NGOMEKONGWE2021
JF-Expert Member
- Dec 6, 2021
- 616
- 1,225
huu ni ushauri wa kiboya.......huyo mwanamke siyo wa kumuamini kanbisaMsamehe,mlee watoto pamoja,
Msamehe amekiri kosa hivyo hatorudia tena,msamehe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu ni ushauri wa kiboya.......huyo mwanamke siyo wa kumuamini kanbisaMsamehe,mlee watoto pamoja,
Msamehe amekiri kosa hivyo hatorudia tena,msamehe.
yule tunatupa kule by documents muda si mrefuMwambie afe hata leo ,huyo ni snake in the monkey shadow
Hivi ushaona wapi mwanamke anaependa umalaya akaweza kujisimamia??Wanawake, kama huwezi kujisimamia tulia.
Ajinyonge wenzie wawahi hiyo kamba wapate zindiko la biashara.
Mkuu sijayaandika yoote huyu kinachomrudisha ni ugumu wa maisha ila si kujutia sababu anaamini mimi siwezi muacha hivo atantumia kama ngazi ili afike malengo yake.Sema Mimi huwa nahusudu Sana kumsamehe mtu ambae najua kashaenda uko yamemshinda, afu akarudi mikono nyuma (ILA AKIWA SALAMA, Hana ngoma)[emoji4]
Ile moment huwa naifurahia Sana[emoji4]
Afu Kingine,
Huwa naamini mtu uyo anayo nafas kubwa ya kua mtu Bora Zaid maana najua uko alikotoka keshapata darasa tosha la maisha na upendo maana Ake Ni Nini.
Akili yangu inanambia,
Sidhan Kama mtu uyo anaweza rudia Tena Ujinga ule tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah,juzi nimekutana na dili ya kamba aliyojinyongea mtu...tena kutoka kwa wazungu wajerumani.Wanawake, kama huwezi kujisimamia tulia.
Ajinyonge wenzie wawahi hiyo kamba wapate zindiko la biashara.