Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dkt. John Pima na wenzake wameshinda rufaa ya kupinga kifungo cha miaka 20 jela

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dkt. John Pima na wenzake wameshinda rufaa ya kupinga kifungo cha miaka 20 jela

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wawili wameshinda rufaa waliyokata kupinga hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.

Hukumu hiyo imesomwa leo Ijumaa, Februari 16, 2024 na Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Fredrick Lukuna.

Mbali na Dk Pima, wengine walioachiwa huru ni aliyekuwa Mweka Hazina wa Jiji la Arusha, Mariam Mshana na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji, Innocent Maduhu.

Katika uamuzi wake huo, Lukuna amesema mahakama imeona mahakama ya chini haikuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo inayomhusu mteule wa Rais, bila kibali maalumu cha Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), hivyo kufuta hukumu iliyowatia hatiani.

Chanzo: Mwananchi
UKIFUNGWA NCHI NA HUKU UNA PESA NI UJINGA WAKO
 
Aiseee! Hii hukumu itachochea wizi na Ufisadi kwenye Halmashauri! PM Majaliwa alitembelea Arusha alijionea Ufisadi wa kutisha akiongozwa na RC Mongela! Leo Majizi yameachiwa! Waziri Mchengerwa ana kazi nzito kupambana na Majizi kwenye wizara yake! Serikali inapeleka pesa nyingi kwenye Halmashauri!
Urefu wa kamba
 
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wawili wameshinda rufaa waliyokata kupinga hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.

Hukumu hiyo imesomwa leo Ijumaa, Februari 16, 2024 na Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Fredrick Lukuna.

Mbali na Dk Pima, wengine walioachiwa huru ni aliyekuwa Mweka Hazina wa Jiji la Arusha, Mariam Mshana na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji, Innocent Maduhu.

Katika uamuzi wake huo, Lukuna amesema mahakama imeona mahakama ya chini haikuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo inayomhusu mteule wa Rais, bila kibali maalumu cha Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), hivyo kufuta hukumu iliyowatia hatiani.

Chanzo: Mwananchi
Game plan. Kosa lipo, Zalisha loophole, Nenda Rufaa shinda kesi on technicalities
 
Sasa walipelekaje kesi mahakama isiyo sahihi? Hao waliopeleka waliishia darasa la ngapi? Au ndo wanajiota learned brothers and sisters?
 
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wawili wameshinda rufaa waliyokata kupinga hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.

Hukumu hiyo imesomwa leo Ijumaa, Februari 16, 2024 na Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Fredrick Lukuna.

Mbali na Dk Pima, wengine walioachiwa huru ni aliyekuwa Mweka Hazina wa Jiji la Arusha, Mariam Mshana na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji, Innocent Maduhu.

Katika uamuzi wake huo, Lukuna amesema mahakama imeona mahakama ya chini haikuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo inayomhusu mteule wa Rais, bila kibali maalumu cha Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), hivyo kufuta hukumu iliyowatia hatiani.

Chanzo: Mwananchi
Huu ni ushahidi tosha Mahakama zetu zipo kwa ajili ya kuwashughulikia masikini tu. Matajiri na bigogo wa serikali nadhani haziwahusu.
 
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wawili wameshinda rufaa waliyokata kupinga hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.

Hukumu hiyo imesomwa leo Ijumaa, Februari 16, 2024 na Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Fredrick Lukuna.

Mbali na Dk Pima, wengine walioachiwa huru ni aliyekuwa Mweka Hazina wa Jiji la Arusha, Mariam Mshana na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji, Innocent Maduhu.

Katika uamuzi wake huo, Lukuna amesema mahakama imeona mahakama ya chini haikuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo inayomhusu mteule wa Rais, bila kibali maalumu cha Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), hivyo kufuta hukumu iliyowatia hatiani.

Chanzo: Mwananchi
Tangu lini wenye pesa na Wanasiasa wakaenda jela?

Makonda Yuko sahihi ,Mahakama ipo kuhalalisha na kubariki wezi na Wanasiasa na pia kuhukumu maskini.

Inakera sana.Maskinintafuteni pesa kutegemea Wanasiasa haiwezi kumsaidia,pesa ndio inakupa Haki huko mahakamani.Inakera sana.
 
Aiseee! Hii hukumu itachochea wizi na Ufisadi kwenye Halmashauri! PM Majaliwa alitembelea Arusha alijionea Ufisadi wa kutisha akiongozwa na RC Mongela! Leo Majizi yameachiwa! Waziri Mchengerwa ana kazi nzito kupambana na Majizi kwenye wizara yake! Serikali inapeleka pesa nyingi kwenye Halmashauri!
Hakuna mwanasiasa ambae sio fisadi huko Serikalini
 
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wawili wameshinda rufaa waliyokata kupinga hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.

Hukumu hiyo imesomwa leo Ijumaa, Februari 16, 2024 na Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Fredrick Lukuna.

Mbali na Dk Pima, wengine walioachiwa huru ni aliyekuwa Mweka Hazina wa Jiji la Arusha, Mariam Mshana na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji, Innocent Maduhu.

Katika uamuzi wake huo, Lukuna amesema mahakama imeona mahakama ya chini haikuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo inayomhusu mteule wa Rais, bila kibali maalumu cha Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), hivyo kufuta hukumu iliyowatia hatiani.

Chanzo: Mwananchi
Wawekeze nguvu zote kumbomoa Mrisho Gambo
 
Katika uamuzi wake huo, Lukuna amesema mahakama imeona mahakama ya chini haikuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo inayomhusu mteule wa Rais, bila kibali maalumu cha Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), hivyo kufuta hukumu iliyowatia hatiani.
Yaelekea wapo watu ambaohaqawwzi kushtakiwa kwa vigezo fulani. Je hao wako juu ya sheria? Ndugu zetu Wasomi tujuzeni kuhusu hilo.
 
Back
Top Bottom