TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa BoT, Amatus Liyumba afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa BoT, Amatus Liyumba afariki dunia

r.i.p liyumba kuanzia sasa tutasikia meng
 
RIP..
....
Bahati ni kuwa mchepuko hauna alama..
Na hawara hana talaka.....
atakumbukwa kwa mengi hasa kwa upendo ule wa kweli wa kuchota huku na kula yeye na wengine kuwapa tena wale jinsia nyingine .akiwahurumia sana mpaka kuwapa magari na vikubwa zaidi.
Mungu atampa stahili yake kwani kaacha kumbukumbu zisizifutika kwa warembo..
 
images
Breaking News: Aliyekuwa
Mkurugenzi na Utumishi wa
Benki Kuu ya Tanzania ( BOT)
,Amatus Liyumba amefariki
dunia ,msiba uko nyumbani
kwake maeneo ya Triple
Seven,Mikocheni jijini Dar.
 
View attachment 340047
Aliyekuwa Mkurugenzi na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba amefariki dunia, msiba uko nyumbani kwake maeneo ya Triple Seven, Mikocheni jijini Dar.

R.I.P
Huyu ndiye alikuwa anachezea noti kama atakavyo,tuna muombea upunguziwe adhabu ya akhera
 
Dah habari hizi ni za kweli??

Source ya kifo ni nini, au kale kaugonjwa ketu pendwa??
Maana kuna tetesi kuwa alikuwa carrier mzuri tu na kawasambazia wasanii wa bongo movie wa kuotosha, kwa kuwahonga magari mazuri mazuri

R.IP anyway, japo marehemu hasemwi vibaya, ila ufisadi ulioufanya BoT ni mzito mno na umeua wengi sana kwa kukosa madawa hospitalini, haki za wazee wastaafu kukosa mafao yao na mengine kibao, cha ajabu hela zote umeziacha wengine wakizitafuna.
[/QUOTE]
Huo ndio ukweli mkuu maana mtu atafanya ubaya woote anao weza lakini ikifika hukumu ya maulana hakuna baunsa wala mpambe atakaye weza kukutetea
 
kafa mwezi mmoja na Sokoine,'deathmate' 🙂
 
Back
Top Bottom