Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kalitoa Shamba huko.Hata wanaume pia ,kulibeba hilo ZERO BRAIN Rushaina siyo mchezo.
Ukiwa na akili mnatumia zako, ila kama hauna ndio basi tena.Hata wanaume pia ,kulibeba hilo ZERO BRAIN Rushaina siyo mchezo.
Huyu dada ukisoma majibu yake kuna jambo utagundua. Yupo juu ya manara hata huyo mwandishi aliemhoji yupo level ya chini kwa huyo dada. Hawez kuwa mke wa kilazaRushyna wakati akitambulishwa kuwa Balozi wa Emish Beauty jijini Dar es Salaam amezungumzia pia kuhusu ndoa yake iliyovunjika kati yake na Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara.
Rushyna amesema kama unaona haupati amani sehemu using’ang’anie, mtangulize Mungu mbele kisha endelea kupambana.
SWALI: Uliwahi kukosa amani katika ndoa yako?
JIBU: Somehow
Umewahi kupitia vipigo katika ndoa yako?
JIBU: Kawaida
Unajutia kuoana na Manara
JIBU: 50-50
Umepewa talaka ngapi na Manara?
JIBU: Moja
Hiyo ina maanisha anaweza kurejea kwako?
JIBU: No, kwa sababu hata kuachana kwetu hatukuachana kisheria, ningefuata sheria inamaanisha ningekuwa kwenye eda.
Kwa nini haujadai talaka zote ili uwe huru?
JIBU: Sihitaji hata hiyo ndoa kwa sasa
Una uhusiano na mtu kwa sasa?
JIBU: 50-50
Ni kweli kuwa ulifuata hela kwa Haji Manara?
JIBU: Kwani Haji ana hela? Hana pesa, ana pesa ya kawaida
Haji alikupa kazi kama msaidizi wake, unaendelea na hiyo kazi?
JIBU: HAPANA
Siku ya birthday yake alikupost kisha akafuta, ilikukwaza?
JIBU: Huwa sikwazikagi na mambo ya kijinga
Kuna mtu au watu wamejaribu kuwapatanisha?
JIBU: Nikiamua kitu change siwezi kushauriwa, nikisema nimechoka basi ujue nimechoka
Ukaribu wako na Harmonie upoje?
JIBU: Ni rafiki tu, nina marafiki wengi maarufu, ninawapost pale ninapojisikia
Watu wanasema wewe haujatulia na wewe ndio una matatizo na haukuwa unamsikiliza mume?
JIBU: Siyo kweli, yanayozungumzwa kuhusu mimi ni stori za kutungwa, sitetereki kujibu kwa kuwa habari zote ni za uwongo. Suala la kutulia kila mtu ana muono wake, huwezi kumridhisha kila mtu.
Ni kweli ulimnyima Haji perfume?
JIBU: Kwanza hilo jambo hata ukilisikia unaona halina maana
Ni kweli utarudi Shinyanga?
JIBU: Nitarudi (anacheka)
Kichomi cha kifuaniMke ana akili kama za mumewe😂
Mwanamke kama huyu hutakiwi kuwa mtu wa kurudia sentensi mara 2 kama unataka kweli atulie kwako. Ukiwa mtu wa kualamika tu umeisha.Huyu dada ukisoma majibu yake kuna jambo utagundua. Yupo juu ya manara hata huyo mwandishi aliemhoji yupo level ya chini kwa huyo dada. Hawez kuwa mke wa kilaza
Huo mradi wanagawa mtaji bure auUkitaka mali utaipata shambani.
vijana changamkieni fursa ya kilimo iliyo tangazwa na Waziri Bashe, kilimo biashara ndio kitakacho tukomboa kiuchumi jisajili sasa kupitia mradi wa BBT.
achaneni na huu upuuzi wa mtu mmoja.
unapatiwa elimu bure na kisha unakopeshwa mtaji wa kuanzisha kilimo biashara, tuache kupotezewa muda wetu na wapuuzi wachache ambao wamevimbiwa.Huo mradi wanagawa mtaji bure au
Unaendeshwa wapi?unapatiwa elimu bure na kisha unakopeshwa mtaji wa kuanzisha kilimo biashara, tuache kupotezewa muda wetu na wapuuzi wachache ambao wamevimbiwa.
Fomu ya usajili inapatikana kwenye tovuti ya wizara ya Kilimo www.kilimo.go.tz kisha unatuma Fomu yako kwenye email bbt@kilimo.go.tzUnaendeshwa wapi?
Ukiwa na akili mnatumia zako, ila kama hauna ndio basi tena.
Ila mkuu si tulishakubaliana mwanamke trakooo akili tutatumia zenu? Au zenu zimepwaya?🙆🙆🙆🙆
Tangazo la BBT,halikuwafikia watu wengi hasa vijijini,halafu muda ukawa mfupi wa kuomba,hakika vijana hawajatendewa haki.Anyway ngoja wapate walioomba.Ukitaka mali utaipata shambani.
vijana changamkieni fursa ya kilimo iliyo tangazwa na Waziri Bashe, kilimo biashara ndio kitakacho tukomboa kiuchumi jisajili sasa kupitia mradi wa BBT.
achaneni na huu upuuzi wa mtu mmoja.
matangazo ylifika hadi vijijini, mimi nipo ipalamwa huku lkn nimezipata taarifa ila watu wa dsm wapo bise na udaku na ubuyu !!! mambo ya maana kama haya yanawapitaTangazo la BBT,halikuwafikia watu wengi hasa vijijini,halafu muda ukawa mfupi wa kuomba,hakika vijana hawajatendewa haki.Anyway ngoja wapate walioomba.
Nadhani mwisho ilikua tarehe 30,lakini halmashauri nyingi zilikua kimya.
Vipigo-kawaidaRushyna wakati akitambulishwa kuwa Balozi wa Emish Beauty jijini Dar es Salaam amezungumzia pia kuhusu ndoa yake iliyovunjika kati yake na Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara.
Rushyna amesema kama unaona haupati amani sehemu using’ang’anie, mtangulize Mungu mbele kisha endelea kupambana.
SWALI: Uliwahi kukosa amani katika ndoa yako?
JIBU: Somehow
Umewahi kupitia vipigo katika ndoa yako?
JIBU: Kawaida
Unajutia kuoana na Manara
JIBU: 50-50
Umepewa talaka ngapi na Manara?
JIBU: Moja
Hiyo ina maanisha anaweza kurejea kwako?
JIBU: No, kwa sababu hata kuachana kwetu hatukuachana kisheria, ningefuata sheria inamaanisha ningekuwa kwenye eda.
Kwa nini haujadai talaka zote ili uwe huru?
JIBU: Sihitaji hata hiyo ndoa kwa sasa
Una uhusiano na mtu kwa sasa?
JIBU: 50-50
Ni kweli kuwa ulifuata hela kwa Haji Manara?
JIBU: Kwani Haji ana hela? Hana pesa, ana pesa ya kawaida
Haji alikupa kazi kama msaidizi wake, unaendelea na hiyo kazi?
JIBU: HAPANA
Siku ya birthday yake alikupost kisha akafuta, ilikukwaza?
JIBU: Huwa sikwazikagi na mambo ya kijinga
Kuna mtu au watu wamejaribu kuwapatanisha?
JIBU: Nikiamua kitu change siwezi kushauriwa, nikisema nimechoka basi ujue nimechoka
Ukaribu wako na Harmonie upoje?
JIBU: Ni rafiki tu, nina marafiki wengi maarufu, ninawapost pale ninapojisikia
Watu wanasema wewe haujatulia na wewe ndio una matatizo na haukuwa unamsikiliza mume?
JIBU: Siyo kweli, yanayozungumzwa kuhusu mimi ni stori za kutungwa, sitetereki kujibu kwa kuwa habari zote ni za uwongo. Suala la kutulia kila mtu ana muono wake, huwezi kumridhisha kila mtu.
Ni kweli ulimnyima Haji perfume?
JIBU: Kwanza hilo jambo hata ukilisikia unaona halina maana
Ni kweli utarudi Shinyanga?
JIBU: Nitarudi (anacheka)
Tena bongo movie ndo usiseme mimalaya imejaaa humo yaaani wanuka k ni wengi mpaka kero watu wanadanga mchana kweupeDemu kumbe alitaka umaarufu ila wote walikutana pipa na mfuniko.
Umaarufu bila kipaji tutegemee nae atajiunga soon na timu ya wadangaji wa insta,wanaotumia kichaka cha bongo movie na muziki kuficha umalaya wao.