ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Ivuga ni henyu, napajua![emoji12] [emoji12]Same -milima ya upare .. Mamba myamba - mpinji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivuga ni henyu, napajua![emoji12] [emoji12]Same -milima ya upare .. Mamba myamba - mpinji
Shukrani! Actually nimeisoma kwenye post moja umeielezea. Thx much!Same -milima ya upare .. Mamba myamba - mpinji
Kwani umeombwa mchango wa mazishi au umeambiwa ukachimbe kaburi kwenye msiba huu?Sasa hivi ukitumbuliwa,anza kuandaa kaburi lako, budget ya maziko yako na unda kamati ya mazishi yako! Ufisadi ufanye wewe, kufa usumbue wengine.pumbavu
Kwani umeombwa mchango wa mazishi au umeambiwa ukachimbe kaburi kwenye msiba huu?
Ni hetu avae!!Ivuga ni henyu, napajua![emoji12] [emoji12]
kumbe unawafahamu ee!! Watu wa mererani wanaenda msibani jumanne, hawa jamaa wana pesa za kufa mtu.. Tena huyu Kabwe hana kitu ukilinganisha na wadogo zake waliopo Arusha..Kumbe huyu kabwe ni wale wa mpinji?? Jamaa wana hela ni kufuru tokea miaka hiyo tuko primary. sipati picha huo msafara wa kutoka mererani utakavyoingia mamba.
Ni kufuru.
Hai hai ni.
Na wewe vua ili iwe rahisi kutekeleza hiyo ahadi akiwa nyuma ykoVp mkuu ile ahadi yako ya kutembea uchi siku tatu kama Kitwanga atatumbuliwa unaitekeleza lini?
Chanzo cha kifo waachie wenye utaalamu.Huyu maza naye ni Jipu tu
Rais wangu songa mbele, Marehemu katangulia Kwa natural dealth. Wasilete mapambio hapa
Niliishi sambweni kwa Bibi mzaa maza. Shule Primary nilisomea kambeni. Najua hiyo jumanne mamba itachafuka kwa fujo za jamaa wa madini. jeuri ya helakumbe unawafahamu ee!! Watu wa mererani wanaenda msibani jumanne, hawa jamaa wana pesa za kufa mtu.. Tena huyu Kabwe hana kitu ukilinganisha na wadogo zake waliopo Arusha..
Kutoka mererani gari zimeshaanza kusomba watu anayetaka kwenda gari zipo kwenda na kurudi... Basi kumbe wewe ni wa home ee!!! Pole na msiba..
Utakuwa ulisoma bwambo wewe
Hata kama humpendi, yafaa uwe na subra ndugu. Epuka kukimbilia kutoa hukumu, yaache yachukue mkondo wake.Mungu awafariji ninyi mliofurahia huzuni yake......
Unaomba Mungu aipumzishe roho ya mwizi? Waafrika MNA unafiki mpaka kwenye vidole!!!
Poa Dada yangu, mimi nilisoma ivuga na natokea kule kule juu kirungaya/mpinjiNiliishi sambweni kwa Bibi mzaa maza. Shule Primary nilisomea kambeni. Najua hiyo jumanne mamba itachafuka kwa fujo za jamaa wa madini. jeuri ya hela
Poa Dada yangu, mimi nilisoma ivuga na natokea kule kule juu kirungaya/mpinji
Kule mpaka sasa hivi kumeshachafuka manake sasa hivi wajukuu wa mzee mkenga kibao.. Nao wana mpunga wa maana... Si unajua vichaa wa mererani.. Ni Shida!!
Kafa na nini nikiwaza kifo hua siitaji ata kumkalipia mtu
Mkuu mi nimemwambia huyo mwanakijiji aache unafiki... Walimwita Kabwe mwizi sasa Leo anamtaka alale pema peponi si unafiki huu?Hata kama humpendi, yafaa uwe na subra ndugu. Epuka kukimbilia kutoa hukumu, yaache yachukue mkondo wake.
Aliona mbali. Yalishawatokea wengi."Rais hajatumia busara kutangaza kumsimamisha kazi Kabwe kwenye halaiki ya watu, tena nimesikia anaumwa, vipi akimsababishia mauti?"
(Maneno ya Bi Hellen Kijo-Bisimba)