Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,910
Mdude Nyangari CHADEMA mbona hachukui form ya ubunge Vawa???Nadhani ameandika huku anakimbia
Hajui kuna mbeya na songwe
Asiogope kila kitu kina mwanzo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdude Nyangari CHADEMA mbona hachukui form ya ubunge Vawa???Nadhani ameandika huku anakimbia
Hajui kuna mbeya na songwe
Hahaha! Huenda mkuuNadhani ameandika huku anakimbia
Hajui kuna mbeya na songwe
Hahaha wananchi wa Momba hawataki upuuzi.Majuzi kwny ziara ya waziri mkuu Silinde anaeleza mambo ya Sgr,Stigler's,flyover jamaa wa momba hata hawamuelewi wanasema hayo ni mambo ya huko dar tueleze mambo ya hapa.
mmempa kesi ya heroin na uhujumi uchumi atachukua saa ngapi hiyo form?Mdude Nyangari CHADEMA mbona hachukui form ya ubunge Vawa???
Asiogope kila kitu kina mwanzo!!
Hahah raia wanaona huyu chalii wa huko dar anatuletea story gani aisee.Hahaha wananchi wa Momba hawataki upuuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah raia wanaona huyu chalii wa huko dar anatuletea story gani aisee.
Mwakajoka Ni moja ya wabunge walipata kura nyingi Sana bunge lililopita.Tundum Ni ya CDMLakini kiufupi Mwakajoka anaenda kung'olewa
Ni wilaya moja wapo ya mkoa wa songweTunduma ni Mbeya???!
Tunduma ni SongweTunduma ni Mbeya???!
Sasa aking'olewa ndio utapata wewe? Mimi napenda wabunge walikuwepo wasirudi ili keki ya taifa iliwe na wengiLakini kiufupi Mwakajoka anaenda kung'olewa
October wananchi ndio wataibuka washindi wa hizi sarakasi zote za hawa mapunguani!Aliyekuwa Mbunge wa Momba (2015-2020), David Silinde amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Tunduma mkoani Mbeya.
Mapunguani hawarudi Bungeni,imekula kwao!!October wananchi ndio wataibuka washindi wa hizi sarakasi zote za hawa mapunguani!
Majuzi kwny ziara ya waziri mkuu Silinde anaeleza mambo ya Sgr,Stigler's,flyover jamaa wa momba hata hawamuelewi wanasema hayo ni mambo ya huko dar tueleze mambo ya hapa.
Mbona alishasema siku nyingi anagombea 2025Mdude Nyangari CHADEMA mbona hachukui form ya ubunge Vawa???
Asiogope kila kitu kina mwanzo!!
Ameshapita, agizo toka juu ni kwamba asitokee mwanaccm yoyote kuchukua form kwenye Jimbo ambalo kuna Mbunge aliyenunuliwa toka Chadema ila wapiga kura watamnyuka kinyama kwenye sanduku la.kura.Jamaa anatoa form huku moyoni akijua silinde hawezi kutoboa Tunduma maana wageni kule hawatakiwi hata
Alijua tu asingetoboa.Kwanini kakimbia jimbo la Momba?