Akalale panasotahili kwa mujibu wa matendo yake aliyoyafanya hapa duniani
Nadhani haya siyo maombi mazuri... Maombi mazuri ni yale ya kusema Mungu amsamehe makosa yote aliyofanya duniani na amuweke mahali pema peponi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akalale panasotahili kwa mujibu wa matendo yake aliyoyafanya hapa duniani
Si ana mahela, si nasikia wanabadilishaga sijui damu sijui figo, sijui, maini, Ah! Sijui nini vile!Ngoma
Ukifa wewe hatuta yasema kwakoHivi....
kwanini haya maneno hua hamyasemi pindi wakati wa uhai kabla mtu hajafikwa na mauti...[emoji25]
Kwani naye ameigiza bongo movie? Movie gani hiyo?Masikini bongo movie wamepata pengo na kubaki na sintofahamu
Dah aiseee, nashindwaga kuelewa hawa wezi wa mali za umma.Huo ndio ukweli mkuu maana mtu atafanya ubaya woote anao weza lakini ikifika hukumu ya maulana hakuna baunsa wala mpambe atakaye weza kukutetea
Itayobaki milele ni milimaa.. Mungu mlipe kutokana na matendo yake..
Kawaulize aliyo wanunulia magari leo hii watakuwa wanalia na kujiulza kesho itakuwajeKwani naye ameigiza bongo movie? Movie gani hiyo?
Sasa wewe ushamsema vibayaDah habari hizi ni za kweli??
Source ya kifo ni nini, au kale kaugonjwa ketu pendwa??
Maana kuna tetesi kuwa alikuwa carrier mzuri tu na kawasambazia wasanii wa bongo movie wa kuotosha, kwa kuwahonga magari mazuri mazuri
R.IP anyway, japo marehemu hasemwi vibaya, ila ufisadi ulioufanya BoT ni mzito mno na umeua wengi sana kwa kukosa madawa hospitalini, haki za wazee wastaafu kukosa mafao yao na mengine kibao, cha ajabu hela zote umeziacha wengine wakizitafuna.
Aisee umesikia kwa nani?Nasikia enzi zake alikuwa anahonga Rav4 kwa siku hata 3
Mhhhh..[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]Ukifa wewe hatuta yasema kwako
Kwa huu unafiki utakufa siku si zako wewe.Huyu ndiye alikuwa anachezea noti kama atakavyo,tuna muombea upunguziwe adhabu ya akhera
Ebu anza kuandaa wosia wa hivyo vinguo vyako kwa wanao kama unao maana kwa dua hii kwangu lazima ikurudieKwa huu unafiki utakufa siku si zako wewe.
Wataalamu wa kemia tunaita "long chain of carbon to carbon bond...ie C-C"r.i.p kuna uzi mmoja pididy aliuleta humu kitambo kidogo sijui Rav4 nyekundu kwenye list sijui Mage kimmambi sijui nini na nini! Mungu ampe pumziko la milele