TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

Wasabato huwa ni wakorofi nyie duhh!
 
Kulala ni kupumzika(To rest).

Biblia inamtaja mtu aliyekufa kuwa amelala mauti.

Kwahiyo sidhani kama ni dhambi kusema Rest In Peace,

Ni maneno mazuri na yenye kuacha faraja kwa wafiwa walioondokewa na mpendwa wao.
 
Huo ni utamaduni tu, na ni kama heshima ya kiduniani huku
 
Wasabato huwa ni wakorofi nyie duhh!
We acha tu ndugu, tatizo hujifanya wana misimamo na wanajua kila kitu na wako sahihi kuliko wengine wote, na kwasababu hiyo ndiyo wanadhani hatujui kwamba ni wao waliomuua Yesu eti hafati sabato huku hawamjui who is bwana wa sabato......anyway! Kuna mambo mengi tu Hellen White na Benn Hinn hawajaweza kuyafafanua.....lakini hawa waliokaririshwa wanaamini ni dini tu inayoweza kuwapeleka mbinguni!!!!!!
 
Huyu mdingi pamoja na kuwa huko nakoamini ni kuchafu lkn kafanya mambo mengi kweli yaani, ila nlichogundua pia inaonekana hakukipenda kiswahili maana kwa miaka aliyokaa bongo angetakiwa awe anasema fasaha sana
 
Yaani si mtandaoni tu, hata mitaani huku huwa nashangaa sana! wanaamini kitendo tu cha kuwa wasabato kinawapeleka mbinguni direct. Matendo hawajali kabisa na % kubwa SANA wapo ovyo kimatendo kama mimi tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…