TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

Ni upumbavu wa hali ya juu kila kifo kuhusisha na siasa... Ktk ukoo wenu wote waliokufa walikuwa wanarudisha nyuma maendeleo ya taifa?
Mjinga sana huyu Jamaa, akili za wapi sijui. Restini in Peace wazee wetu
 
M/Mungu awape fungu mnalostahili mh.sitta na mh.mungai.hakika ni pigo kuondokewa na wazee wetu hawa
 
Huyu na yeye atakua alimsema vibaya mzee wa monduli, CHUNGU KINAFANYA KAZI jamani naombeni waheshimiwa mkae na MAMVI muyazungumze yaishe
 
Huyu ataliliwa na nchi Mbili Kenya na Tanzania.. Nakumbuka Ankal Magu majuzi alipotembelea Kenya alisema kuna Mkenya aliyeitwa Mungai aliweza kuwa Waziri nchini Tanzania akisema Tanzania na Kenya ni Ndugu...

Apumzishwe mahali panapostahili...
 
Kuna watu humu ni kama vile hawatakufa. Labda niwakumbuahe tu, hakuna mtu anayekufa kwa sababu alimsema mtu yoyote au hakuna mtu ambaye hatakufa eti kwa sababu hakumsema mtu fulani.

Kifo ni cha kila mwanadamu, cha msingi unaposikia mwenzako amekufa, ujue wewe ndio unafuata na ujiulize umejiandaaje siku yako ikifika sawa sawa na imani yako? Yule aliyekufa hawezi kurudi, so whether umseme vibaya au vizuri, haitakusaidia. Tuweni binadamu.

Pole kwa wakiwa wote
Kama wote tutakufa basi tusiwaseme wengine
 
Ilikuwa awamu nyingine ya mchonga, wakati Sokoine akiwa waziri mkuu.
Hajawahi kutokea waziri mzuri wa elimu Tanzania kama Jackson Makweta.

Hata hivyo utagundua kuwa wakati Sokoine akiwa waziri mkuu, mawaziri wote walikuwa very active na nchi ilikuwa inaenda vizuri sana.
 
Back
Top Bottom