Majengo pacha.anyway apumzike kwa amaniRest in peace ,liyumba,taifa limepoteza mtu muhimu sana
Mwanahabari Hurufinally ......................
r.i.p
source please
Mbona mtu akiwa hai hamsemi kuwa ni mtu wa watu? mpaka akishafariki ndo matendo yake mema huongelewa why? R.I.PMAREHEMU alikuwa mtu wa watu ! RIP LIYUMBA
Hakuna mtu atakayeishi milele. Kifo kama maisha ni vya kawaida na kutegemewa kutokea kwa mtu yeyote.Kawaida mtu akifariki watu wanataka wajue nini kilimsibu mpaka umauti umemfika. Je amefariki baada ya kuugua muda mfupi? Mrefu amefariki ghafla au vipi? Hivi unaweza kupewa taarifa fulani amefariki bils kugusia amefarikije? Naons wengi wanssema RIP kama vile walijua atakufa