Kila wanapoondoka CHADEMA ndio inakuwa na nguvu zaidi.Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Na bado kuna waliokuwa wabunge Chadema kama nane wanahama kesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila wanapoondoka CHADEMA ndio inakuwa na nguvu zaidi.Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Na bado kuna waliokuwa wabunge Chadema kama nane wanahama kesho.
Wanawake ni warahisi sana kupelekeshwa na viongozi wa chadema ndo maana hawahamiKila wanapoondoka CHADEMA ndio inakuwa na nguvu zaidi.
Haya mpe jina!Tuliyajua haya kuwa yanakuja.
Membe kumpindua Lisu nayo yajaTuliyajua haya kuwa yanakuja.
sema yote usimungunye maneno, sema vizuri tu na uwataje,akajambe mbele huko, huyu na Komu si walitaka kum-nanii ? roho ya uuaji huwa haiondoki bila maombi na sala.
Absolutely. Inasemekana mpaka saa hii Tundu Lissu "hana chake" CHADEMAmembe kumpindua lisu nayo yaja
Matumaini ya wendawazimu.Kila wanapoondoka CHADEMA ndio inakuwa na nguvu zaidi.
Walishaondoka, wanasubiri kutangaza tu.Why wanachelewa waondoke mapema wasizibe nafasi.
Sasa kama mlijua mlifanya nini? Mnajua pia Uchaguzi huu msipoangalia mnaweza msipate hata mbunge mmoja. Au hili hamlijui?Tuliyajua haya kuwa yanakuja.