Uchaguzi 2020 Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Kimei achukua fomu ya kutia nia jimbo la Vunjo kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Kimei achukua fomu ya kutia nia jimbo la Vunjo kupitia CCM

Jimbo la Vunjo watia nia 28 siku ya kwanza tu, Kilimanjaro nzima watia nia 241 na uenda wakaongezeka siku tatu zijazo.

Ukichukua watu wote wanaogombea ubunge na udiwani wa vyama vyote nchi nzima si ajabu tunajuza uwanja wa mpira. Siasa kweli ni ajira yenye mvuto.
Safari hii CCM hela ya kampeni inapatikan kwenye fomu na zile za harambee kwa watia nia wote.

Magu hapana chezea YEYEEEE.
 
Safari hii CCM hela ya kampeni inapatikan kwenye fomu na zile za harambee kwa watia nia wote.

Magu hapana chezea YEYEEEE.
Kama ndio ivyo kwaweli watazikusanya kwa haraka haraka Kilimanjaro leo washatengeneza sh/m 24.1
 
Anacheza na muelekeo wa upepo maana kwa sasa ukijifanya kujua unaungua na jua
Daaah Daktari Kimei ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana, CCM doesn't deserve such a guy.
Nimejisikia vibaya sana kuona msomi kama yeye anajiingiza kwenye hizi siasa za Tanzania.
 
Sijabisha, ila ww hukunielewa.
Tatizo unatumia makalio kufikiri unataka nikutajie take home ya waziri,am I paymaster?

Unataka nikutajie marupurupu na posho..hivi mtu akijiamulia tu leo anaanza ziara huko katavi ya kukagua sijui mrad wabarabara..unafkiiri huwa ni bure?

Anyway huwa kunakuwaa na bajeti za kila wizara so na mshahara wake na mazaga yote yanakuwa humo.
 
nimecheka sana hapo uliposema ana pesa za kutosheleza bajeti ya serikali hii [emoji23][emoji23]
embu ngoja na mimi nitafute pesa aise
Ahaa yule Kimei ni trillionnia ana uwezo mkubwa sana.Sema is smart hataki gozi gozi na tawala.
Being CEO wa CRDB from translational hadi ana chicken out .Sio mtu mdogo ni sawa sawa na mgodi mzima wa Merelani Tanzanite
 
Tatizo unatumia makalio kufikiri unataka nikutajie take home ya waziri,am I paymaster?

Unataka nikutajie marupurupu na posho..hivi mtu akijiamulia tu leo anaanza ziara huko katavi ya kukagua sijui mrad wabarabara..unafkiiri huwa ni bure?

Anyway huwa kunakuwaa na bajeti za kila wizara so na mshahara wake na mazaga yote yanakuwa humo.
Mkuu ww ndio unatumia makalio kufikiri,
Hoja yangu ilikuwa kwamba waziri ana maslahi makubwa sana kuliko Huyo CEO au DIRECTOR GENERAL,
Sasa na ww kwa interpretation skills zako ndogo ukaelewa kinyume
 
Mkuu ww ndio unatumia makalio kufikiri,
Hoja yangu ilikuwa kwamba waziri ana maslahi makubwa sana kuliko Huyo CEO au DIRECTOR GENERAL,
Sasa na ww kwa interpretation skills zako ndogo ukaelewa kinyume
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mtu kashazeeka atadeliver nini kipya..
Hivi kupumzika na familia zao na kutour different parts of the world not to mention TZ wanaona nini!?!
Nasikia na Wasira nae. Hivi ngozi nyeusi. Yani ni kweli kwamba hatuwezi kuwa tayari kwa retirement.

Too Bad. Too Bad.
How old is TRUMP?? Hillary Clinton??
 
Ahaa yule Kimei ni trillionnia ana uwezo mkubwa sana.Sema is smart hataki gozi gozi na tawala.
Being CEO wa CRDB from translational hadi ana chicken out .Sio mtu mdogo ni sawa sawa na mgodi mzima wa Merelani Tanzanite
Kwani mgodi mzima wa tanzanite una thamani kiasi gani?
 
Mtu kashazeeka atadeliver nini kipya..
Hivi kupumzika na familia zao na kutour different parts of the world not to mention TZ wanaona nini!?!
Nasikia na Wasira nae. Hivi ngozi nyeusi. Yani ni kweli kwamba hatuwezi kuwa tayari kwa retirement.

Too Bad. Too Bad.
Kimei anajitafutia ugonjwa wa moyo. Watu hawatosheki. Kwa kweli namshangaa kwenda huko kugombea ubunge badala ya kukaa na kulea wajukuu. Hivi unaanza kupambana na akina Mbatia ambao wapo kwenye siasa tangia utoto wao si kujitafutia kiharusi. Atafumuliwa hadi ashangae
 
Has Trump or Clinton ever retired before and opted for a political pisition!??
Kimei is a retired old men...
Trump retired at his TRUMP businesses and handed over all powers to his daughter and sons.. He is US President now..
 
Hawa ndio watu wa kutuongoza,CV inaongea hatumii nguvu kupiga kampeni.
Watupunguzie vilaza bungeni,manake vilaza kibao wengine wana elimu lkn hawana experience wanaropoka,wengine elimu zao ndogo ila wanachokiongea wana kijuaga wenyewe.
 
Back
Top Bottom