TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

That is a logical non sequitur.

Do you know what that means?
Do you think what I have written is not connected in a reasonable way with the existence of God? When we talk about God, we refer to the maker and the ruler of the universe including yourself. I repeat what I said, The fact that you do not have control over your life is a proof of the existence of God
 
Do you think what I have written is not connected in a reasonable way with the existence of God? When we talk about God, we refer to the maker and the ruler of the universe including yourself. I repeat what I said, The fact that you do not have control over your life is a proof of the existence of God
You said that the fact that I have no control over my life is proof that God exists.

That is a non sequitur.

It is like telling a child that the fact that they cannot control a new game they received as a Christmas present shows Santa Claus exists.

What logical connection is there to show that lacking control is proof that God exists?

Actually, on closer inspection and to the contrary, lacking control over ones life shows God does not exist more than it shows God exists.

If God is all loving and all capable, and he created us, why would he create us in a universe in which it is possibke to lack control over our lives while he could have created us in a universe in which we cannot lack control over our own lives?

Do you understand the question?
 
You said that the fact that I have no control over my life is proof that God exists.

That is a non sequitur.

It is like telling a child that the fact that they cannot control a new game they received as a Christmas present shows Santa Claus exists.

What logical connection is there to show that lacking control is proof that God exists?

Actually, on closer inspection and to the contrary, lacking control over ones life shows God does not exist more than it shows God exists.

If God is all loving and all capable, and he created us, why would he create us in a universe in which it is possibke to lack control over our lives while he could have created us in a universe in which we cannot lack control over our own lives?

Do you understand the question?

One thing you have to understand God is sovereign. You are saying if God is loving and capable why couldn't He create us with full control of the universe and our own lives? The answer is simple, He new the rebellious spirit in human beings. So far you do not have control over the universe and your life you behave this way. Suppose, you had full control, how would you behave?
When we talk about God is all about faith, the human spirit has a vacuum that has to be filled in. Those who worship and acknowledge the existence of true God, are filled with the Spirit of God and those who do not acknowledge and worship the true God are filled in with evil spirits. They may pretend to say there is no God, as you are certainly doing, but they have their own god that they worship.
Be frank to your self, aren't you having some worship rituals in your life?
 
One thing you have to understand God is sovereign. You are saying if God is loving and capable why couldn't He create us with full control of the universe and our own lives? The answer is simple, He new the rebellious spirit in human beings. So far you do not have control over the universe and your life you behave this way. Suppose, you had full control, how would you behave?
When we talk about God is all about faith, the human spirit has a vacuum that has to be filled in. Those who worship and acknowledge the existence of true God, are filled with the Spirit of God and those who do not acknowledge and worship the true God are filled in with evil spirits. They may pretend to say there is no God, as you are certainly doing, but they have their own god that they worship.
Be frank to your self, aren't you having some worship rituals in your life?

You blame the rebellious spirit.

Why did God create a universe in which a rebellious spirit is possible while he could have created one in which it is not possible?
 
You blame the rebellious spirit.

Why did God create a universe in which a rebellious spirit is possible while he could have created one in which it is not possible?
In His Sovereignty God created man with free will so that when the rebellious are rightly judged to hell they may not blame any one except their own souls.
 
Kwa hiyo Dayamondi ni member mtiifu wa free mason?
5cafae18d52a7e389a425bff76c0ff24.jpg
Hapo ataanza kuogopa, ukute alijua huko no kufa!
 
Can you prove God exists?

Mungu wa milele ni mkuu sana.

Uwepo wa Mungu hauwezi "kuthibitika" kwa njia ambayo sayansi inataka kuthibitisha au kukanusha ukweli wa kuwepo kwa nguvu ya Mungu katika uumbaji wa ulimwengu haiondoi ukweli halisi wa uwepo wa Mungu katika maisha yetu.

( nukuu kutoka kwa waaminio Waebrania 11: 1-3).

  • Kuna suala la DNA, (DNA is a three-billion-lettered program telling the cell to act in a certain way) computer program is made up of ones and zeros, like this: 110010101011000. The way they are arranged tell the computer program what to do. The DNA code in each of our cells is very similar. It's made up of four chemicals that scientists abbreviate as A, T, G, and C. These are arranged in the human cell like this: CGTGTGACTCGCTCCTGAT and so on. There are three billion of these letters in every human cell!!)

  • Elements 59 zinazopatikana katika mwili wa binadamu hupatikana pia katika udongo,wanasayansi wanajua.
  • kuna mambo ya galaxy etc

Ndugu sisi ni viumbe wa kiroho tulioumbwa katika utatu NAFSI-MIND, MWILI-BODY na sprit-ROHO, tumeumbwa kwa mfano wa MUNGU.

Ukiishi kwa kutambua kuwa upo katika nafsi tatu hilo swali la kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu hata siku moja hauwezi kujiuliza bali utathibitisha mwenyewe kupitia roho/sprit.


Mwili/body ni part ya sisi wala si ukamilifu wa sisi tulivyo ukitaka kujitenga kuwa wewe ni mwili tu, mambo ya kiroho hata nikuelezeje hautaelewa.

Kila aitwaye binadamu ana utashi/hamu ya kuabudu na kujenga imani yake katika sehemu fulani Psychologists wanajua hili ndio maana tangu enzi na enzi watu wamekuwa wakiabudu vitu mbalimbali.


Roho/sprit ni nguvu ya Kiungu ndani yako. Note: kuna nguvu fake zisizotokana na Mungu muumbaji pia.

Kuna watu na akili zao za kutosha tuu wanaamini Mungu wao ni Ng’ombe na wana sababu zao za kutosha, na wengine tumbili na wao wana sababu zao za kutosha.

Naamini pia hata wale wanaosema hakuna Mungu wana Mungu wao wanayemwabudu kama hawa hapo juu maana ile nafsi ya roho aliyoiweka mwenyezi Mungu bado ina tangatanga kufanya kazi.


Nafsi/mind huyu ni wewe mwenyewe

Kwa kamusi ya waingereza

The element of a person that enables them to be aware of the world and their experiences, to think, and to feel; the faculty of consciousness and thought.


Na kwa imani za watu mwili na roho vikitengana hii nafsi huendelea kuishi kwa kutangatanga/kwa utulivu.



Hitimisho:

Mungu yupo na anaishi katika sisi ndo maana tunaweza kusema yale tuyasemayo. Ili kujua/kuhakiki uwepo wake tumia nafasi yako ya pili(roho)
Can you prove God exists?
 
Mungu wa milele ni mkuu sana.

Uwepo wa Mungu hauwezi "kuthibitika" kwa njia ambayo sayansi inataka kuthibitisha au kukanusha ukweli wa kuwepo kwa nguvu ya Mungu katika uumbaji wa ulimwengu haiondoi ukweli halisi wa uwepo wa Mungu katika maisha yetu.

( nukuu kutoka kwa waaminio Waebrania 11: 1-3).

  • Kuna suala la DNA, (DNA is a three-billion-lettered program telling the cell to act in a certain way) computer program is made up of ones and zeros, like this: 110010101011000. The way they are arranged tell the computer program what to do. The DNA code in each of our cells is very similar. It's made up of four chemicals that scientists abbreviate as A, T, G, and C. These are arranged in the human cell like this: CGTGTGACTCGCTCCTGAT and so on. There are three billion of these letters in every human cell!!)

  • Elements 59 zinazopatikana katika mwili wa binadamu hupatikana pia katika udongo,wanasayansi wanajua.
  • kuna mambo ya galaxy etc

Ndugu sisi ni viumbe wa kiroho tulioumbwa katika utatu NAFSI-MIND, MWILI-BODY na sprit-ROHO, tumeumbwa kwa mfano wa MUNGU.

Ukiishi kwa kutambua kuwa upo katika nafsi tatu hilo swali la kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu hata siku moja hauwezi kujiuliza bali utathibitisha mwenyewe kupitia roho/sprit.


Mwili/body ni part ya sisi wala si ukamilifu wa sisi tulivyo ukitaka kujitenga kuwa wewe ni mwili tu, mambo ya kiroho hata nikuelezeje hautaelewa.

Kila aitwaye binadamu ana utashi/hamu ya kuabudu na kujenga imani yake katika sehemu fulani Psychologists wanajua hili ndio maana tangu enzi na enzi watu wamekuwa wakiabudu vitu mbalimbali.


Roho/sprit ni nguvu ya Kiungu ndani yako. Note: kuna nguvu fake zisizotokana na Mungu muumbaji pia.

Kuna watu na akili zao za kutosha tuu wanaamini Mungu wao ni Ng’ombe na wana sababu zao za kutosha, na wengine tumbili na wao wana sababu zao za kutosha.

Naamini pia hata wale wanaosema hakuna Mungu wana Mungu wao wanayemwabudu kama hawa hapo juu maana ile nafsi ya roho aliyoiweka mwenyezi Mungu bado ina tangatanga kufanya kazi.


Nafsi/mind huyu ni wewe mwenyewe

Kwa kamusi ya waingereza

The element of a person that enables them to be aware of the world and their experiences, to think, and to feel; the faculty of consciousness and thought.


Na kwa imani za watu mwili na roho vikitengana hii nafsi huendelea kuishi kwa kutangatanga/kwa utulivu.



Hitimisho:

Mungu yupo na anaishi katika sisi ndo maana tunaweza kusema yale tuyasemayo. Ili kujua/kuhakiki uwepo wake tumia nafasi yako ya pili(roho)

Hujathibitisha kwamba Mungu yupo.

Umeeleza usivyoweza kuthibitisha kwamba Mungu yupo.
 
Freemasons get a pile of bad rep for doing a lot of good things.

I used to date a girl whose grandfather ran for the U.S Senate. He was a Freemason and a very good family man who did a lot of good in their community.

Mnavyosikia Rotary/ Lions Club wanapeleka wagonjwa wa moyo kutibiwa bure India, zote hizo ni kazi za Freemasons katika jamii to a large extent.

Pia wameunganisha watu wa dini tofauti kufanya kazi pamoja for the common good of mankind bila ya kujali tofauti za kidini.

Dini traditional zimeshindwa hili.
si kweli kwamba dini hazijafanya hayo unayoyasema....
BTW Si kila misaada ya kibinadamu ni uthibitisho wa kile ukifanyacho ni chema!!
  • wapo wauza madawa ya kulevya wamefanya mazuri kama kulea watoto yatima, kujenga mashule na hospitali...je hii iwaondoe kwenye makosa ya kuua wengine kwa madawa ya kulevya ?
  • wapo majambazi na waporaji wamefanya mengi mazuri katika jamii zao, je hii itufanye tuwaone ni wema kuliko mangi ambaye kila asubuhi mpaka jioni amesimama akiuza mchele dukani kwake lakini hajawahi kupeleka kilo moja ya mchele kituo cha kulea yatima??
  • je si kwamba wapo wanaofanya mazuri kwa jamii ili hiyo jamii isiwahukumu kwa matendo yao??
 
Hujathibitisha kwamba Mungu yupo.

Umeeleza usivyoweza kuthibitisha kwamba Mungu yupo.
ni kama wewe usivyoweza kuthibitisha kutokuwepo kwake.
Nimekwambia ili uthibitishe uwepo wa Mungu yakupasa uwe mkamilifu, mwili, roho na nafsi kama una upungufu katika hayo matatu hautaweza kupata huo uthibitisho unaoutaka wewe mpaka pale utakapopata upendeleo wa Mungu mwenyewe.
 
si kweli kwamba dini hazijafanya hayo unayoyasema....
BTW Si kila misaada ya kibinadamu ni uthibitisho wa kile ukifanyacho ni chema!!
  • wapo wauza madawa ya kulevya wamefanya mazuri kama kulea watoto yatima, kujenga mashule na hospitali...je hii iwaondoe kwenye makosa ya kuua wengine kwa madawa ya kulevya ?
  • wapo majambazi na waporaji wamefanya mengi mazuri katika jamii zao, je hii itufanye tuwaone ni wema kuliko mangi ambaye kila asubuhi mpaka jioni amesimama akiuza mchele dukani kwake lakini hajawahi kupeleka kilo moja ya mchele kituo cha kulea yatima??
  • je si kwamba wapo wanaofanya mazuri kwa jamii ili hiyo jamii isiwahukumu kwa matendo yao??
Ukristo unasema kwamba bila kumpitia Yesu hufiki kwa Mungu. Wamejitenga kwa kujiona wao bora zaidi.

Uislamu unasemahakuna Mungu ila Allah. Wamejitenga kwa kujiona wao bora zaidi.

Freemasons wanaunganisha Wakristo na Waislamu bila kujali tofauti zao za kidini katika kufanya mambo fulani mema katika jamii.

Hilo halipingiki.

Hilo ni zuri.

Hawana msahafu unaosema huwezi kufika mbinguni bila kupitia Mungu au Mtume wa Freemasons.

Kwa mtoto aliyepelekwa India kutibiwa moyo, hicho ni chema.

Mengine utayapima katika nyanja zake kwa maana hakuna aliye na mema yote.
 
ni kama wewe usivyoweza kuthibitisha kutokuwepo kwake.
Nimekwambia ili uthibitishe uwepo wa Mungu yakupasa uwe mkamilifu, mwili, roho na nafsi kama una upungufu katika hayo matatu hautaweza kupata huo uthibitisho unaoutaka wewe mpaka pale utakapopata upendeleo wa Mungu mwenyewe.
Kisichopo hakithibitiki kwamba hakipo.

Kwa sababu hakipo ili kithibitishwe kwamba hakipo.

Kilichopo ndicho kinathibitika kwamba kipo.

Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Kisichopo hakithibitiki kwamba hakipo.

Kwa sababu hakipo ili kithibitishwe kwamba hakipo.

Kilichopo ndicho kinathibitika kwamba kipo.

Hujathibitisha Mungu yupo.
BTW wewe ni shabiki wa Freemasons au ni muumini wa Freemasons.
Maana si kila mpenda mpira awe mchezaji .
Nataka kuongea na anayecheza mpira ili kumsaidia..
 
BTW wewe ni shabiki wa Freemasons au ni muumini wa Freemasons.
Maana si kila mpenda mpira awe mchezaji .
Nataka kuongea na anayecheza mpira ili kumsaidia..
Unajuaje kwamba wewe ndiye utakayemsaidia yeye na si wewe ndiye utakaesaidwa?

Ushaanza kujitoa kwenye hoja ya Mungu?
 
Tusimhukumu chande yeye amefuata njia aliyoiamini na kukubaliana na matokeo. Sasa muombe MUNGU akuoneshe mahali sahihi pa kusali maana wachungaji wengi ni kama chande so maombi yako hayafiki unapokusudia wewe ingawa unajitahidi kusali na kutoa sadaka kila Siku ila siku ya mwisho YESU atasema "siwajui ninyi hata kama mlikua mkisali kwa jina langu" "watu wangu mnaangamia kwa kukosa maarifa". So utamsema chande ila Siku ya mwisho usishangae mko pamoja tena bora yake alifurahia maisha na utajiri duniani.
 
kafa kaitwa na freemason wenzie au kaenda kwa Sir God?.,.... kweli kila nafsi itaonja umauti
 
Yale yote yatokeao mema na maovu yameruhusiwa na Mwenyezi Mungu kwani ye ndo mdhibiti wa kila kitu,na ye ndo mmiliki wa dunia.
 
Back
Top Bottom