Aliyekuwa mke wangu, analazimisha kunirudia

Aliyekuwa mke wangu, analazimisha kunirudia

Juzi had I anajilegeza kabisa nimekaza na si kawaida yangu mpaka anashangaa
Basi kama SI kawaida yako ngoja nikaongee kdg na mahondaw akampe semina elekezi mkeo akupatie namna gani uingie kwenye laini[emoji4]

Huenda akiwa serious kidg wee unalegeza[emoji4]

HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msamehe tu kwa maslahi mapana ya watoto wenu.

Ni kawaida sana wazazi kuachana tena kwa nyodo na kashfa, ila baada ya muda utakuta wanarudiana.

Mara nyingi, Tukio la kuachana kwa wazazi huwa linakujaga kujirudia kwenye maisha ya watoto, nao wanapokuja kuoa/ kuolewa - wanapogombana kidogo tu wanachofikiria ni kuachana. Hivyo msingi wa kuachana kwenu chanzo chake ni maamuzi ya wazazi wenu, au mwanandoa mmoja hakuwahi kulelewa na uwepo wa Baba na Mama kwenye makuzi yake.
 
Basi kama SI kawaida yako ngoja nikaongee kdg na mahondaw akampe semina elekezi mkeo akupatie namna gani uingie kwenye laini[emoji4]

Huenda akiwa serious kidg wee unalegeza[emoji4]

HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂🤣🤣🤣 ..Naamiini akimkazia atamsamehe tu sema kuja kuchomoka huko kwa chuchukonzi sasa ndo anahitaji maombi kama ambavo wewe unahitaji maombi kwayule kiviruge wako!😜
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ..Naamiini akimkazia atamsamehe tu sema kuja kuchomoka huko kwa chuchukonzi sasa ndo anahitaji maombi kama ambavo wewe unahitaji maombi kwayule kiviruge wako![emoji12]
Mi hata msiniombee Tena Ayo maombi yenu ya kuachana,

Muombeenj TU uyu kivuruge abadilike roho wa mungu amuingie abadilike atulie awe Kama wanawake wengine

Kiukweli nisharidhika kabisa na Uyu uyu kivuruge wangu, kila kukicha tunazidi tu kupeana mautamu yetu[emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabibi na mabwana,

Yule shemeji yenu aliyenivuruga na kunitelekeza na watoto kwa mbwembwe na kiburi sasa ana-force kurudi akiwa hoi bin taaban. Anadai hata nikim-crash vipi mimi ndio mume wake baba watoto wake. Maajabu na sasa. Yaani msg simu haziishi sorry za kila aina mhhh sijui katumwa huyu?

Ila za chini chini nasikia jamaa kambwaga baada yakuona mtelezo hamna tena (walitegemea vi sumli vyangu kundesha mapenzi yao)

Ofisi niliyomfungulia ikampa jeuri kupata pesa za kuhonga sasa kapigwa notice ya either ahame au alipekodi mara mbili aiseeh Mungu yuko fast a saana. Sasa hajui ataishije mjini hapa.

Yaani hata mwaka hajatimiza kachakaa mbaya anakazi yakumsema shetani Mara yule hawara kamwaribia maisha na blaa kibao anasema kama nitamkataa bora afe kuliko kushuhudia naoa mke mwingine.

Chaajabu alishaanza na process za kudai talaka sa sijui ni msaidiaje? Kwake naona kinyaaaaa, na nipo natafuta na kuchovya chovya mabitch wengine nipate wakuishi nae tusogeze siku maana hawaeleweki hawa.

Note: Madada wa humu JF msicheze na ndoa Mungu analipa fasta siku hizi kama hujui maana ya ndoa usiing'ang'anie na kusumbua mwanaume utabeba laana na mikosi bure.
Ukampa muda.wa kuongea naye.kabisa? Una moyo
 
Mi hata msiniombee Tena Ayo maombi yenu ya kuachana,

Muombeenj TU uyu kivuruge abadilike roho wa mungu amuingie abadilike atulie awe Kama wanawake wengine

Kiukweli nisharidhika kabisa na Uyu uyu kivuruge wangu, kila kukicha tunazidi tu kupeana mautamu yetu[emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeehhh jemedari fanya kunikutanisha nae anipe training nahitaji kumchanganya na kummaliza Kabisa mtu fulani asee!😜🙃
 
Nmepita nmeona,
sema jamaa Kiana flan anafurahia anguko la ex wife wake.

Sema Mambo ya wanandoa Ni changamoto Sana,
Hapa anamdiss Sana ila najua TU kama mkewe alkua Ni fundi kule faragha kesho yake atakuja na bandiko lingine la kuukana Uzi wake mwenyewe.

Umesahau yale ya Mimi na Mchepuko yule wangu msumbufu?

Huwez Amin Tusharudiana tayar, alitumia vizur udhaifu ule wangu kumaliza mgogoro wetu[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
hii iko pande zote, hata kwa "Ke" ukiachana na mume aliyekuwa anakunyanyasa halafu mambo yake yasiende alivyokuwa anategemea tunafurahia.
 
Back
Top Bottom