Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinacho nisikitisha kwa wanao hama chadema wanajaribu kuomba nguvu ya chadema ili washindeTuliyajua haya kuwa yanakuja.
Halafu wana huruma sana. Matatizo madogomadogo ya DJ wamekua wepesi sana kumtatulia. Hakika wapewe nafasi za kutoshaChadema iwape Sana nafasi wanawake kwan ni jeshi imara si wepesi kuuza nafsi yao kwa shetani kwa faida ya mda mfupi
Tupe mfano wa hiyo nguvu inayoongezekaKila wanapoondoka CHADEMA ndio inakuwa na nguvu zaidi.
Ana tabia kama za panya za kuuma na kupulizaNi muda wa kujiuliza kwanini mliyajua na kwanini yanakuja maana kubenea kafanya mengi kupitia gazeti lake hadi kumwagiwa tindikali
Nayalikuwa yanakuja upande ule sijui kaota niniTuliyajua haya kuwa yanakuja.
Mwenyekiti alikamatwa anamtongoza wema sepetu na hakua mnyonge. Sembuse Kubenea?Tangu tulipomkamata anamteta Mwenyekiti tukamkaripia amekua mnyonge hadi kaona ajiondokee tu
Unamaanisha Mwenyekiti anayekula Joketi na Anjela kimasikhara ama?Mwenyekiti alikamatwa anamtongoza wema sepetu na hakua mnyonge. Sembuse Kubenea?
Upinzani wakizichanga karata vizuri mda huu na wasingiwe na tamaa ccm wanaenda vulugwaAbsolutely. Inasemekana mpaka saa hii Tundu Lissu "hana chake" CDM
Tunawasubiria mbogamboga a.k.a CCM waanze kuchinjana na kuhamaWakati wa mavuno ndio huu.
Tatizo ni kwamba upinzani ushavurugika na hawana coordination. Utopolo mwanzo mwisho.Upinzani wakizichanga karata vizuri mda huu na wasingiwe na tamaa ccm wanaenda vulugwa
Ukipepeta mpunga unabaki na mpunga safi zaidi baada ya makapi kuondoka, ndivyo ilivyo Chadema makapi yanaondoka chama kinakuwa safi zaidi.Tupe mfano wa hiyo nguvu inayoongezeka
Wakati wa mavuno ndio huu.
Ni muda wa kujiuliza kwanini mliyajua na kwanini yanakuja maana kubenea kafanya mengi kupitia gazeti lake hadi kumwagiwa tindikali
Huyu jamaa sikuwahi kumuelewa bora aende tu zake..
Na KAZI ya Membe itakua nini?!.. FYI Membe is the Zanzibar Job nothing more, Kwa huku bara keshaanza kuongea deliberately Mambo ya kumpunguzia Kura..Kachero Mbobezi in the Bedroom.Soon atakuwa CCM huyu, ACT kaenda kwa kazi maalumu ya ku-monitor mikakati ya Membe dhdi ya serikali. ACT kuweni makini jifunzeni kwa Chadema kuingiza masalia mpaka chumbani hasa kipindi hiki ni hatar kwa usalama wa chama chenu.