Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No, siri anayo Mungu ndugu yangu! hakuna anayejua no matter umeishi ukitenda yapi, unakumbuka Idd amin aliishi miaka mingapi?Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
NA IKULU SASA KUWA NA MKEMIA WA BANSENBURNER HAIKUCHANGANYI?RIP MUNGAI! Dah bt physics with chemistry ilinichanganya sana 2004!
Umekwisha fanya utafiti wa kutosha kujua hakuna andiko hata moja? Angalia wewe na kizazi chako ndio msije kuwa mmekengeuka.Hakuna andiko hata 1 linaloruhusu kuombea wafu kwahiyo huo niukengeufu wafu hawaombewi milele
Umekwisha fanya utafiti wa kutosha kujua hakuna andiko hata moja? Angalia wewe na kizazi chako ndio msije kuwa mmekengeuka.
Soma katika Biblia Takatifu
WAMAKABAYO-12:46
"Ni jambo Takatifu na lifaalo basi, kuwaombea marehemu ili wafate funguliwa dhambi zao"
We endelea kukengeuka tu, na hiki ndicho kinachozidi kuliponza Taifa la Tanzania kuwa na sampuli ya watu wa aina yako, wavivu wa kusoma, na wagumu wa kuelewa au kudadisi vitu. Nenda Tafuta agano la kale, upate kujifunza vitu, kuliko kuendelea kudumaza ubongo na kuufanya uwe jibini.Wamakabayo ndy kitabu kwenye Bible ipi? Acheni kuhalalisha dhambi kwa ajili ya manufaa yenu bhana Biblia takatifu ina vitabu 66 tu kitabu cha kwanza ni Mwanzo na cha mwisho ni Ufunuo wa Yohana hayo mavitabu mengine unatajua wewe na familia yako
We utakuwa ni wa "kizazi kipya".R.I.P Ila natamani waungwana waniambie Mungai aliharibu vipi mitaala ya elimu