Najaf
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,505
- 2,393
Vijana hao wanamihemko sana!!!muvangulumemile naomba ufute post yako uliyoniquote TAFADHALI
wengine hizo pigo za matusi siyo type yetu,
Nisamehe bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana hao wanamihemko sana!!!muvangulumemile naomba ufute post yako uliyoniquote TAFADHALI
wengine hizo pigo za matusi siyo type yetu,
Nisamehe bure.
Wewe muda wote unashinda kule kwenye kula kimasikhara,Mbona mimi nimejifunza kuwa mwema hutaki kunisikiliza
Nimemshangaa bure,wengine kutukana wanaona ni ujanja,kumbe ni hovyo kabisaVijana hao wanamihemko sana!!!
Mbona nilishaacha kitambo nenda kule uone kama utakuta comment yangu bibie [emoji3]Wewe muda wote unashinda kule kwenye kula kimasikhara,
Acha kutumia ule uzi,nikupe nafasi
Naenda[emoji2442][emoji2442][emoji2442]Mbona nilishaacha kitambo nenda kule uone kama utakuta comment yangu bibie [emoji3]
Nenda kisha urudi hapa haiwezekani unitese mtoto wa mwanamke mwenzioNaenda[emoji2442][emoji2442][emoji2442]
Kabla ya kusamehe amkague kwanza marinda, ahakikishe yapo yote 32 lisipungue hata rinda moja.Vibaya hivo mkuu mpokee tu mwenzio mlee watoto... Kumbuka ameshanyonyesha sana watoto wako Ndiomana chuchu zikalala! Msamehe jamani
[emoji23][emoji23][emoji23]Ameyazoa yakuyazoa hukoo ameyabeba yakuyabeba sasa yamemshinda sasa anataka Kurudi....ndoa hiziiiiiiii[emoji134][emoji134][emoji134]!!
Mnatumika sio kwa sababu hamna pesa,, ila ni sababu mnataka kutumikaHapana atuinue kichumi kwani kupitia kigezo hiko tinajikuta sometimes tunanyanyasika sana na kutumika kingono mnoo!
Nakupa wiki mbili,endelea hivyo usiende kuleNenda kisha urudi hapa haiwezekani unitese mtoto wa mwanamke mwenzio
Usikubali anataka kurudi si kwamba anakupenda au katambua makosa yake, hapana bali mambo yameenda kombo anawaza aje apate pa kukaa na kula. Asingekuwa kafulia hata asingerudi. Tena kaza nut taraka itokeMabibi na mabwana,
Yule shemeji yenu aliyenivuruga na kunitelekeza na watoto kwa mbwembwe na kiburi sasa ana-force kurudi akiwa hoi bin taaban. Anadai hata nikim-crash vipi mimi ndio mume wake baba watoto wake. Maajabu na sasa. Yaani msg simu haziishi sorry za kila aina mhhh sijui katumwa huyu?
Ila za chini chini nasikia jamaa kambwaga baada yakuona mtelezo hamna tena (walitegemea vi sumli vyangu kundesha mapenzi yao)
Ofisi niliyomfungulia ikampa jeuri kupata pesa za kuhonga sasa kapigwa notice ya either ahame au alipekodi mara mbili aiseeh Mungu yuko fast a saana. Sasa hajui ataishije mjini hapa.
Yaani hata mwaka hajatimiza kachakaa mbaya anakazi yakumsema shetani Mara yule hawara kamwaribia maisha na blaa kibao anasema kama nitamkataa bora afe kuliko kushuhudia naoa mke mwingine.
Chaajabu alishaanza na process za kudai talaka sa sijui ni msaidiaje? Kwake naona kinyaaaaa, na nipo natafuta na kuchovya chovya mabitch wengine nipate wakuishi nae tusogeze siku maana hawaeleweki hawa.
Note: Madada wa humu JF msicheze na ndoa Mungu analipa fasta siku hizi kama hujui maana ya ndoa usiing'ang'anie na kusumbua mwanaume utabeba laana na mikosi bure.
We endelea kuninyanyasa tu sio vizuri ujueNakupa wiki mbili,endelea hivyo usiende kule
Kipimo cha imani[emoji23]We endelea kuninyanyasa tu sio vizuri ujue
Unachelewesha watoto wetu shuleKipimo cha imani[emoji23]
Kubali kataaa ule ndio ukweli!Mnatumika sio kwa sababu hamna pesa,, ila ni sababu mnataka kutumika
Hahaa... Inasikitisha na kuhuzunisha sanaKabla ya kusamehe amkague kwanza marinda, ahakikishe yapo yote 32 lisipungue hata rinda moja.
Mi naamini kabisa yule muhuni aliifuja sana hii chombo ya moto, mpaka akahakikisha imekua scrapper yaani haiuziki labda ikapimwe kama chuma chakavu.
Naaaah,,, girls are fuckn brilliant ,,, but kwanini they are fooled and treated weirdly,?? Because using their brain in full potential hawawezi,,!! Sababu ya fashion ya kupenda easy peasy things,, and kukataa realityKubali kataaa ule ndio ukweli!
Ukweli mchungu!😜Naaaah,,, girls are fuckn brilliant ,,, but kwanini they are fooled and treated weirdly,?? Because using their brain in full potential hawawezi,,!! Sababu ya fashion ya kupenda easy peasy things,, and kukataa reality
Upi?Ukweli mchungu![emoji12]
Papuchi haina makombo we endeleza walipoishia wenzio.Mabibi na mabwana,
Yule shemeji yenu aliyenivuruga na kunitelekeza na watoto kwa mbwembwe na kiburi sasa ana-force kurudi akiwa hoi bin taaban. Anadai hata nikim-crash vipi mimi ndio mume wake baba watoto wake. Maajabu na sasa. Yaani msg simu haziishi sorry za kila aina mhhh sijui katumwa huyu?
Ila za chini chini nasikia jamaa kambwaga baada yakuona mtelezo hamna tena (walitegemea vi sumli vyangu kundesha mapenzi yao)
Ofisi niliyomfungulia ikampa jeuri kupata pesa za kuhonga sasa kapigwa notice ya either ahame au alipekodi mara mbili aiseeh Mungu yuko fast a saana. Sasa hajui ataishije mjini hapa.
Yaani hata mwaka hajatimiza kachakaa mbaya anakazi yakumsema shetani Mara yule hawara kamwaribia maisha na blaa kibao anasema kama nitamkataa bora afe kuliko kushuhudia naoa mke mwingine.
Chaajabu alishaanza na process za kudai talaka sa sijui ni msaidiaje? Kwake naona kinyaaaaa, na nipo natafuta na kuchovya chovya mabitch wengine nipate wakuishi nae tusogeze siku maana hawaeleweki hawa.
Note: Madada wa humu JF msicheze na ndoa Mungu analipa fasta siku hizi kama hujui maana ya ndoa usiing'ang'anie na kusumbua mwanaume utabeba laana na mikosi bure.