Aliyekuwa mbabe wa kivita Liberia, Prince Johnson afariki dunia akiwa na miaka 72

Aliyekuwa mbabe wa kivita Liberia, Prince Johnson afariki dunia akiwa na miaka 72

Miongoni mwa maraisi waliopinduliwa na wakabaki salama uraiani tena bila ulinzi wowote ni Valentine Strasser wa Siera Leon.
 
Doe alikuwa ni Dikteta wa hatari kabisa na aliua sana Wananchi wa Liberia na ndiye chanzo cha kuporomoka kwa uchumi wa Liberia aliua wasomi wengi sana.
Yaan mkuu hawa wenye tabia za akina S Doe hapa Africa hasa kipind cha miaka ya 60s- 90s ni wengi sana,sema wengne walbahatika kukmbia nchi zao walipopinduliwa au walkufa wakiwa na mamlaka yao, Ila kuna viongozu wengne wangeliwa nyama kbsaa na wanamapinduz.
 
Yaan mkuu hawa wenye tabia za akina S Doe hapa Africa hasa kipind cha miaka ya 60s- 90s ni wengi sana,sema wengne walbahatika kukmbia nchi zao walipopinduliwa au walkufa wakiwa na mamlaka yao, Ila kuna viongozu wengne wangeliwa nyama kbsaa na wanamapinduz.
Madikteta wa ColdWar wengine walisapotiwa na USSR na wengine US kama akina Mobutu.
 
Yaan mkuu hawa wenye tabia za akina S Doe hapa Africa hasa kipind cha miaka ya 60s- 90s ni wengi sana,sema wengne walbahatika kukmbia nchi zao walipopinduliwa au walkufa wakiwa na mamlaka yao, Ila kuna viongozu wengne wangeliwa nyama kbsaa na wanamapinduz.
Hao wanamapinduzi mbona ndio future ya hao hao madikteta ? There is nothing wrong with Dictatorship so long as you are the Dictator... (Sage words indeed);
 
Madikteta wa ColdWar wengine walisapotiwa na USSR na wengine US kama akina Mobutu.
Nkwel kbsaa!lkn hivu vitendo walvyokuw wakiwatendea wananchi wao vilitoa taswira ya udhaifu wa akili ya mtu mweusi(mwafrica).Na hii imewafanya wajue jinsi gani ya kundeleza ukoloni mambo leo kupitia viongoz.Yaani kuna viongoz ambao wangeweza tawaliwa na waafrica wenzao kirahisi mno.
 
mpaka Alpha Blond aliimba peace Monrovia, peace Liberia


Alpha Blonde- Amani nchini Liberia​

Peace in Liberia

97d616459e672e264dabab5471d67ada-tb.jpg

Ch

Tunataka amani Liberia
Amani huko Monrovia
Tunataka amani Liberia
Amani huko Monrovia
Sababu Babylone haitafufuka tena
Babeli haitasimama tena
Babeli
haitasimama tena
Maana kila siku wanazungumza juu ya
vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Liberia
na kila mahali juu ya JAH. nchi
kavu mito ya damu ee Bwana!!
Haijalishi nani atashinda, Liberia inalia
haijalishi ni nani atashindwa, Liberia bado inalia
haijalishi ni nani yuko sahihi, lazima wasimamishe vita
bila kujali ni nani aliyekosea, shetani bado ana nguvu ...
Kwa hivyo tunataka amani Liberia
Amani huko Monrovia.
Tunataka amani Liberia
amani huko Monrovia
Sababu Babylone haitainuka tena
Babeli haitasimama tena
Babeli
haitasimama tena
Tunamwita Yesu Kristo aniokoe Mimi na mimi Tunamwita
Yesu Kristo aniokoe mimi na mimi
tunamwita. kwa Mwenyezi Mungu aniokoe mimi na mimi
Tukimwita Adonaï aniokoe na
kulia, kulia Liberia
 
Alpha Blondy - Peace in Liberia

View: https://m.youtube.com/watch?v=VjS788Z8COs
We want peace in Liberia
Peace in Monrovia
We want peace in Liberia
Peace in Monrovia
Cause Babylone shall not rise again
Babylone shall not rise again
Babylone shall not stand again
Babylone shall not stand again
Cause everyday they talking about
the Liberian civil war
and everywhere over JAH land
muddy rivers of blood oh Lord!!
No matter who wins, Liberia is crying
no matter who looses, Liberia still crying
no matter who's right, they've got to stop the fight
no matter matter who's wrong, the devil still stronger...
So we want peace in Liberia
Peace in Monrovia
We want peace in Liberia
peace in Monrovia
Cause Babylone shall not rise again
Babylone shall not rise again
Babylone shall not stand again
Babylone shall not stand again
We calling on Jesus Christ to save I and I
We calling Jesus Christ to save I and I
We calling on Allah to save I and I
Calling Adonaï to save I and I
cry, cry Liberia...
 
ASKARI MAHIRI KUTOKA AFRIKA MASHARIKI, ALIYEONGOZA OPERATION NCHI ZA LIBERIA NA NCHI JIRANI YA SIERRA LEONE ASIYETAJWA SANA

UNMIL, simulizi za Luteni Jenerali mstaafu Daniel Opande, PART 1


View: https://m.youtube.com/watch?v=nZef6yJuNeY

Wasifu : 1 Oktoba 2003


NEW YORK, 30 Septemba (Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa) -- Katika barua ya tarehe 29 Septemba 2003, Katibu Mkuu alilieleza Baraza la Usalama kuhusu nia yake ya kumteua Luteni Jenerali Daniel Ishmael Opande wa Kenya kama Kamanda wa Kikosi cha Ujumbe mpya wa Umoja wa Mataifa nchini humo. Liberia (UNMIL).



Alizaliwa tarehe 18 Agosti 1943, Luteni-Jenerali Opande ni mhitimu wa Shule ya Kadeti ya Jeshi la Uingereza (Sandhurst), ambako alitawazwa kuwa Luteni wa Pili mwaka wa 1964.

Amehudumu kama Kamanda wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi, taasisi ya juu zaidi ya kijeshi nchini Kenya. Jenerali Opande pia ni mhitimu wa Chuo cha Wafanyakazi wa Jeshi la Uingereza na Chuo Kikuu cha Ulinzi cha Kitaifa cha Merika.



Jenerali Opande aliwahi kuwa Naibu Kamanda wa Kikosi cha Umoja wa Mataifa cha Usaidizi wa Mpito nchini Namibia (UNTAG) kuanzia 1989 hadi 1990.

Aliwakilisha Kenya katika mchakato wa amani wa Msumbiji kama mwezeshaji na mpatanishi kati ya Upinzani wa Kitaifa wa Msumbiji (RENAMO) na Serikali ya Msumbiji. kutoka 1990 hadi 1993,

Na alihudumu kama Mwangalizi Mkuu wa Kijeshi wa Ujumbe wa Waangalizi wa Umoja wa Mataifa. nchini Liberia (UNOMIL) kuanzia 1993 hadi 1995. Tangu Novemba 2000, amehudumu kwa umahiri kama Kamanda wa Kikosi cha Umoja wa Mataifa nchini Sierra Leone (UNAMSIL)


UNMIL, simulizi za Luteni Jenerali mstaafu Daniel Opande, PART 2

View: https://m.youtube.com/watch?v=sWWF0icn8xQ
 
Jamaa alikuwa anakunywa bia huku Rais Doe akilia kwa maumivu ya kukatwa sikio.
 
Walimuua kikatili sana rais Samuel doe.Haikustahili kumdhalilisha namna hiyo hata kama alikuwa dikteta.Bora wangemfunga tu na siyo kama walivyofanya kumkata viungo vya mwili wake.

Naye alimuua Tolbert kikatili na hapo ndipo Liberia ilibadilika na kuwa sehemu ya vita.
 
Hivi kwan
Aliyekuwa mbabe wa kivita wa Liberia Prince Johnson, ambaye alisimamia mauaji ya kikatili ya aliyekuwa Rais Samuel Doe wakati vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyotikisa nchi hiyo, kabla ya kuwa Seneta na Mfalme wa kisiasa, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 72.

Msemaji wa familia Wilfred Bangura amethibitisha kuwa Johnson, alikuwa na shinikizo la damu kabla ya kufariki Dunia.

Zaidi ya watu 200,000 waliuawa, maelfu zaidi wakipata ulemavu na kubakwa na zaidi ya Milioni Moja walikimbia makazi yao wakati wa vita vya kikatili vya wenyewe kwa wenyewe nchini Liberia kati ya 1989 na 2003, ambapo Johnson alihusika.

Johnson alipata umaarufu baada ya watu wake kumkamata, kumtesa, na kumkata viungo vya mwili Rais wa zamani Doe kabla ya kumuua.

#KitengeUpdates
inini huyu jamaa huyu jamaa hakushitakiwa ICC kama mwenzake chalz Taylor
 
Miongoni mwa maraisi waliopinduliwa na wakabaki salama uraiani tena bila ulinzi wowote ni Valentine Strasser wa Siera Leon.
tena akaishi maisha ya kimasikini balaa mpaka wake zake walimkimbia kwa ufukara
 
Back
Top Bottom