sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Xwife, mbaya wake kafa na mke wakePole kwa msiba
LAKINI: Mzee unapata msiba kama huo then unapata na wapi nguvu ya kuandika JF. Alafu unasema dunia dunia ni mbaya kwako as if umeumia sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Xwife, mbaya wake kafa na mke wakePole kwa msiba
LAKINI: Mzee unapata msiba kama huo then unapata na wapi nguvu ya kuandika JF. Alafu unasema dunia dunia ni mbaya kwako as if umeumia sana.
Pole sana mkuu. Ila unaposema wamepata ajali na jamaa yake unamaanisha nini haswa?Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.
Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.
Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.
Raha ya milele umpe ewe bwana.....
Pumzika kwa amani mama Agness.
Aliyepewa 7800Ila MAGALLAH R kwa hadithi za uongo unazotaka kutuaminisha kuwa ni ukweli hujambo.. Mimi uliniingiza chaka maramoja tu ile story yako na yule mdada wa Mwanza .. Kumbe ulikuwa wewe mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sogeza mkate tunyweChupa limeamka na chai.!
We huoni jamaa lililokuwa linamgonga ex wake amekufa naye?Pole kwa msiba
LAKINI: Mzee unapata msiba kama huo then unapata na wapi nguvu ya kuandika JF. Alafu unasema dunia dunia ni mbaya kwako as if umeumia sana.
Kabisa I see inaonekana anatunga hizi movie za kibongo.Achana hiyo ajali ile inshu talaka ndio iliisha kabisa?
Story za huyu jamaa za kufikirika sana..
Huyu njemba anatupekeka chakaPole kwa msiba
LAKINI: Mzee unapata msiba kama huo then unapata na wapi nguvu ya kuandika JF. Alafu unasema dunia dunia ni mbaya kwako as if umeumia sana.
Huyo mama Agnes waneachana kwa talaka juzi,leo kapata ajali na jamaa yake (yaani aliemnyang'anya huyo mke). Kesho atasema Agnes. Anatupeleka chaka huyuWewe unatutania unapataje mda wa kupandisha Uzi kwa habari kama iyo
Hahahaha hii inaitwa "funika kombe mwanaharamu apite."Nikiconsider namna watu wanavyopenda spotlight hizi stori ni za uongo.
Ikatokea kuna hadithi online;
- Story teller ndiye mhusika mkuu.
- Matukio yasiyo ya kawaida.
- Muendelezo kila baada ya muda.
- Abrupt wrap up of a story.
- Story teller wins.
Hizi ni red flags za stori ya kutunga. Now am not saying hizi stori alizozileta ni za uongo ila kama tutakaribishwa msibani na iwe hivyo.
Watu ndiyo maana mnatapeliwa daily. Juzi kuna sister anasema alitapeliwa na mjasiriamali wa JF. Siku kadhaa mbele mjasiriamali analeta uzi kudai amefiwa, na watu wakakimbilia kumpa pole wamesahau jamaa kashampiga mtu pesa yake.
Mkuu Kama Nakuelewa Vile...Nikiconsider namna watu wanavyopenda spotlight hizi stori ni za uongo.
Ikatokea kuna hadithi online;
- Story teller ndiye mhusika mkuu.
- Matukio yasiyo ya kawaida.
- Muendelezo kila baada ya muda.
- Abrupt wrap up of a story.
- Story teller wins.
Hizi ni red flags za stori ya kutunga. Now am not saying hizi stori alizozileta ni za uongo ila kama tutakaribishwa msibani na iwe hivyo.
Watu ndiyo maana mnatapeliwa daily. Juzi kuna sister anasema alitapeliwa na mjasiriamali wa JF. Siku kadhaa mbele mjasiriamali analeta uzi kudai amefiwa, na watu wakakimbilia kumpa pole wamesahau jamaa kashampiga mtu pesa yake.
Mtoto wa nzi naye ni nziApumzike kwa amani.. juzi nilipata ajali... Nastuka hospitali kila kitu nnacho kasoro fedha 270,000. Kikubwa uhai. Apumzike kwa amani
Aliyekwambia panzi atazaa nyuki ni nani ....Mtoto wa nzi naye ni nzi