Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
POLE SANI KIONGOZI. R.I.P MAMA AGNESNimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.
Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.
Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.
Raha ya milele umpe ewe bwana.....
Pumzika kwa amani mama Agness.
Hao ndio wapenzi wa kweli we ulikua unaforce kua naye si umeona ameondoka na bwana ake wamekuacha unang'aa sharubuNimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.
Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.
Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.
Raha ya milele umpe ewe bwana.....
Pumzika kwa amani mama Agness.
Pole mkuu kwa kumpoteza aliye Kuwa mke mwema kwako.Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.
Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.
Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.
Raha ya milele umpe ewe bwana.....
Pumzika kwa amani mama Agness.
Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.
Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.
Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.
Raha ya milele umpe ewe bwana.....
Pumzika kwa amani mama Agness.
Soma Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
Pia soma Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!
Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.
Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.
Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.
Raha ya milele umpe ewe bwana.....
Pumzika kwa amani mama Agness.
Soma Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
Pia soma Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!
Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.
Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.
Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.
Raha ya milele umpe ewe bwana.....
Pumzika kwa amani mama Agness.
Soma Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
Pia soma Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!
Labda anajikaza kiume.Pole kwa msiba
LAKINI: Mzee unapata msiba kama huo then unapata na wapi nguvu ya kuandika JF. Alafu unasema dunia dunia ni mbaya kwako as if umeumia sana.