Aliyekuwa mke wa Manara, Rushyna asema "Kwani Haji Manara ana hela? Hana pesa, sikwaziki na mambo ya kijinga"

Aliyekuwa mke wa Manara, Rushyna asema "Kwani Haji Manara ana hela? Hana pesa, sikwaziki na mambo ya kijinga"

Kama ana akili kila swali aliloulizwa angejibu "NO COMMENT"

Sasa hiyo press conference ilikuwa ni ya kutangaza ambassador mpya wa hiyo kampuni au ilikuwa sehemu ya kujibu maswali ambayo hayahusiani na biashara kwa 100%

Nina uhakika hata waandishi wa habari hawajauliza maswali ya msingi kuhusu hiyo kampuni na bidhaa zao kwasababu umbea ndiyo unauza bongo.
Hao wambea sio waandishi, huenda hawana hata idea ya hiyo product
 
Siku hizi kua Balozi wa Brand imekua rahisi sana kama kumsukuma mlevi tu! Ndio maana hata Dr Shika alikua balozi kwa umaarufu alioupata kwa kuharibu mnada wa Nyumba za Lugumi!

Mtu ana kesi Mahakamani ila akawa anatumika kama Balozi!

Huyo Mwanamke ameongea utoto na ujinga na inaonekana alikua kamtawala Haji,umaarufu wake ni kama harufu tu,utapita na atasahaulika.
Facts nzuri sana
 
Ukiwa na akili mnatumia zako, ila kama hauna ndio basi tena.

Ila mkuu si tulishakubaliana mwanamke trakooo akili tutatumia zenu? Au zenu zimepwaya?🙆🙆🙆🙆
Ww unatako tuanzie hapo
 
Huwa nasemaga Mara kwa Mara,mwanaume hapaswi kuwa goigoi Kama Haji manara.

Haji anaachwa na mwanamke analialia mitandaoni na kuanguka anguka na kuzimia Kama kuku mwenye kifadulo na anaishia kuwapa kazi ya kumpepea,kisa? Huyu Mwanamke.

Mwanaume unapaswa kuwa ndiyo king of the territory Kisha mwanamke anaingia kwenye ufalme wako. Kwa majibu hayo Ni wazi kabisa hiyo ndoa hata kabla hawajaachana, mwanamke alikuwa anampelekesha Sana Haji.

Men,

Odds is too tough to us,usisubiri mwanamke akuchanie mkeka Kisha unaanza kulialia. Kama mwanamke wako akigundua wewe ni weak man,you are finished !! Hawanaga huruma hawa.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Bora hata wewe umewaelewa wanawake...mwanamke akishakujua wewe ni dhaifu utajuta mara elfu mia..bora ulilie vichakani hukoo
 
Huyu dada ukisoma majibu yake kuna jambo utagundua. Yupo juu ya manara hata huyo mwandishi aliemhoji yupo level ya chini kwa huyo dada. Hawez kuwa mke wa kilaza
Nami nmeliona Hilo,
Shes manipulative woman,
Manara tayar alilshajaa kwny mfumo wake ndo maana sarakasi kibao za kuzimia[emoji2960]
 
Mwanamke kama huyu hutakiwi kuwa mtu wa kurudia sentensi mara 2 kama unataka kweli atulie kwako. Ukiwa mtu wa kualamika tu umeisha.

Mwanamke mkorofi dawa yake ni ubandidu tu. Dakika 2 unacheka dakika 3 mbele umechenjia haswa hadi anakuwa mpole. Akitaka kujiinua tena unamtia vibao. Na ndo maana kwenye kupigwa anapigwa sana kwenye mahusiano sio mwanamke reliable unaeweza kumuita mke unasuuza rungu unapita hivi.
Kabisa,
Ni mwanamke flan hivi mjivuni sana
 
Madogo wamefeli physics kinoma [emoji2961] yaani hamna shule yenye Grade A kwenye physics amakweli necta ni moko
Kemeboss na st. Francis wenye one za 7 kibao nako hamna?[emoji848]
 
Back
Top Bottom