MAREHEMU alikuwa mtu wa watu ! RIP LIYUMBA
Fafanua zaidi.....Pamoja na hayo poleni wafiwa wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAREHEMU alikuwa mtu wa watu ! RIP LIYUMBA
MTU wa watu gani?MAREHEMU alikuwa mtu wa watu ! RIP LIYUMBA
Kwa nini ?RIP ila ameishi sana dah!
Watu gani Mkuu funguka.MAREHEMU alikuwa mtu wa watu ! RIP LIYUMBA
Labda yeyeWatu gani?
Huyu ndiye alikuwa anachezea noti kama atakavyo,tuna muombea upunguziwe adhabu ya akheraView attachment 340047
Aliyekuwa Mkurugenzi na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba amefariki dunia, msiba uko nyumbani kwake maeneo ya Triple Seven, Mikocheni jijini Dar.
R.I.P
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] acha unaaRest in peace ,liyumba,taifa limepoteza mtu muhimu sana
[/QUOTE]Dah habari hizi ni za kweli??
Source ya kifo ni nini, au kale kaugonjwa ketu pendwa??
Maana kuna tetesi kuwa alikuwa carrier mzuri tu na kawasambazia wasanii wa bongo movie wa kuotosha, kwa kuwahonga magari mazuri mazuri
R.IP anyway, japo marehemu hasemwi vibaya, ila ufisadi ulioufanya BoT ni mzito mno na umeua wengi sana kwa kukosa madawa hospitalini, haki za wazee wastaafu kukosa mafao yao na mengine kibao, cha ajabu hela zote umeziacha wengine wakizitafuna.
Masikini bongo movie wamepata pengo na kubaki na sintofahamuItayobaki milele ni milimaa.. Mungu mlipe kutokana na matendo yake..
NgomaKwa nini ?
wa tanzania hasa wale wapiga madili na wapenda vya dezoWatu gani?