Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Baba J weeee ushaponaga moyo siku hizi hautaki shobo, enzi zile ulikua unatia huruma....acha nae huyo fisi tena mblock
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa mzaramo wa pwani huyotupa kule tapishi hilo.
ila we jamaa unaonekana mbea mbea sana maana umeandika kama unaimba taarabu
Nakubali mkuu now sitii hurumaBaba J weeee ushaponaga moyo siku hizi hautaki shobo, enzi zile ulikua unatia huruma....acha nae huyo fisi tena mblock
Acha tuu iwe ivo hujui niliyopitiaAtakuwa mzaramo wa pwani huyo
Acha niimbe hata mduara mzeetupa kule tapishi hilo.
ila we jamaa unaonekana mbea mbea sana maana umeandika kama unaimba taarabu
Nitumie namba ya wakala PM nikutumie hela ya sodaMm ni mwanamke ila sikushauri umuonee huruma. Hawa wasaliti acha wale matunda ya uamuzi wao.
Mwanamke akileta umang'aa hakuna kumuhurunia.Msamehe,mlee watoto pamoja,
Msamehe amekiri kosa hivyo hatorudia tena,msamehe.
Maamuzi yakuchagua chaka Leo imafahamika halikua chaka languUamuz wako n matokeo ya kesho, amua vyema uje kuishi vyema.....
Tena hovyo zaid ako mkuuWe ni kijana wa hovyo
Sidhan jama ananikuta ila wa hovyoTena hovyo zaid ako mkuu
Mwambie afe hata leo ,huyo ni snake in the monkey shadowYaani hata mwaka hajatimiza kachakaa mbaya anakazi yakumsema shetani Mara yule hawara kamwaribia maisha na blaa kibao anasema kama nitamkataa bora afe kuliko kushuhudia naoa mke mwingine.
.
Ha ha ha ila Mimi- wewe ndiyo unanishangaza na yule mchepuko wako aseeh. Unakomaa naye kama vile mkeo na mna watoto kwahiyo hamuwezi kuachana yaani.Kwakweli
Mambo ya wanandoa Yana changamoto Sana.
Sema Sasa sijaona mahali kama umeandika unahitaji ushaur,pongezi au maoni.
Zaid zaidi naona umewashaur tu hawa dada zetu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha wewe umepigwa limbwata siyo bure aseehUmesahau yale ya Mimi na Mchepuko yule wangu msumbufu?
Huwez Amin Tusharudiana tayar, alitumia vizur udhaifu ule wangu kumaliza mgogoro wetu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha naona akili yako inavyoamua kujifariji na kujidanganya.Afu Kingine,
Huwa naamini mtu uyo anayo nafas kubwa ya kua mtu Bora Zaid maana najua uko alikotoka keshapata darasa tosha la maisha na upendo maana Ake Ni Nini.
Akili yangu inanambia,
Sidhan Kama mtu uyo anaweza rudia Tena Ujinga ule tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haWe ujui tu hawara anavyolaza manyonyo
Dah! Kamuvi nakakubali sana hakoMwambie afe hata leo ,huyo ni snake in the monkey shadow