Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
- #61
Tena wapo na afya njema kabisa.. Hao wanaosema kulea watoto nadhani hawana ufahamWalee watoto?
Kwani alivyokuwa hayupo walikuwa wanalelewa na Nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wapo na afya njema kabisa.. Hao wanaosema kulea watoto nadhani hawana ufahamWalee watoto?
Kwani alivyokuwa hayupo walikuwa wanalelewa na Nani?
Juzi had I anajilegeza kabisa nimekaza na si kawaida yangu mpaka anashangaaNdo mnavisemaga lakin, ila ukipewaga mnapiga.
Otherwise alikua zero kunako 6×6[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye mada hii mkibarikiwa na Mungu nikusababisha machafuko dunianHapana atuinue kichumi kwani kupitia kigezo hiko tinajikuta sometimes tunanyanyasika sana na kutumika kingono mnoo!
Basi kama SI kawaida yako ngoja nikaongee kdg na mahondaw akampe semina elekezi mkeo akupatie namna gani uingie kwenye laini[emoji4]Juzi had I anajilegeza kabisa nimekaza na si kawaida yangu mpaka anashangaa
Nshawapiga tinted haomkuu usisikilize ushauri wa mwanamke yeyote yule huwa wanajuana ndio maana wanateteana
Usifanye hivo msamehe mwenzio mkuu!Kwenye mada hii mkibarikiwa na Mungu nikusababisha machafuko dunian
We ujui tu hawara anavyolaza manyonyoVibaya hivo mkuu mpokee tu mwenzio mlee watoto... Kumbuka ameshanyonyesha sana watoto wako Ndiomana chuchu zikalala! Msamehe jamani
😂😂😂😂🤣🤣🤣 ..Naamiini akimkazia atamsamehe tu sema kuja kuchomoka huko kwa chuchukonzi sasa ndo anahitaji maombi kama ambavo wewe unahitaji maombi kwayule kiviruge wako!😜Basi kama SI kawaida yako ngoja nikaongee kdg na mahondaw akampe semina elekezi mkeo akupatie namna gani uingie kwenye laini[emoji4]
Huenda akiwa serious kidg wee unalegeza[emoji4]
HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi hata msiniombee Tena Ayo maombi yenu ya kuachana,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ..Naamiini akimkazia atamsamehe tu sema kuja kuchomoka huko kwa chuchukonzi sasa ndo anahitaji maombi kama ambavo wewe unahitaji maombi kwayule kiviruge wako![emoji12]
Ukampa muda.wa kuongea naye.kabisa? Una moyoMabibi na mabwana,
Yule shemeji yenu aliyenivuruga na kunitelekeza na watoto kwa mbwembwe na kiburi sasa ana-force kurudi akiwa hoi bin taaban. Anadai hata nikim-crash vipi mimi ndio mume wake baba watoto wake. Maajabu na sasa. Yaani msg simu haziishi sorry za kila aina mhhh sijui katumwa huyu?
Ila za chini chini nasikia jamaa kambwaga baada yakuona mtelezo hamna tena (walitegemea vi sumli vyangu kundesha mapenzi yao)
Ofisi niliyomfungulia ikampa jeuri kupata pesa za kuhonga sasa kapigwa notice ya either ahame au alipekodi mara mbili aiseeh Mungu yuko fast a saana. Sasa hajui ataishije mjini hapa.
Yaani hata mwaka hajatimiza kachakaa mbaya anakazi yakumsema shetani Mara yule hawara kamwaribia maisha na blaa kibao anasema kama nitamkataa bora afe kuliko kushuhudia naoa mke mwingine.
Chaajabu alishaanza na process za kudai talaka sa sijui ni msaidiaje? Kwake naona kinyaaaaa, na nipo natafuta na kuchovya chovya mabitch wengine nipate wakuishi nae tusogeze siku maana hawaeleweki hawa.
Note: Madada wa humu JF msicheze na ndoa Mungu analipa fasta siku hizi kama hujui maana ya ndoa usiing'ang'anie na kusumbua mwanaume utabeba laana na mikosi bure.
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Kama kufa mtafutie sehemu ya kaburi mapema tuu.
Mbwa alishakua kichaa hana urafiki usidanganyike.
Aiseeehhh jemedari fanya kunikutanisha nae anipe training nahitaji kumchanganya na kummaliza Kabisa mtu fulani asee!😜🙃Mi hata msiniombee Tena Ayo maombi yenu ya kuachana,
Muombeenj TU uyu kivuruge abadilike roho wa mungu amuingie abadilike atulie awe Kama wanawake wengine
Kiukweli nisharidhika kabisa na Uyu uyu kivuruge wangu, kila kukicha tunazidi tu kupeana mautamu yetu[emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
hii iko pande zote, hata kwa "Ke" ukiachana na mume aliyekuwa anakunyanyasa halafu mambo yake yasiende alivyokuwa anategemea tunafurahia.Nmepita nmeona,
sema jamaa Kiana flan anafurahia anguko la ex wife wake.
Sema Mambo ya wanandoa Ni changamoto Sana,
Hapa anamdiss Sana ila najua TU kama mkewe alkua Ni fundi kule faragha kesho yake atakuja na bandiko lingine la kuukana Uzi wake mwenyewe.
Umesahau yale ya Mimi na Mchepuko yule wangu msumbufu?
Huwez Amin Tusharudiana tayar, alitumia vizur udhaifu ule wangu kumaliza mgogoro wetu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo ya wazaz waki AfricaMsamehe,mlee watoto pamoja,
Msamehe amekiri kosa hivyo hatorudia tena,msamehe.
Mmmmh kashajifunza huyoHakufanya damages analysis before mi namwangalia tu