Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

Wapo watu wanaamini Nasary ameongwa, nataka kuwafahamisha kwamba rushwa ya Nassary haitofautiana ya ya Kitila Mkumbo na Dr Slaa.

Nassary alikuwa kijana mtiifu kwa Dr Slaa, na Dr. Moja ya Jambo analoomba usiku na mchana Ni kuona chadema inakufa, nikuona Mbowe anaangamia kisiasa. Moja ya Jambo alilofanya Dr. Nikwenda na deal kwa watawala waliopo Sasa. Kwamba namleta flani lakini apangiwe kazi aweze kuishi na akipata kuishi wengine pia watakuja.

Nassary baada ya kubainika anashirikiana na mzee kukiua chama walimwacha na hata kipindi Cha kuvuliwa ubunge Lema hakusema chochote kwa sababu alishamkataza mara nyingi asiendekeze tumbo kuliko wanadamu waliomthamini akiwa na njaa.

Nassary alitambua kwamba rushwa ya madaraka itamtesa ila hakujipa muda wa kuona itamtesa kiasi gani. Leo katamka wazi kwamba anajua watu watamchukia na kumtukana, hakumaanisha wanachadema Bali anafahamu kwamba si chadema waliompa Ubunge Bali Ni wananchi.

Kwa jina na ukubwa wake kisiasa si mtu wakupokelewa na akina Sabaya, si mtu alipaswa kuuza utu wake kwa ajili ya madaraka. Si mtu aliyetakiwa kupewa ubunge na tume Bali alipaswa kusubiri Ubunge wa wananchi
Ameahidiwa uwaziri, ataupata ila hata angefanikiwa kuwa Waziri mkuu usaliti hautamwacha atembee kifua mbele.

Naamini leo Ni siku ya uzuni kwake kuliko siku nyingine zote, ila pia naamini ataishi mpweke zaidi ya Waitara.

Dr. Slaa, upinzani siyo Nassary Tena upinzani upo miyoyoni mwa kizazi kipya, wazee wazalendo wamepotea acheni kuaribu future za vijana wapeni ushauri sahihi. Leo mtoto akubaliki upinzani wala CCM anasubiri kuishi kwa kudra za mwenyekiti.

Sio lazima uwe umesema ukweli kwa asilimia mia moja, lakini nanusa harufu ya mwelekeo wa ukweli. Hilo la kwamba Slaa anataka cdm ife kwa sababu ya tofauti yake na Mbowe, pia liko wazi. Ngoja tunywe mtori nyama tutazikuta chini. Sasa nimejua kwanini hata mbunge wa Karatu kaondoka cdm.
 
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chadema, Joshua Nassari na mbunge wa sasa wa Karatu,
Willy Qulwi Qambalo wameondoka rasmi ndani ya chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wamepokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa pamoja na viongozi wengine wa Chama mkoa wa Arusha.

Amesema kuwa haikuwa kazi rahisi hata kidogo kufanya hayo maamuzi na akasema kuwa amekwenda Chama Cha Mapinduzi mchana kweupena si usiku kwa sababu moja tu, anachokifanya na alichokuwa anafanya ni swala lililowazi lenye mwanga na la kuelekeza.

Amesema kuwa hakwenda kuzunguza na wao kwa kuwa wamevaa kijani labda kuna kitu anataka hapana ila ni kwa sababu anaipenda nchi yake amesema angeamua kubaki huko duniani atengeneze pesa au kuitunza familia yake na afanye kazi akiwa huko duniani, wamsome kwenye magezati ya kimaaifa akiwa huko angeweza.

Nasari amekishukuru CHADEMA kwa kumlea tangia akiwa mdogo na sasa ameamua kutumikia nchi yake na sina nia ya kugombea nafasi yoyote, kilichopo mbele yake ni kumsaidia Rais John Magufuli.

Siku zote nafanya siasa za kiungwana. Nimeshawaandikia barua Chadema na kiukweli naishukuru Chadema ilinichukua nikiwa mdogo wakanisikiliza wakaona kuna potential ndani yangu. Nawashukuru kwa kunilea nitakuwa mjinga kama sitoikumbuka historia." - Joshua Nassari


View attachment 1500808
Joshua Nassari nakiwa na Willy Qulwi Qambalo​


Huyu aliuza jimbo wakishilikiana na Mashinji
 
Wapo watu wanaamini Nasary ameongwa, nataka kuwafahamisha kwamba rushwa ya Nassary haitofautiana ya ya Kitila Mkumbo na Dr Slaa.

Nassary alikuwa kijana mtiifu kwa Dr Slaa, na Dr. Moja ya Jambo analoomba usiku na mchana Ni kuona chadema inakufa, nikuona Mbowe anaangamia kisiasa. Moja ya Jambo alilofanya Dr. Nikwenda na deal kwa watawala waliopo Sasa. Kwamba namleta flani lakini apangiwe kazi aweze kuishi na akipata kuishi wengine pia watakuja.

Nassary baada ya kubainika anashirikiana na mzee kukiua chama walimwacha na hata kipindi Cha kuvuliwa ubunge Lema hakusema chochote kwa sababu alishamkataza mara nyingi asiendekeze tumbo kuliko wanadamu waliomthamini akiwa na njaa.

Nassary alitambua kwamba rushwa ya madaraka itamtesa ila hakujipa muda wa kuona itamtesa kiasi gani. Leo katamka wazi kwamba anajua watu watamchukia na kumtukana, hakumaanisha wanachadema Bali anafahamu kwamba si chadema waliompa Ubunge Bali Ni wananchi.

Kwa jina na ukubwa wake kisiasa si mtu wakupokelewa na akina Sabaya, si mtu alipaswa kuuza utu wake kwa ajili ya madaraka. Si mtu aliyetakiwa kupewa ubunge na tume Bali alipaswa kusubiri Ubunge wa wananchi
Ameahidiwa uwaziri, ataupata ila hata angefanikiwa kuwa Waziri mkuu usaliti hautamwacha atembee kifua mbele.

Naamini leo Ni siku ya uzuni kwake kuliko siku nyingine zote, ila pia naamini ataishi mpweke zaidi ya Waitara.

Dr. Slaa, upinzani siyo Nassary Tena upinzani upo miyoyoni mwa kizazi kipya, wazee wazalendo wamepotea acheni kuaribu future za vijana wapeni ushauri sahihi. Leo mtoto akubaliki upinzani wala CCM anasubiri kuishi kwa kudra za mwenyekiti.
Huwa nawashangaa sana wanaomuona Slaa ndie alikuwa kiongozi mahiri wa upinzani, eti bila yeye CDM ilipoteza dira, utaweza vipi kuniaminisha mtu aliyepewa ulinzi na TISS baada ya kuondoka Chadema alikuwa mzalendo? mtu aliegaramiwa malazi na chakula hotelini baada ya kuondoka Chadema awe mzalendo?!

Yule mzee ni nyoka mbaya zaidi ya wengi wanavyodhani, alivyokuwa CDM alikuwa anajinasibu ana marafiki zake TISS waliokuwa wanampa taarifa nyeti za serikali wakati ule, then baada ya Lowasaa kwenda upinzani hao rafiki zake wakamwambia huu sasa ndio wakati wako wakutusaidia na sisi, ondoka CDM upunguze nguvu ya UKAWA, jambo ambalo alilifanya, huku akijinasibu kuacha siasa, halafu kwa mlango wa nyuma akirudi kupewa kazi na walewale aliokuwa akiwaponda muda wote akiwa upinzani!
 
Viva Mbowe nikikumbuka ukisema ya Nassar tumwachie mwenyewe sawa huyu Mmeru keshaaondoka zake.

Nakumbuka ile vita ya Wameru na kanisa walivyo, naishia hapo

Nyani haoni kundule
 
Wabunge wengi wa Chadema wanajua kwa awamu hii ni either wasigombee na kupoteza muda na fedha au waunge mkono juhudi. Wengine wameamua kutumia miamvuli ya vyama vingine.

Kwasasa kupona kwa Chadema ni kuungana na ACT wamsimamishe Membe. Lakini watapoteza ushawishi kwa ACT ambao wanauhakika wa viti vingi kutoka Zanzibar.

Mimi ni CCM... Niseme wazi kuwa CHADEMA ndio chama bora cha upinzani na bado kinaendelea kuimarika.
 
Bibi Kutoka Kijiji Cha Ngongongare, kata ya Embasenyi Jimbo la Arumeru Mashariki Amesema " Bora Joshua Nasari Angefariki na Ajari ya helikopta 2015 Wameru Wakamzika, Kuliko Kifo alichokufa jana 2020.[emoji174][emoji174]
 
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chadema, Joshua Nassari na mbunge wa sasa wa Karatu,
Willy Qulwi Qambalo wameondoka rasmi ndani ya chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wamepokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa pamoja na viongozi wengine wa Chama mkoa wa Arusha.

Amesema kuwa haikuwa kazi rahisi hata kidogo kufanya hayo maamuzi na akasema kuwa amekwenda Chama Cha Mapinduzi mchana kweupena si usiku kwa sababu moja tu, anachokifanya na alichokuwa anafanya ni swala lililowazi lenye mwanga na la kuelekeza.

Amesema kuwa hakwenda kuzunguza na wao kwa kuwa wamevaa kijani labda kuna kitu anataka hapana ila ni kwa sababu anaipenda nchi yake amesema angeamua kubaki huko duniani atengeneze pesa au kuitunza familia yake na afanye kazi akiwa huko duniani, wamsome kwenye magezati ya kimaaifa akiwa huko angeweza.

Nasari amekishukuru CHADEMA kwa kumlea tangia akiwa mdogo na sasa ameamua kutumikia nchi yake na sina nia ya kugombea nafasi yoyote, kilichopo mbele yake ni kumsaidia Rais John Magufuli.

Siku zote nafanya siasa za kiungwana. Nimeshawaandikia barua Chadema na kiukweli naishukuru Chadema ilinichukua nikiwa mdogo wakanisikiliza wakaona kuna potential ndani yangu. Nawashukuru kwa kunilea nitakuwa mjinga kama sitoikumbuka historia." - Joshua Nassari


View attachment 1500808
Joshua Nassari nakiwa na Willy Qulwi Qambalo​
Vipi zile flash zake źake za ushahidi bado yupo nazo au hilo halitushusu!!!!😂😂😂


 
Siasa za bongo ni ngumu sana na sometimes hazieleweki. Wananchi tumeendelea kuchanganywa na hawa jamaa kila kukicha
 
Dogo janja amesoma upepo akaona Ni Bora kuungana nao maana upande wa upinzani hauna hoja Tena zaidi ya uanaharakati tu.
 
That's why I hate Politik
JamiiForums-954772894.jpg
 
Back
Top Bottom