Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
- #161
Mbona niliyakuta ya wenzangu nikavumilia ila hili kombo jipwa labda nikupe wewePapuchi haina makombo we endeleza walipoishia wenzio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona niliyakuta ya wenzangu nikavumilia ila hili kombo jipwa labda nikupe wewePapuchi haina makombo we endeleza walipoishia wenzio.
Hawa viumbe hawastahili hata kupiganiwa haki zao maana hawana zaidi ya ujingaView attachment 2107918
Kuna raia katumiwa hizo msg na mwanamke aliyempenda kwa dhati,
jamaa alikua anamuhudumia kama mke wake wa ndoa mwisho wa siku katumiwa msg hizo
Sure inauma saanaYani me dem akiniacha kisa mwanaume mwingine af arudi baada ya mambo kumshinda ase ntakayomfanyia atasimulia vizazi na vizazi!
Yaan napita nao mbali kinomaMzee huu ushauri umetoka kuzimu usijaribu hata kuufikiria.
Mpaka unamtusi hivyo huyo mdada wa watu, amekukosea nini?!Msenge kweli we jamaa
Simamia maamuzo..ukiruhusu huyo nguchiro arudi ataweka beakon kisha safar yako inawadia tunakulia ubwabwaNnamaamuzi tayari ndo mana nimetoa ushauri kwa hawa Masada zetu
Anakuweka coordinates ukiingia kichwa kichwa anakumalizaJuzi had I anajilegeza kabisa nimekaza na si kawaida yangu mpaka anashangaa
Wako wanaojielewa(baadhi).halafu mkuu Mungu alipowaumba Hawa hakuumba kila mmoja aolewe..huyo wako anaangukoa kundi Hilo..."manungayembe"Hawa viumbe hawastahili hata kupiganiwa haki zao maana hawana zaidi ya ujinga
Yan huyu hana tofauti na watawala wa kiafrika.Rais ana jopo la washaur lakin kila wakikutana badala ya wao kumshauri,yeye ndio anawashauri 😂😂😂😂Kwakweli
Mambo ya wanandoa Yana changamoto Sana.
Sema Sasa sijaona mahali kama umeandika unahitaji ushaur,pongezi au maoni.
Zaid zaidi naona umewashaur tu hawa dada zetu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha....Yan huyu hana tofauti na watawala wa kiafrika.Rais ana jopo la washaur lakin kila wakikutana badala ya wao kumshauri,yeye ndio anawashauri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Yan huyu hana tofauti na watawala wa kiafrika.Rais ana jopo la washaur lakin kila wakikutana badala ya wao kumshauri,yeye ndio anawashauri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm ni mwanamke ila sikushauri umuonee huruma. Hawa wasaliti acha wale matunda ya uamuzi wao.Ila Mimi nnamsikitikia tuu kitendo cha kurudi kwangu ndo namshangaa
Anahisi ninashughuli (biashara) naifanya sema hajui ni anahangaika kunichunguza coz anaona mambo yang yanaenda tuuSwali langu n moja tu, ulipata kazi nyingine? sababu ndio hasa sababu ya kuachana...
Ashalia saana katika hili na mwisho ni uongo mtupuNever trust a cried woman, Piga chini
Tukujengee mnara ikulu kwakua mkweliMm ni mwanamke ila sikushauri umuonee huruma. Hawa wasaliti acha wale matunda ya uamuzi wao.