wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Safari hii CCM hela ya kampeni inapatikan kwenye fomu na zile za harambee kwa watia nia wote.Jimbo la Vunjo watia nia 28 siku ya kwanza tu, Kilimanjaro nzima watia nia 241 na uenda wakaongezeka siku tatu zijazo.
Ukichukua watu wote wanaogombea ubunge na udiwani wa vyama vyote nchi nzima si ajabu tunajuza uwanja wa mpira. Siasa kweli ni ajira yenye mvuto.
Dr. Mpango akishinda ubunge anauhakika kuendelea na wizara yake.Dr. Mpango ajipange uwaziri wa Fedha
Mpango na Kimei ama wote wizara moja ama la viwanda na biashara na fedha,mipango na uchumi.Dr. Mpango akishinda ubunge anauhakika kuendelea na wizara yake.
Kama ndio ivyo kwaweli watazikusanya kwa haraka haraka Kilimanjaro leo washatengeneza sh/m 24.1Safari hii CCM hela ya kampeni inapatikan kwenye fomu na zile za harambee kwa watia nia wote.
Magu hapana chezea YEYEEEE.
Daaah Daktari Kimei ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana, CCM doesn't deserve such a guy.
Nimejisikia vibaya sana kuona msomi kama yeye anajiingiza kwenye hizi siasa za Tanzania.
Tatizo unatumia makalio kufikiri unataka nikutajie take home ya waziri,am I paymaster?Sijabisha, ila ww hukunielewa.
Ahaa yule Kimei ni trillionnia ana uwezo mkubwa sana.Sema is smart hataki gozi gozi na tawala.nimecheka sana hapo uliposema ana pesa za kutosheleza bajeti ya serikali hii [emoji23][emoji23]
embu ngoja na mimi nitafute pesa aise
Mkuu ww ndio unatumia makalio kufikiri,Tatizo unatumia makalio kufikiri unataka nikutajie take home ya waziri,am I paymaster?
Unataka nikutajie marupurupu na posho..hivi mtu akijiamulia tu leo anaanza ziara huko katavi ya kukagua sijui mrad wabarabara..unafkiiri huwa ni bure?
Anyway huwa kunakuwaa na bajeti za kila wizara so na mshahara wake na mazaga yote yanakuwa humo.
[emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu ww ndio unatumia makalio kufikiri,
Hoja yangu ilikuwa kwamba waziri ana maslahi makubwa sana kuliko Huyo CEO au DIRECTOR GENERAL,
Sasa na ww kwa interpretation skills zako ndogo ukaelewa kinyume
How old is TRUMP?? Hillary Clinton??Mtu kashazeeka atadeliver nini kipya..
Hivi kupumzika na familia zao na kutour different parts of the world not to mention TZ wanaona nini!?!
Nasikia na Wasira nae. Hivi ngozi nyeusi. Yani ni kweli kwamba hatuwezi kuwa tayari kwa retirement.
Too Bad. Too Bad.
Kwani mgodi mzima wa tanzanite una thamani kiasi gani?Ahaa yule Kimei ni trillionnia ana uwezo mkubwa sana.Sema is smart hataki gozi gozi na tawala.
Being CEO wa CRDB from translational hadi ana chicken out .Sio mtu mdogo ni sawa sawa na mgodi mzima wa Merelani Tanzanite
You have a point! Kimei angetulia ale pension yake badala ya kwenda kupambana na akina Mbatia. Siasa zitamuanika mtu huyu.Huu ndio mwisho wa heshima ya Bwana Kimei.
Siasa ni chafu, na madudu yake sasa hadharani.
Mbatia anaenda Moshi Mjini.Mbatia huko alipo atakuwa anaumia sana. Hapa Kimei atapata asubuhi na mapema. Iam sure CCM watampitisha. Maana kura za maoni hilo halina shaka kishashinda.
Kimei anajitafutia ugonjwa wa moyo. Watu hawatosheki. Kwa kweli namshangaa kwenda huko kugombea ubunge badala ya kukaa na kulea wajukuu. Hivi unaanza kupambana na akina Mbatia ambao wapo kwenye siasa tangia utoto wao si kujitafutia kiharusi. Atafumuliwa hadi ashangaeMtu kashazeeka atadeliver nini kipya..
Hivi kupumzika na familia zao na kutour different parts of the world not to mention TZ wanaona nini!?!
Nasikia na Wasira nae. Hivi ngozi nyeusi. Yani ni kweli kwamba hatuwezi kuwa tayari kwa retirement.
Too Bad. Too Bad.
Has Trump or Clinton ever retired before and opted for a political pisition!??How old is TRUMP?? Hillary Clinton??
Trump retired at his TRUMP businesses and handed over all powers to his daughter and sons.. He is US President now..Has Trump or Clinton ever retired before and opted for a political pisition!??
Kimei is a retired old men...
ππππππππππTrump retired at his TRUMP businesses and handed over all powers to his daughter and sons.. He is US President now..
Hapa ndo Mbatia atagundua yule jamaa alimdanganya kuwa NCCR itakuwa chama kikuu cha upinzani!Mama tanzania atajibeba