Aliyekuwa mke wangu, analazimisha kunirudia

Aliyekuwa mke wangu, analazimisha kunirudia

Mabibi na mabwana,

Yule shemeji yenu aliyenivuruga na kunitelekeza na watoto kwa mbwembwe na kiburi sasa ana-force kurudi akiwa hoi bin taaban. Anadai hata nikim-crash vipi mimi ndio mume wake baba watoto wake. Maajabu na sasa. Yaani msg simu haziishi sorry za kila aina mhhh sijui katumwa huyu?

Ila za chini chini nasikia jamaa kambwaga baada yakuona mtelezo hamna tena (walitegemea vi sumli vyangu kundesha mapenzi yao)

Ofisi niliyomfungulia ikampa jeuri kupata pesa za kuhonga sasa kapigwa notice ya either ahame au alipekodi mara mbili aiseeh Mungu yuko fast a saana. Sasa hajui ataishije mjini hapa.

Yaani hata mwaka hajatimiza kachakaa mbaya anakazi yakumsema shetani Mara yule hawara kamwaribia maisha na blaa kibao anasema kama nitamkataa bora afe kuliko kushuhudia naoa mke mwingine.

Chaajabu alishaanza na process za kudai talaka sa sijui ni msaidiaje? Kwake naona kinyaaaaa, na nipo natafuta na kuchovya chovya mabitch wengine nipate wakuishi nae tusogeze siku maana hawaeleweki hawa.

Note: Madada wa humu JF msicheze na ndoa Mungu analipa fasta siku hizi kama hujui maana ya ndoa usiing'ang'anie na kusumbua mwanaume utabeba laana na mikosi bure.

Screenshot_20220203-204259_Messages~2.jpg


Kuna raia katumiwa hizo msg na mwanamke aliyempenda kwa dhati,

jamaa alikua anamuhudumia kama mke wake wa ndoa mwisho wa siku katumiwa msg hizo
 
Sema Mimi huwa nahusudu Sana kumsamehe mtu ambae najua kashaenda uko yamemshinda, afu akarudi mikono nyuma (ILA AKIWA SALAMA, Hana ngoma)[emoji4]
Ile moment huwa naifurahia Sana[emoji4]

Afu Kingine,
Huwa naamini mtu uyo anayo nafas kubwa ya kua mtu Bora Zaid maana najua uko alikotoka keshapata darasa tosha la maisha na upendo maana Ake Ni Nini.

Akili yangu inanambia,
Sidhan Kama mtu uyo anaweza rudia Tena Ujinga ule tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wengine Tania ipo kwenye damu . Kwahiyo hawabadiliki hata ikiwaje
 
Msamehe tu kwa maslahi mapana ya watoto wenu.

Ni kawaida sana wazazi kuachana tena kwa nyodo na kashfa, ila baada ya muda utakuta wanarudiana.

Mara nyingi, Tukio la kuachana kwa wazazi huwa linakujaga kujirudia kwenye maisha ya watoto, nao wanapokuja kuoa/ kuolewa - wanapogombana kidogo tu wanachofikiria ni kuachana. Hivyo msingi wa kuachana kwenu chanzo chake ni maamuzi ya wazazi wenu, au mwanandoa mmoja hakuwahi kulelewa na uwepo wa Baba na Mama kwenye makuzi yake.
Unachoongea ndio uhalisia lakini siwezi ilazimisha nafsi yangu yaan nishaamua
 
hii iko pande zote, hata kwa "Ke" ukiachana na mume aliyekuwa anakunyanyasa halafu mambo yake yasiende alivyokuwa anategemea tunafurahia.
Ila Mimi nnamsikitikia tuu kitendo cha kurudi kwangu ndo namshangaa
 
Back
Top Bottom