Aliyekuwa mbabe wa kivita Liberia, Prince Johnson afariki dunia akiwa na miaka 72

Aliyekuwa mbabe wa kivita Liberia, Prince Johnson afariki dunia akiwa na miaka 72

Liberia nchi iliyogawanyika kati ya wazawa na wahamiaji wa kiafrika toka marekani.
 
CHATO HOTELI YA NYOTA TANO

SERIKALI YAENDELEA KUIKUMBUKA CHATO YAJENGA HOTELI YA KIMATAIFA YENYE HADHI YA NYOTA 3 INA NA VYUMBA 31


View: https://m.youtube.com/watch?v=FUehMmexRX4


Tanapa yafufua ujenzi hoteli ya kitalii Chato

25 Apr 2024 — Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) linajenga Hoteli ya Kitalii ya nyota tano wilayani Chato, mkoani Geita...

Hoteli ya nyota tatu inayojengwa katika ni mradi wa kimkakati wa TANAPA na lengo lake ni kukuza utalii kanda ya magharibi hivyo kama mnavyoona mafundi wapo saiti wakiendelea na kazi na sisi watu Wetu kutoka TANAPA wapo hapa kuhakikisha Kila kitu kinakwenda sawa.”Amesema

IMG-20240425-WA0094-1024x576.jpg
 
Familia ya rais Mobutu yalilia haki ya nyumba yao kwa miaka 14, mtoto wa Marshal Mobutu azungumzia ugumu baada ya baba yao kuondoka madarakani ..


View: https://m.youtube.com/watch?v=eU3YCimpl3A
Bana ba Kongo waliokuwapo enzi za utawala wa rais Mobutu wanamkumbuka kuwa Mobutu alikuwa ni muunganishi maana enzi zake unaweza kusafiri mikoa yote 11 ya Zaire bila tatizo hasa ukijua Lingala vizuri ....


Na utawala wa sheria ulikuwapo tofauti na sasa baadhi ya mikoa ina majeshi ya mgambo yasiyo rasmi ambayo hayatii amri za kutoka Kinshasa...

Maoni mengine ya wanawaKongo wanasema sakata la watoto wa rais wa zamani Mobutu ni somo zuri la kuwapata kwa wanasiasa wetu wa Kiafrika, ambao ni wabinafsi sana, hawafikirii vizazi vijavyo kama leo tunaona mtoto wake akililia haki. Ndugu zako wakubwa wametesa watu wengi, hata watu wote wakatetemeka enzi za utawala wa Mobutu baba yenu na ,aliacha makovu mengi.


Asante leo tunakuona mtoto wa Mobutu ukiwa na unyenyekevu kama Mama Marie Antoinette roho yake ipumzike kwa amani.


Bwana Mobutu mtoto, unalalamika nini leo hii kupoteza nyumba yako, kwa kuteseka kwa miaka 14? Lakini sisi na familia zetu tumeteseka tangu rais Mobutu aingie madarakani. Mateso haya yaliongezeka hata maradufu kwa Uzairi (Congo Zaire), maana ulipokula kwenye masinia ya dhahabu na kuteremsha matonge ya mlo kwa maziwa, tulikunywa machozi yetu huku tukila pumba za mahindi! Na leo, hatuna chochote cha kuponea, kama wewe, kwa sababu hatukuwahi kuwa na chochote...
 
Nzanga MOBUTU akihojiwa katika makaburi ya jijini Rabat Morocco


View: https://m.youtube.com/watch?v=0hyTLsoxEfg

Nzanga MOBUTU mtoto wa rais Mobutu àkiwa Rabat Marocco kwenye shughuli ya kufangilia kaburi la baba yake Mobutu Sese Seko aliyekuwa rais wa Congo Zaire na kuzikwa uhamishomi alipokimbia baada ya kungolewa madarakani, kisha mfalme wa Morocco kumpatia hifadhi ya kuishi na baadaye kuanga dunia akiwa mkimbizi


Maoni ya machawa wa mfumo :


Asante mwandishi Christian kwa ripoti. Ni kweli Mobutu alikuwa dikteta, hata hivyo alijua jinsi ya kuhifadhi umoja wa kitaifa. Alikuwa kiongozi mkuu, mzalendo.

MARSHAL MOBUTU SESE SEKO KUKU NGBENDU WAZA BANGA! TUNAKUKOSEA SANA

Robo ya karne tayari. Marshal MOBUTU anastahili kutambuliwa. Arudi katika nchi hii ambayo aliipenda sana kwa heshima kutokana na cheo chake. R.I.P.


Tuliuzwa upande mbaya wa hadithi ya Mobutu, tulifanywa kuamini kuwa yeye ndiye muangamizi wa nchi yetu lakini pia lazima tuone pande nzuri za mtu mwenye nguvu wa chui wa madoadoa tricolor.
 
Back
Top Bottom