Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Ughaibuni,huwa anaenda kule The Hague kujibu mashitaka ijapo sikumbuki mara ya mwisho ilikuwa ni mwaka gani.Hivi Charles Taylor alikuwa ni nani huko Liberia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ughaibuni,huwa anaenda kule The Hague kujibu mashitaka ijapo sikumbuki mara ya mwisho ilikuwa ni mwaka gani.Hivi Charles Taylor alikuwa ni nani huko Liberia?
Unakumbuka alivyomuua jenerali aliiyemsaidia Thomas Quiwonkpa? Kabla ya kukosoa jielimishe kidogo. Haya yanafanyika, mie tayari nilikuwa chuo.Walimuua kikatili sana rais Samuel doe.Haikustahili kumdhalilisha namna hiyo hata kama alikuwa dikteta.Bora wangemfunga tu na siyo kama walivyofanya kumkata viungo vya mwili wake.
Kwa taarifa nilizonazo nasikia kuna kikao kikubwa kinaendelea huko baada ya Doe kutaka jamaa afidie sehemu ya adhabu yake ya MotoniSijui wakikuta na Doe itakuwaje.
Hahahahahaha...Kwa taarifa nilizonazo nasikia kuna kikao kikubwa kinaendelea huko baada ya Doe kutaka jamaa afidie sehemu ya adhabu yake ya Motoni
Hivi Charles Taylor alikuwa ni nani huko Liberia?
Mwafrika ukimpa silaha anachizika..
TOKA MAKTABA:
08 October 2023
Charles Taylor: Kupanda na Kuanguka kwa Mbabe wa Kivita wa Liberia
View: https://m.youtube.com/watch?v=9YKqcqMmvFY
Siku ya mkesha wa Krismasi mwaka 1989 kundi la zaidi ya waasi 150 lilivuka mpaka na kuingia kaskazini mwa Liberia kutoka Côte d'Ivoire.
Kundi hilo walikuwa wanachama wa kikundi kipya kilichoundwa, National Patriotic Front of Liberia (NPFL), kilichoongozwa na M-liberia aliye uhamishoni, Charles Taylor.
Mashambulizi haya, ambayo yalianzisha kampeni ya kuondoa udikteta wa Rais master sajenti Samuel Doe, yalianzisha vita vilivyoleta karibu uharibifu kamili wa nchi huru ambayo ni jamhuri kongwe zaidi ya Afrika.
Charles Taylor, kiongozi wao, alikuwa mtu asiyejulikana sana wakati huo, lakini alipaswa kuwa mbabe wa vita maarufu zaidi wa Afrika Magharibi.
Charles Taylor Alipata heshima ya pekee ya kuanzisha vita vya wenyewe kwa wenyewe vya umwagaji damu mkesha wa Krismasi 1989 na hatimaye kushinda kura zote mbili za urais na ubunge katika uchaguzi uliotangazwa kuwa huru na wa haki na jumuiya ya kimataifa.
Hadithi yake inahusisha mamlaka, migogoro, na urithi ambao umekuwa na athari isiyofutika sio tu kwa Liberia, lakini katika eneo zima la Afrika Magharibi.
Historia muhimu kwa watawala wabovu na maamuzi yao ya kibinafsiGood sana
Yeye na huyu jamaa walikuwa kikundi kimoja, mambo waliyofanya sio poa hata kidogo.Hivi Charles Taylor alikuwa ni nani huko Liberia?
Kama doe alikuwa dikiteta bas alistahiliPrince Johnson atakumbukwa kwa kuuondoa Utawala wa Kidikteta wa Samuel Doe.
Naskia kwanza majamaa ya yalimlawiti Doe asee inainekana walikuwa na uchungu mkali saana mioyoni mwao dhidi yake.Kuna video Doe anapiga kelele Prince, Prince, jamaa hasikilizi. Watu wake wanaendelea kumkata masikio Doe. Deo naye wakati anaingia aliwapanga aliowapindua beach na kuwatwanga risasi umati ukishuhudia. Sirleaf Johnson aliponea chupuchupu.
Yote ni kufuatilia upepo na ubatili.