TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

Ninakumbuka hawa wazee kwenye moja ya mabaraza ya uwaziri awamu ya kwanza
wizara ya afya - Aaron Chiduo
" fedha- Amir Jamal
" elimu- Mama Thabita Siwale
" kilimo- Jackson Makweta
Hilo.swali shule ya msingi unapewa sasa hv huwezi hata kalili waziri maana kila siku wanabadilishwa
 
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....

Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......

Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics

Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......

Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......

But ...R.I.P.......
Wakiwa madarakani wanakuwa wapumbavu sn
 
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....

Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......

Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics

Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......

Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......

But ...R.I.P.......
siyo wazee tu ndo wanaokufa but vijana ndo wanakufa wengi take note halafu ni upuuzi kuwasema vibaya watu wanapokufa.
 
View attachment 431075
Joseph Mungai enzi za uhai wake

Habari za kushtusha toka chanzo cha kuaminika Hospitali ya Muhimbili kinathibitisha aliyewahi kuwa waziri wa Elimu ndugu Joseph Mungai na Mbunge wa Mufindi amefariki dunia.!

Geofrey Mungai mtoto wa Marehemu amesema marehemu alipelekwa hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuanza kutapika mfululizo na kudhaniwa kwamba alikuwa amekula kitu kibaya.

Joseph James Mungai alizaliwa tarehe 24 Oktoba 1943
RIP Mungai. Pole kwa wafiwa.
 
Aliwahi pia kuwa waziri awamu ya kwanza.
Ndiye mgeni ambaye hakupata kuhojiwa uraia wake hata mara moja!!! Haitashangaza siku mmojawapo wa wanae "atakapokengeuka" tukasikia ati "athibitishe" uraia wake!!
 
Ndiye mgeni ambaye hakupata kuhojiwa uraia wake hata mara moja!!! Haitashangaza siku mmojawapo wa wanae "atakapokengeuka" tukasikia ati "athibitishe" uraia wake!!
Hata yeye husemwa aliifanyia kazi nchi ya asili yake kutuharibia Elimu yetu
 
Hata yeye husemwa aliifanyia kazi nchi ya asili yake kutuharibia Elimu yetu
Lakini hakusemwa kuwa si raia wa Tanganyika na wale wahakiki!! Bali waliomsema ni wale walioharibiwa elimu huku mitaani... kwa maana wale wengine elimu yetu haiwahusu!!!
 
Back
Top Bottom