God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
Mkuu ndio mimi ni wa kizazi kipya cha tisini naomba unifahamisha.We utakuwa ni wa "kizazi kipya".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ndio mimi ni wa kizazi kipya cha tisini naomba unifahamisha.We utakuwa ni wa "kizazi kipya".
Hilo.swali shule ya msingi unapewa sasa hv huwezi hata kalili waziri maana kila siku wanabadilishwaNinakumbuka hawa wazee kwenye moja ya mabaraza ya uwaziri awamu ya kwanza
wizara ya afya - Aaron Chiduo
" fedha- Amir Jamal
" elimu- Mama Thabita Siwale
" kilimo- Jackson Makweta
Wakiwa madarakani wanakuwa wapumbavu snWazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
siyo wazee tu ndo wanaokufa but vijana ndo wanakufa wengi take note halafu ni upuuzi kuwasema vibaya watu wanapokufa.Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
RIP Mungai. Pole kwa wafiwa.View attachment 431075
Joseph Mungai enzi za uhai wake
Habari za kushtusha toka chanzo cha kuaminika Hospitali ya Muhimbili kinathibitisha aliyewahi kuwa waziri wa Elimu ndugu Joseph Mungai na Mbunge wa Mufindi amefariki dunia.!
Geofrey Mungai mtoto wa Marehemu amesema marehemu alipelekwa hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuanza kutapika mfululizo na kudhaniwa kwamba alikuwa amekula kitu kibaya.
Joseph James Mungai alizaliwa tarehe 24 Oktoba 1943
DuuuhhEndelea kuchanganya masomo huko Mbinguni umeshaongezewa mwana chemistry
Ndiye mgeni ambaye hakupata kuhojiwa uraia wake hata mara moja!!! Haitashangaza siku mmojawapo wa wanae "atakapokengeuka" tukasikia ati "athibitishe" uraia wake!!Aliwahi pia kuwa waziri awamu ya kwanza.
Hata yeye husemwa aliifanyia kazi nchi ya asili yake kutuharibia Elimu yetuNdiye mgeni ambaye hakupata kuhojiwa uraia wake hata mara moja!!! Haitashangaza siku mmojawapo wa wanae "atakapokengeuka" tukasikia ati "athibitishe" uraia wake!!
Lakini hakusemwa kuwa si raia wa Tanganyika na wale wahakiki!! Bali waliomsema ni wale walioharibiwa elimu huku mitaani... kwa maana wale wengine elimu yetu haiwahusu!!!Hata yeye husemwa aliifanyia kazi nchi ya asili yake kutuharibia Elimu yetu