F35-Bomber
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 1,345
- 1,069
uwoga wako ndio umaskini wako.Mkuu taja baadhi ya masharti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uwoga wako ndio umaskini wako.Mkuu taja baadhi ya masharti.
uwoga wako ndio umasikini wakoWatu wanaojiunga na Ma-FreeMason ni Matajirina wafanya biashara wakubwa Duniani sio chama cha mchezo kujiunga nacho. huku nilipo Ughaibuni kuna baadhi ya marafiki zangu ni matajiri wamo kwenye Chama hicho cha FreeMason wananijaribu kunishawishi nijiunge ili wapate kunisaidia niwe mtu Maarufu duniani katika kutibu Dawa za asili ninawakatalia kwani masharti yao ni magumu ukifanya makosa wanakuuwa mimi siwezi masharti ya kishetani.
Aliyempeleka wapi?Ila huyu jamaa alikuwa anatisha na Videvu na macho yale utafikiri Carl Peters.
Alikuwa rafiki mkubwa wa Bamkubwa Mkapa na yeye ndio aliyempeleka huko.
Apumzishwe mahala anapostahili.
Sio kila nafsi itaonja MautiKila nafsi itaonja umauti(neno limetimia)
Inyaeeeeee,pwagaa nonoHabari ja leleno Bambo..
Masharti gani hayo magumuWatu wanaojiunga na Ma-FreeMason ni Matajirina wafanya biashara wakubwa Duniani sio chama cha mchezo kujiunga nacho. huku nilipo Ughaibuni kuna baadhi ya marafiki zangu ni matajiri wamo kwenye Chama hicho cha FreeMason wananijaribu kunishawishi nijiunge ili wapate kunisaidia niwe mtu Maarufu duniani katika kutibu Dawa za asili ninawakatalia kwani masharti yao ni magumu ukifanya makosa wanakuuwa mimi siwezi masharti ya kishetani.
HahahahaKwanini wasife?kwani wao sio binadamu? Mbona Wanachama wa Chama cha kupiga Punyeto Tanzania aka (Chapuwata) wanakufa kila siku kwa kupiga punyeto? itakuwa ni chama cha FreeMason?
Amen RaRIP the Legend. Man of Honor!
Umetimiza majukumu yako vyema Sir Jayantila Keshavji.
Huyo ni Hindu wanachomwa!Maziko lini?
Natamani kuona u tofauti wa wao kuzikwa. .
Au atapaa kama yule wa Siloam?
watu wazito kuelewa, mtu akiwa freemason haimaanishi kuwa hana diniNgoja akayathibitishe aliyoaamini hapa duniani.
Heh Tanzania tulikuwa na ma Sir wa kujipachika akina Sir George Kahama na sasa Sir Andy na wote wametangulia mbele ya haki,sijui huo u Sir walipewa na nani na kwa kufanya jambo lipi la heshima.Kwa usahihi huyo ni KBE na sio Sir