TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

rip, alihamia chadema mwaka jana, kwa ajiri ya kumpigania mwanae ubunge, alibugi stepu
 
Ndio maisha, kila mtu ataonja mauti uwe mwema au la, tusimhukumu siyo kazi yetu hiyo, tangulia salama mzee.
 
Hakika sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea bila kujali wajihi, kiasi cha mali, cheo, ushawishi, ufisadi, kabila, utaifa, rangi, chura, misuli n.k. Tujiandae vema.
 
Tunashukuru kwa mema yote aliyotufanyia watanzania ,kwa mabaya aliyotufanyia tunamsamehe maana hatunaye tena hata tukiyashupalia hasikii wala hatuoni.poleni wafiwa.Mungu amuweke panapomstahili
Makamanda nao wamepata pigo sana hawa ni miongoni mwa wazee watatu wenye nguvu kubwa kisiasa waliohamia CHADEMA mwaka jana. Wengine ni Lowassa na Sumaye. R. I. P Kamanda Munghai
 
Tunashukuru kwa mema yote aliyotufanyia watanzania ,kwa mabaya aliyotufanyia tunamsamehe maana hatunaye tena hata tukiyashupalia hasikii wala hatuoni.poleni wafiwa.Mungu amuweke panapomstahili
hana tunalomkumbuka nalo lolote jema, kaua elimu mkenya huyu, tunashukuru mungu hana upendeleo, hatuna kilio chochote, watoto wetu wanagalagala mitaani matokeo ya ubaya wake, aende anakostahili
 
rip, alihamia chadema mwaka jana, kwa ajiri ya kumpigania mwanae ubunge, alibugi stepu
SERIKALI IWEKE KANUNI ZA KUTANGAZA MISIBA NA VIFO KWA WANANCHI WOTE NA JINSI YA KUPOKEA TAARIFA ZA MISIBA KWA MFANO ULIYEKUWA WA KWANZA KUAMBIWA NA MADAKTARI KUWA FULANI AMEFARIKI UKIJIRIDHISHA KWELI AMEFARI TUNAWEZA WEKA KANUNI MTU WA PILI UNAETAKIWA KUMPA TAARIFA NI KWA KIONGOZI WAKE WA DINI KAMA PADRI SHEIKH AU MCHUNGAJI NAE AKITHIBITISHA KWA KUMWONA MAREHEMU NA AKIPEWA HATI YA KIFO AKATANGAZIE UMMA SEHEMU YA IBADA HAPO NDIO WATU WAPATE TAARIFA ZA KIFO NA KUPANGA NA KUMJADILI MTAFANYIA NINI MAREHEMU HAYA MAJUKWAA MENGINE TUNAYOTUMIA KUTANGAZA MISIBA IPO MISIBA TUTATWANGANA NGUMI AU MATUSI YASIYOMSAIDIA KITU MAREHEMU HATA KUFIKA RECEPTION YA MBINGUNI WAKATI WOTE NI HAKI YETU KUFIKA HAPO MAPOKEZI MBINGUNI KABLA YA KUHUKUMIWA KAMA UTAISHI MBINGUNI AU MOTONI
 
Hapa sijui twende kwenye msiba wa nani maana ni mingi kwakweli
 
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....

Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......

Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics

Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......

Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......

But ...R.I.P.......


Alichezea Elimu LAKINI pia alitengeneza Misingi ya Elimu ambayo kwa sasa imekuwa mihimili mikubwa.

Kuna mahali alikosea llakini mambo mengi alipatia. Kwa kuwa yalikuwa mapya tuliyaona ni ya ajabu
 
Mkuu wazo lako ni zuri ila kama ilivyo kawaida changamoto hazikosi.

Kwa iyo kila mtu awe na dini.
Asipokuwa na dini nani watatangaza?
Kila dini ina taratibu zake, mfano kama jumuiya haikutambui huenda usizikwe kwa baadhi ya madhehebu. Ivyo swala la kifo ni swala mtambuka ambalo viongozi wenyewe wakiona kuna haja ya kuweka kanuni kwa waumini wao wanaweza kufanya.

Ila serikali ikiweka kanuni na kuwashirikisha viongozi wa dini naona kama itakuwa kuingilia mambo ya kiroho
SERIKALI IWEKE KANUNI ZA KUTANGAZA MISIBA NA VIFO KWA WANANCHI WOTE NA JINSI YA KUPOKEA TAARIFA ZA MISIBA KWA MFANO ULIYEKUWA WA KWANZA KUAMBIWA NA MADAKTARI KUWA FULANI AMEFARIKI UKIJIRIDHISHA KWELI AMEFARI TUNAWEZA WEKA KANUNI MTU WA PILI UNAETAKIWA KUMPA TAARIFA NI KWA KIONGOZI WAKE WA DINI KAMA PADRI SHEIKH AU MCHUNGAJI NAE AKITHIBITISHA KWA KUMWONA MAREHEMU NA AKIPEWA HATI YA KIFO AKATANGAZIE UMMA SEHEMU YA IBADA HAPO NDIO WATU WAPATE TAARIFA ZA KIFO NA KUPANGA NA KUMJADILI MTAFANYIA NINI MAREHEMU HAYA MAJUKWAA MENGINE TUNAYOTUMIA KUTANGAZA MISIBA IPO MISIBA TUTATWANGANA NGUMI AU MATUSI YASIYOMSAIDIA KITU MAREHEMU HATA KUFIKA RECEPTION YA MBINGUNI WAKATI WOTE NI HAKI YETU KUFIKA HAPO MAPOKEZI MBINGUNI KABLA YA KUHUKUMIWA KAMA UTAISHI MBINGUNI AU MOTONI
 
Pumzika kwa Amani Mungai,
Alifanya makosa kwenye elimu;
pia aliwekeza sana kwenye elimu,
alijenga shule nyingi za sekondari,
mojawapo ni JJMungai ya mafinga ambayo
aliamua kuitoa kwa serikali ili wasome wanafunzi bure.

Kweli ulikosea ila mimi binafsi nimekusamehe, pumzika kwa Amani
mwalimu; nina matunda ya mikono yako, I cant complain.
 
Shida ya Africa ukiwa madarakani unakuwa robo tatu ni Mungu.
Inabidi wapewe orientation kuwaelewesha kuwa, mambo ya uongozi ni mambo ya kupita, hivyo wasijione kama wao ndo Mungu
 
Alituvurugia sana elimu huyo Joseph Mungai. Alazwe anapostahili.
 
Makamanda nao wamepata pigo sana hawa ni miongoni mwa wazee watatu wenye nguvu kubwa kisiasa waliohamia CHADEMA mwaka jana. Wengine ni Lowassa na Sumaye. R. I. P Kamanda Munghai
Haah! Kumbe ame RIP akiwa kamanda. Looh
 
Mhhh huu mwaka wa shetani mpaka tufike December sijui
Ila ile dua iliyopigwa wakati wa kufunga kampeni jangwani sijapata kuiona tangu nizaliwe

Ni mawazo sitaki maswali
Mkuu naomba video au link nisome.
 
Namkumbuka alipokuwa waziri wa elimu alivyokuwa Catalyst alipochanganya Physics na Chemistry, akafutilia mbali masomo ya biashara na kilimo
 
Back
Top Bottom