Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

CDM kila siku watu muhimu wanaikimbia..
utasikia chadema iko imara wakati watu muhimu wanaondoka halafu hakuna wanaoingia
Wabunge wengi wa chadema wanatimukia vyama vingine lakini chenyewe hakipokei!!! CHADEMA kwisha habari yake
 
Tabasamu la kinafiki!
 
Thus takukuru waliikataa ile clip yake ya ushahidi walijua ni mwenzao,
Hapa ni kikao cha kumaliziwa advance yake ya kuzugia kwenda mahakamani kupinga kuvuliwa ubunge, chadema walishajua thus awakuhangaika nae.
 

Attachments

  • FB_IMG_1594206301018.jpg
    62.2 KB · Views: 2
Arusha sahau hilo, uje kuniprove wrong uchaguzi ukiisha! sasa kama mna ham msipate hata hio kura moja tenda muwekeni membe cdm, rudieni ule ule utopololo wenu wa lowasa, ccm hawarudii tena kosa baada ya magu kumaliza mda wake
Wewe kweli JUHA , Lowassa ndiye aliyefanya mpaka Ukawa ikapata wabunge wengi sana 2015 ,Lowassa ndiye aliyefanya CDM ikapata Kura zaidi ya 6m+ na hivyo kuongeza Boom na Special seats kamwe faida hizo hauwezi kusema ni UTOPOLO, Wewe Mlamba viatu hauujui Mziki wa Lowassa ,anayejua Mziki wa Lowassa ni Lubuva,Jecha na JPM na ndio maana Msajili wa vyama kaja na sheria mpya inayokataza vyama kuungana,unajua kwanini? Ukipata jibu nenda kapupu ukalale!!
 
utasikia chadema iko imara wakati watu muhimu wanaondoka halafu hakuna wanaoingia
Wabunge wengi wa chadema wanatimukia vyama vingine lakini chenyewe hakipokei!!! CHADEMA kwisha habari yake

Nassari ana umuhimu gani kwa Chadema? Toka avuliwe ubunge hatujamsikia. Na baada ya hii taarifa atapotea tena. Ataweza kuibuka wakati wa uchaguzi akipigia kampeni chama chake kipya na kukisaidia kupambana na chama chake cha awali.

Amandla...
 
Hahaha huyo huwa anazika mbwa kwa mbwembwe na kufanya matanga, msishangae ccm mkaalikwa mbwa wake akifa tena.
 

Acha wivu
 
kwani bado alikuwa Chadema huyu?

au ndiyo yale ya Bernard Membe kutupa kadi ya CCM ilihali alushafukuzwa longi?
 
.....tukisema CDM na MAGENGE ya upinzani ni utopolo mixer undwanye,mnatutukana,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
kwani bado alikuwa Chadema huyu?

au ndiyo yale ya Bernard Membe kutupa kadi ya CCM ilihali alushafukuzwa longi?

Kumbukumbu sahihi kuhusu mh.Membe...aliandika barua kwa katibu mkuu....na pia akarudisha kadi yake ofisi za CCM hapo Londo.
 
Jamaa mpumbavu sana huyu aisee! He is inept with no principles at all. None whatsoever!
 
chadema wameshavunja dole la mwisho wamebakiza dole la kati...

CCM oyeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…