TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

Hayo ya daya mondi sisemi 7bu mashabiki wake watashuka kama tai.....nilijiuliza mzungu gani tena huyu!!! Naona wamekamilisha Piramid sign
Ndo hapo sasa. Hawa watu wanautajiri wa namba yake. Nimeamini utajir wa mty ni siri yake. Ivi kumbe na baba yetu wa kizazi cha Tatu alikuwa mwanachama wa Freemason eee?
 
Ndo hapo sasa. Hawa watu wanautajiri wa namba yake. Nimeamini utajir wa mty ni siri yake. Ivi kumbe na baba yetu wa kizazi cha Tatu alikuwa mwanachama wa Freemason eee?
Naskia ni mwanachama
 
Daaaa....R.I.P mwana Freemasons mashuhuli uliyechangia vijana wengi wa Tanzania kuamini kuwa ukiwa mwanachama wa Freemason basi ushatusua maisha yako yote.
 
RIP the Legend. Man of Honor!
Umetimiza majukumu yako vyema Sir Jayantila Keshavji.
 
Mali zake zitayeyuka kama barafu kwenye jua. Pesa na mapepo hizo. Inawezekana ndio kamsaidia kijana wetu anazidi kupepea kimataifa.
 
Ila huyu jamaa alikuwa anatisha na Videvu na macho yale utafikiri Carl Peters.

Alikuwa rafiki mkubwa wa Bamkubwa Mkapa na yeye ndio aliyempeleka huko.

Apumzishwe mahala anapostahili.
[emoji99] [emoji99] [emoji99] [emoji99] [emoji99] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wewe unayekoment kwa kumtuhumu mwenzako kama vile umepewa cheo cha kuwa Mungu hujielewi, hujui historia za kweli na hujui neno la Mungu.
Hukumu zi na yeye Mungu, wewe ni nani hata umuhukumu mwanadamu?
Siri zote zi na Mungu bali yaliyo wazi ndiyo yetu sisi(wanadamu).
Hujui Mungu kasema naye kitu gani kabla ya kufa na yeye amefanya kitu gani hujui.
Dhambi ya kuhukumu hakika itamaliza malilions ya waumini.
Unamuhukumu mwenzako ambaye hujui mwisho wake ulikuwaje, huku umesahau
-Wizi unaoufanya kazini(unaona normal).
-Umalaya unaoufanya kwa siri.
-Wewe si una mganga wako anayetumia mizimwi na tarasimu,na kusoma nyota.
-Kwa siku unadanganya mara ngapi na unaona kawaida .
-Unamtamani mke/mume wa mtu.
-Unapiga chabo n.k
Cha msingi ni kunyenyekea kwa Mungu ili tuwe na mwisho mwema.
Kama hunielewi endelea tu kujihesabia haki kwa kulinganisha njia zako na za watu siku utakayokufa ghafla kwa ajali au kwa namna yoyote bila ya kujitakasa imekula kwako.
 
Back
Top Bottom