Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Oops! His troubles have just begun!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuuuh kumbe na ww ni mwabudu shetaniR.i.p my mate freemason
hili nalo nenoAtazikwa lini na wapi nihudhurie maziko yake? Just for curiosity, how do they burry their dead!
Una uhakika kama huyo Yesu hajatengenezwa na wao?Sasa freemason nikajua wanauwezo wa kuzuia kifo kumbe holaa.
Yesu wangu anatosha kabisa nijapo kufa sitajutia.
Amekukosea nini?.Afilie mbali huko
Plus mafuriko Mererani.....Huenda zile ajali nyingi kipindi chake kilikuwa connected na haya madudu yao. Ajali ya treni na MV bukoba pamoja na ajali mamia za bus.
Mkuu ukweli kuhusu Freemasons sio siri tena,kama mambo ya Freemasons ni siri ni siri kwako.Ni siri iliyo wazi.Kama yeye mwanachama wa daraja la juu kasema uongo basi na wewe ni mwanachama wao, huwezi kujuwa siri za jumuiya isiyokuhusu inayokutana kwa siri.
Huko makanisani kwenu wapo wachungaji wanawatumia waganga wa kienyeji. Hata mzee wa upako alikuwa rafiki kipenzi wa sheikh Yahya Hussein.
Binadamu tumejaa unafki kama mafarisayo.
Wewe ndio unayepanga nani aende Jehenamu na nani aende peponi?Mkuu ukweli kuhusu Freemasons sio siri tena,kama mambo ya Freemasons ni siri ni siri kwako.Ni siri iliyo wazi.
Halafu hao wachungaji washirikina sio wa Bwana Yesu, hao kwao ni jehanam kama Chande.Wokovu uko pale pale mkuu.