TANZIA Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Servacius Likwelile afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Servacius Likwelile afariki dunia

Waliachana au mke wake alifariki? Nakumbuka mke wake alifariki akiwa Mzee Likwelile walikuwa hawajaachana.
Kabla ya aliyefariiki kuna wa kwanza kabisa wa ndoa. Alikuwa CEO wa iliyokuwa Presidential Trust Fund aliondoka sijui aliajiriwa wapi tena. Ni mtu mzima kwa sasa.
 
Here we go again..... ''Kwa hiyo....''. Watu wenye kawaida ya kuanza sentensi na maneno ''kwa hiyo.....'' kwenye mijadala mara zote wanafanya wrong conclusion. Ni nani kasema wote waliopata walikuwa hawachukui tahadhari ndugu wee? Kuna wengine wamechukuwa tahadhari zote lakini mpumbavu mmoja asiyechukuwa tahadhari akasababisha waambukizwe. Ndiyo maana tunasema kila mtu achukuwe hatua.
Halafu wengi Ni wanawake wavaa Madera na wachezaji wakubwa wa vibati.
 
Akajasembamba sikia: Mwaka Jana tuliishinda corona kwa maombi, si sababu yoyote nyingine! Hayo uliyoyataja nchi zingine ziliyafanya kwa kiwango Cha Hali ya juu lakini corona haikuwaacha. Mwaka huu tutashinda pia kwa kumwomba Mungu!
 
Tunawe na maji tiririka na sabuni,
Tuepuke misongamano
Tuepuke mikusanyiko isiyo ya lazima
Tuvae barakoa,
Tutumie sanitaiza..
Jamani tuchukue tahadhari, wanaume tunaondoka!

Everyday is Saturday............................... 😎
Air pollution (Chemtrails etc.)+5G=Ugonjwa wa njia ya hewa!
 
Kama huelewai maana ya pandemic ni bora ukatafute conspiracy ya dunia ni flat uipandishe jukwaani
Umekuja kumtetea baba yako Shetani?Nime-note,maana namgaragaza kweli kweli.
 
Back
Top Bottom