TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

Wabonyeaji wa misosi misibani utawagunduwa tu hapa, maana msiba huu hakuna wanawake kupikapika ni bufee ya catering tu, ni lazima muhamie mpaka siku ya maziko.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hii naogopa, hata kutoa comment!!

Labda, ameficha mahala ili aone tunavyofunguka kisha jeshi lake lidake wote wanaosema ovyo hovyo!!

😉🙁😎
 
Mungu amsamehe makosa yake na kumhifadhi nafsi yake anapostahili...
 
Upo uongo mwingi katika maelezo ya Chande.Ukweli ni kwamba Freemasonry is an evil cult which saves Lucifer 100 percent.Anything short of that is a lie.
 
Upo uongo mwimgi katika maelezo ya Chande.Ukweli ni kwamba Freemasonry is an evil cult which saves Lucifer 100 percent.Anything short of that is a lie.
Serious? I am lacking some literature evidences. Tafadhali kama unaweza jaribu kuchapisha baadhi yake. Unajua hata uongo ukisemwa sana, unabadirika na kuwa ukweli.
 
Upo uongo mwimgi katika maelezo ya Chande.Ukweli ni kwamba Freemasonry is an evil cult which saves Lucifer 100 percent.Anything short of that is a lie.
Kama yeye mwanachama wa daraja la juu kasema uongo basi na wewe ni mwanachama wao, huwezi kujuwa siri za jumuiya isiyokuhusu inayokutana kwa siri.

Huko makanisani kwenu wapo wachungaji wanawatumia waganga wa kienyeji. Hata mzee wa upako alikuwa rafiki kipenzi wa sheikh Yahya Hussein.

Binadamu tumejaa unafki kama mafarisayo.
 
Looh jamn kosa la smartphone khaa maan mtanishupalia

Kwan ukisema RIP kuna ubaya!!? Mbona maana yake inafahamika!..Mzee kashaenda wacha akapumzike huko sema tu hakutufuulia siri namna ya kuingia na hakutueleza kama ela ni nje nje au kuna namna nyingine ya kuzipata ukiwa ndani?
 
Kwan ukisema RIP kuna ubaya!!? Mbona maana yake inafahamika!..Mzee kashaenda wacha akapumzike huko sema tu hakutufuulia siri namna ya kuingia na hakutueleza kama ela ni nje nje au kuna namna nyingine ya kuzipata ukiwa ndani?
Ukisoma vizuri utaelewa maana siri imefichuliwa kwenye maandishi
 
iwapi tambo na kibri cha kijinga,ameuza akhera yk kwa thamani ndogo ya dunia hii duni,ataishi motoni milele na wala hana wa kumnusuru
 
R.I.P bila Arusha declaration familia Ya huyu jamaa pengine ndo ingekuwa imeshika uchumi wa nchi hii leo
 
Ndiyo ni chande. Lakni nimemuona na dayamond hapo ndo maana nikauliza hivo
Hayo ya daya mondi sisemi 7bu mashabiki wake watashuka kama tai.....nilijiuliza mzungu gani tena huyu!!! Naona wamekamilisha Piramid sign
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…