
Wamashaweka 5G satellites kwenye low orbit ya dunia,so it will be beamed from there pretty soon!Tanzania hakuna 5G