Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,986
- 5,058
Walee watoto?Ndio ameshindwa sasa hana namna mpokee tu mlee watoto.. kama kujifunza ameshajifunza
Kwani alivyokuwa hayupo walikuwa wanalelewa na Nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walee watoto?Ndio ameshindwa sasa hana namna mpokee tu mlee watoto.. kama kujifunza ameshajifunza
Ndo mnavisemaga lakin, ila ukipewaga mnapiga.Kwani nnahamu hata na papuchi yake sasa?
Anataka kuniletea vyuma chakavu SAA Hivi nadeal na chuchu nchumaliAmeyazoa yakuyazoa hukoo ameyabeba yakuyabeba sasa yamemshinda sasa anataka Kurudi....ndoa hiziiiiiiii[emoji134][emoji134][emoji134]!!
Hapana atuinue kichumi kwani kupitia kigezo hiko tinajikuta sometimes tunanyanyasika sana na kutumika kingono mnoo!Kwamba awainue muwe mnakimbia ndoa mkiwa nacho Ila mkiwa Hamna kitu ndio muwatafute wanaume?
😂😂😂😂😂😂😂 ! Kwamba ikijileta hamkataagi ama nene!!🚶🚶🚶Ndo mnavisemaga lakin, ila ukipewaga mnapiga.
Otherwise alikua zero kunako 6×6[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi u kumdidimiza na hata hiyo ofisi ni Mali yangu kuanzi vifaa machine na kodi nilikua nalipa Mimi pesa anasaidia ndugu zake...Nimemaanisha possibly huyo mke hakuwa na means ya kuendelea kujipatia income so no way ! Na mume anataka kumnyanyasa kupitia hilo!
Mungu atusaidie sana na kutuinua wanawake.
Karibu mkuuuMoto ushajulikana kipi kilikuwa chanzo hivyo hata mtoa mada anaelewa afanye nini na mimi nam support kwa hilo
Vibaya hivo mkuu mpokee tu mwenzio mlee watoto... Kumbuka ameshanyonyesha sana watoto wako Ndiomana chuchu zikalala! Msamehe jamaniAnataka kuniletea vyuma chakavu SAA Hivi nadeal na chuchu nchumali
Alikua anamegwa na fala flani wa Fb si JF so usimtishe jamaangoja uambiww wew ndie ulokuwa unammega
Kwanza Unakataeje kwa mfano[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ! Kwamba ikijileta hamkataagi ama nene!![emoji124][emoji124][emoji124]
Eehhh namtetea mwanamke mwenzangu najua kitaa maisha magumu sana japo alikosea ila no way ni mkeo! Msamehe aeshajifunza!Sijawahi u kumdidimiza na hata hiyo ofisi ni Mali yangu kuanzi vifaa machine na kodi nilikua nalipa Mimi pesa anasaidia ndugu zake...
Yaan uharibu ndoa yako utese watoto wako unataka Mungu akusaidie mbona mnateteana ujinga?
Hakufanya damages analysis before mi namwangalia tuMsamehe tu usijali,hayo yalishapita
Hujui tuu shombo alinipiga mdada acha tuNdio ameshindwa sasa hana namna mpokee tu mlee watoto kama kujifunza ameshajifunza
Hahahaaa.... Kwa case ya @babajayron inahitaji busara za hali ya juu Kwani jamaa keshazama kwa chuchu sasita na minato minato..Kwanza Unakataeje kwa mfano[emoji4]
huo ujasili unaupata wapi Kwanza keshakupatamia kifuani na koni keshaanza kuilamba[emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli pita pita zangu sijaona funding ka yeye sema nimejifunza ndoa si ufundi mwanamke tabia na uvumilivuNmepita nmeona,
sema jamaa Kiana flan anafurahia anguko la ex wife wake.
Sema Mambo ya wanandoa Ni changamoto Sana,
Hapa anamdiss Sana ila najua TU kama mkewe alkua Ni fundi kule faragha kesho yake atakuja na bandiko lingine la kuukana Uzi wake mwenyewe.
Umesahau yale ya Mimi na Mchepuko yule wangu msumbufu?
Huwez Amin Tusharudiana tayar, alitumia vizur udhaifu ule wangu kumaliza mgogoro wetu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa naelewa mbona nilishasomaga visa vyako so naelewa!Hujui tuu shombo alinipiga mdada acha tu
Ushauri mzuri mkuu ntaufanyia kaziHuyo wa kutaka kujiua ningemlipia na jeneza zuri la gharama Nampa risiti akawape ndugu zake watalifuata.!!
Anakuja kukuua tu huyo hakuna anachofuata.
Uko sawa mkuu kazia hapo hapo hawa viumbe wanasumbua sanaMabibi na mabwana,
Yule shemeji yenu aliyenivuruga na kunitelekeza na watoto kwa mbwembwe na kiburi sasa ana-force kurudi akiwa hoi bin taaban. Anadai hata nikim-crash vipi mimi ndio mume wake baba watoto wake. Maajabu na sasa. Yaani msg simu haziishi sorry za kila aina mhhh sijui katumwa huyu?
Ila za chini chini nasikia jamaa kambwaga baada yakuona mtelezo hamna tena (walitegemea vi sumli vyangu kundesha mapenzi yao)
Ofisi niliyomfungulia ikampa jeuri kupata pesa za kuhonga sasa kapigwa notice ya either ahame au alipekodi mara mbili aiseeh Mungu yuko fast a saana. Sasa hajui ataishije mjini hapa.
Yaani hata mwaka hajatimiza kachakaa mbaya anakazi yakumsema shetani Mara yule hawara kamwaribia maisha na blaa kibao anasema kama nitamkataa bora afe kuliko kushuhudia naoa mke mwingine.
Chaajabu alishaanza na process za kudai talaka sa sijui ni msaidiaje? Kwake naona kinyaaaaa, na nipo natafuta na kuchovya chovya mabitch wengine nipate wakuishi nae tusogeze siku maana hawaeleweki hawa.
Note: Madada wa humu JF msicheze na ndoa Mungu analipa fasta siku hizi kama hujui maana ya ndoa usiing'ang'anie na kusumbua mwanaume utabeba laana na mikosi bure.