Aliyekuwa mke wangu(mama Agness) na jamaa yake wamefariki dunia kwa ajali ya pikipiki

Aliyekuwa mke wangu(mama Agness) na jamaa yake wamefariki dunia kwa ajali ya pikipiki

Daaah jamani mama Agness R.I.P ulimtesa sana Magallah R
JamiiForums-1119884999_198x430.jpg
 
Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.

Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.

Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.

Raha ya milele umpe ewe bwana.....

Pumzika kwa amani mama Agness.
POLE SANI KIONGOZI. R.I.P MAMA AGNES
 
Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.

Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.

Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.

Raha ya milele umpe ewe bwana.....

Pumzika kwa amani mama Agness.
Hao ndio wapenzi wa kweli we ulikua unaforce kua naye si umeona ameondoka na bwana ake wamekuacha unang'aa sharubu
 
pole sana mkuu bt nilichogundua thamani ya x iliendelea kubaki kichwani baada ya kuachana.
 
Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.

Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.

Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.

Raha ya milele umpe ewe bwana.....

Pumzika kwa amani mama Agness.
Pole mkuu kwa kumpoteza aliye Kuwa mke mwema kwako.
 
Bro Mimi sio mnafki Ila hisia zangu zinaniambia ulienda kwa sangoma baada ya mama Agnes's kuja karibu na ww
 
We jamaa inaonekana unapenda sana attention.
Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.

Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.

Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.

Raha ya milele umpe ewe bwana.....

Pumzika kwa amani mama Agness.

Soma Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana

Pia soma Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!
 
Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.

Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.

Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.

Raha ya milele umpe ewe bwana.....

Pumzika kwa amani mama Agness.

Soma Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana

Pia soma Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!

Spinning At Work.

-Tozo
-Mbowe sio Gaidi.
-Sabaya ni Jambazi.
 
Itakua umefanya kile kitu ulicho ahidi.
Shangilia tu mkuu
 
Duh! Mwenyezi Mungu Mkubwa Mkuu naona makasiriko yako jinsi alivyokutenda yalikuwa makubwa sana. Pamoja na kuandika talaka lakini uliangusha machozi kwa kuwa ulikuwa bado unampenda sana mkeo na uliwaonea huruma watoto wenu wanne ambao ulisema bado wadogo. Pole sana Mkuu.
Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.

Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.

Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.

Raha ya milele umpe ewe bwana.....

Pumzika kwa amani mama Agness.

Soma Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana

Pia soma Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!
 
Back
Top Bottom