Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Dah!!!,Matukio yamefuatana.Watu wataanza kuwa na alama ya kiulizo kwako kuwa inawezekana kuna utaalamu Umefanya sio bure.Kwa wasiojua mtiririko wa stori za huyu jamaa wapite hapa Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!
Pia hapa kwa msaaada zaidi Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
Daaah kweli uchawi upo........Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.
Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.
Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.
Raha ya milele umpe ewe bwana.....
Pumzika kwa amani mama Agness.
Soma Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
Pia soma Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!
Kama sikosei katika ile stori alihonga shs 7800(shilingi elfu saba mia nane)Ila MAGALLAH R kwa hadithi za uongo unazotaka kutuaminisha kuwa ni ukweli hujambo.. Mimi uliniingiza chaka maramoja tu ile story yako na yule mdada wa Mwanza .. Kumbe ulikuwa wewe mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kamaliza story ya Mama Agness ili aje na nyingine.Ila MAGALLAH R kwa hadithi za uongo unazotaka kutuaminisha kuwa ni ukweli hujambo.. Mimi uliniingiza chaka maramoja tu ile story yako na yule mdada wa Mwanza .. Kumbe ulikuwa wewe mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anapata ma mdogo Agness sio muda[emoji23]Episode nyingine inatoka lini?
Achana hiyo ajali ile inshu talaka ndio iliisha kabisa?
Story za huyu jamaa za kufikirika sana..
Uzi unaofuata
"Mama agness afufuka"
Unataka kusema kuwa ana Id mbili, moja analalamika, nyingine anajijibu?Ila MAGALLAH R kwa hadithi za uongo unazotaka kutuaminisha kuwa ni ukweli hujambo.. Mimi uliniingiza chaka maramoja tu ile story yako na yule mdada wa Mwanza .. Kumbe ulikuwa wewe mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]