TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

usipotoshe maandiko ulipoambiwa Ombeni chochote uliambiwa maana yake uwaombee hadi wafu?? We unaumwa siyo mzima,MTU asipotubu mwenyewe kabla ya kifo na kujikabidhi mwenyewe upande wa Kristo Hakuna yeyote anayeweza kumuombea heri au kubadilisha hukumu kama ni Jehanamu ni jehanam 2 kama ni uzima wa milele ni uzima wa milele tu hivyo tunapasawa kuishi maisha matakatifu na kutubu dhamabu zetu kabla mauti hayajatufika Hakuna cha RIP au mdogo wake RIP kama Chande Alimrudia MUNGU na kutubu dhambi zake ataurithi uzima wa milele kama ni kinyume na hivyo ni Moto
 
Hiyo national milling ndo ipi? au Ile ya iringa

National Milling Corporation au NMC kwa kifupi kilikuwa ni kiwanda kikubwa cha kutengeneza bidhaa za nafaka, ikiwa ni pamoja na unga wa mahindi, unga wa ngano na mikate maarufu kwa jina la siha.. Wanaokumbuka mikate ya siha watakubaliana na mie ile ilikuwa ni mikate mizuri mno..

Makao makuu ya kiwanda cha NMC kiliuwa pale Tazara ambapo sasa hivi panamilikiwa na Azam.. Mikoani nadhani walikuwa na depots za kuhifadhia bidhaa toka kiwandani Dar es Salaam..
 
Wabonyeaji wa misosi misibani utawagunduwa tu hapa, maana msiba huu hakuna wanawake kupikapika ni bufee ya catering tu, ni lazima muhamie mpaka siku ya maziko.
We waache tu wakale nyama za wafu wao
 
Ni heri mara 1000 uwe member wa Freemasonry kuliko kuwa member wa wale wanaoona ni Sunna /thawabu kumuua mtu wa dini nyingine kisa eti ni kaffir, ajabu zaidi mpaka watu wa dini hiyohiyo wanawaua kisa tu dhehebu tofauti. Very stupid
 
Apumzike kwa amani. Ufafanuzi: kitabu cha Sir Andy kinaitwa A Knight in Africa na siyo Night in Africa. Na maana yake siyo Usiku katika Afrika. Knighthood ni tuzo zinazotolewa na Malkia wa Uingereza kuwaenzi wale waliofanya mambo mema au utumishi uliotukuka serikalini au katika jamii. Waliopata tuzo hiyo ndiyo majina yao yanatanguliwa na kisifa cha Sir kama ilivyokuwa kwa Sir Andy.
 
Sawa kwahiyo ataenda motoni according to you?? Rest In Peace inamaana ya PUMZIKA KWA AMANI, sijaona popote biblia inapokataza kutamka hivyo. Labda unipe andiko mkuu......
 
ha
Sasa mali zote alizozitafit then leo anakufa kuna faid gani


Ujue jinsi gani Mungu alivyo ananguvu, licha ya yooote wafanyayo ila kuzuia kifo imewashinda...laiti wangeweza kuna watu wasingekufa ambao ni hao.

Hawa masonic ndio wanapanga mauwaji ya kila sehemu za dunia kisirisiri wakitumia migongo ya dini.
 
Mwandishi anafanya makosa anaandika "Night in Africa" badala ya "Knight in Africa: Journey from Bukene"

Well, Kiranga angekuwepo angeongea mengi kuhusu JK Chande.

Round Tabler, Rotarian,
Knight of the British Empire.

Rest in perfect peace.
 
Natamani kama angerudi atuambie kuwa alienda upande gani maana alivyokuwa akijisifia kama ashafika mbinguni kumbe alipigwa upofu na mali za Dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…