Aliyekuwa mke wangu, analazimisha kunirudia

Aliyekuwa mke wangu, analazimisha kunirudia

Kwamba awainue muwe mnakimbia ndoa mkiwa nacho Ila mkiwa Hamna kitu ndio muwatafute wanaume?
Hapana atuinue kichumi kwani kupitia kigezo hiko tinajikuta sometimes tunanyanyasika sana na kutumika kingono mnoo!
 
Nimemaanisha possibly huyo mke hakuwa na means ya kuendelea kujipatia income so no way ! Na mume anataka kumnyanyasa kupitia hilo!
Mungu atusaidie sana na kutuinua wanawake.
Sijawahi u kumdidimiza na hata hiyo ofisi ni Mali yangu kuanzi vifaa machine na kodi nilikua nalipa Mimi pesa anasaidia ndugu zake...
Yaan uharibu ndoa yako utese watoto wako unataka Mungu akusaidie mbona mnateteana ujinga?
 
Sijawahi u kumdidimiza na hata hiyo ofisi ni Mali yangu kuanzi vifaa machine na kodi nilikua nalipa Mimi pesa anasaidia ndugu zake...
Yaan uharibu ndoa yako utese watoto wako unataka Mungu akusaidie mbona mnateteana ujinga?
Eehhh namtetea mwanamke mwenzangu najua kitaa maisha magumu sana japo alikosea ila no way ni mkeo! Msamehe aeshajifunza!
 
Kwanza Unakataeje kwa mfano[emoji4]

huo ujasili unaupata wapi Kwanza keshakupatamia kifuani na koni keshaanza kuilamba[emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa.... Kwa case ya @babajayron inahitaji busara za hali ya juu Kwani jamaa keshazama kwa chuchu sasita na minato minato..
Amsamehe tu wagange yajayo aseeh
 
Nmepita nmeona,
sema jamaa Kiana flan anafurahia anguko la ex wife wake.

Sema Mambo ya wanandoa Ni changamoto Sana,
Hapa anamdiss Sana ila najua TU kama mkewe alkua Ni fundi kule faragha kesho yake atakuja na bandiko lingine la kuukana Uzi wake mwenyewe.

Umesahau yale ya Mimi na Mchepuko yule wangu msumbufu?

Huwez Amin Tusharudiana tayar, alitumia vizur udhaifu ule wangu kumaliza mgogoro wetu[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli pita pita zangu sijaona funding ka yeye sema nimejifunza ndoa si ufundi mwanamke tabia na uvumilivu
 
Huyo wa kutaka kujiua ningemlipia na jeneza zuri la gharama Nampa risiti akawape ndugu zake watalifuata.!!
Anakuja kukuua tu huyo hakuna anachofuata.
Ushauri mzuri mkuu ntaufanyia kazi
 
Mabibi na mabwana,

Yule shemeji yenu aliyenivuruga na kunitelekeza na watoto kwa mbwembwe na kiburi sasa ana-force kurudi akiwa hoi bin taaban. Anadai hata nikim-crash vipi mimi ndio mume wake baba watoto wake. Maajabu na sasa. Yaani msg simu haziishi sorry za kila aina mhhh sijui katumwa huyu?

Ila za chini chini nasikia jamaa kambwaga baada yakuona mtelezo hamna tena (walitegemea vi sumli vyangu kundesha mapenzi yao)

Ofisi niliyomfungulia ikampa jeuri kupata pesa za kuhonga sasa kapigwa notice ya either ahame au alipekodi mara mbili aiseeh Mungu yuko fast a saana. Sasa hajui ataishije mjini hapa.

Yaani hata mwaka hajatimiza kachakaa mbaya anakazi yakumsema shetani Mara yule hawara kamwaribia maisha na blaa kibao anasema kama nitamkataa bora afe kuliko kushuhudia naoa mke mwingine.

Chaajabu alishaanza na process za kudai talaka sa sijui ni msaidiaje? Kwake naona kinyaaaaa, na nipo natafuta na kuchovya chovya mabitch wengine nipate wakuishi nae tusogeze siku maana hawaeleweki hawa.

Note: Madada wa humu JF msicheze na ndoa Mungu analipa fasta siku hizi kama hujui maana ya ndoa usiing'ang'anie na kusumbua mwanaume utabeba laana na mikosi bure.
Uko sawa mkuu kazia hapo hapo hawa viumbe wanasumbua sana
 
Back
Top Bottom