TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

Status
Not open for further replies.
R.I.P marehemu W. Kabwe. Miaka uliyoishi si haba,1956_2016. Alituhumiwa kwa ufisadi, sijui vichanga ngapi walipoteza maisha bila kuonja hata maisha ya wiki kwa sababu ufisadi wetu?
 
RC Makonda alisema hawezi kufanya kazi na Mr Kabwe, itashangaza wengi endapo ataudhuria msibani. Kwani utampendaje mtu baada ya kufariki? Huo utakuwa unafiki mkubwa sana.

KWANI mtu KWENDA MSIBANI NI ISHARA YA KUMPENDA ALIYEKUFA???????

MTANZANIA ACHA MAJUNGU
 
Kibaya itakuwa ni pale Makonda atakapomsifia kabwe kwa utendaji wake.
 
Kutumbuliwa hadharani ni mtihani shekhe yataka stamala
 
R.I.P marehemu W. Kabwe. Miaka uliyoishi si haba,1956_2016. Alituhumiwa kwa ufisadi, sijui vichanga ngapi walipoteza maisha bila kuonja hata maisha ya wiki kwa sababu ufisadi wetu?
Neno kuntu
 
Presha ya kutumbuliwa hiyo. Ngoja tuone atakavyosifiwa. Utasikia "MAREHEMU ALIKUWA MCHAPA KAZI MWAMINIFU KWA UMMA NK".....R.I.P
Leo hakuna kusifiwa maana wanandugu wamekataa serikali kuleta pua zao kwenye msiba! Najiuliza wana ndugu hivi ndugu yenu alionewa? Kweli chako ni chako hta mimi ningelifanya hivyo kusema kweli , nisingeliikaribisha serikali!
 
RIP. Tusubiri tuone Makonda na bosi wake watajitetea vipi
Hahaaaaa msiban ndie anawakilisha serikali NA jamaa alikuwa ntumzuri Sana'a mchapakazi muadilifu chezea kifo
 
Ikute Makonda ndo atakuwa frontline kwenye kuaga mara ya mwisho,dah si mchezo.Ila jamani kutumbuliwa hadharani inatakiwa baadae uwaone washauri wa kisaikolojia aisee other wise waweza ondoka kabla ya siku zako[/QUOTE
 
Hawataki mtu toka serikalini kwani ndugu yao alionewa au! Serikali nayo ikigomea mambo yake nani ataumia
 
Yani very sad,hakuna aibu mbaya kama ya kuhadhirishwa hadharani,kunavitu kama huamini vitakukuta vinaweza kukuua kwa msongo wa mawazo,nilijifunza kitu katika movie ya 3idiot pale mwanafunzi alipojinyonga kisa mwalimu kumuumbua kwa kile alichokitengeza,msibani kila mtu alikua anamshtmu mwalimu tujifunze,hawa viongozi kama makonda ni jeraha tu.
Umenifanya nimeitafuta hiyo movie kamanda.......dah.....sipendagi movie za kihindi lkn hii imenigusa sana.......dogo amequite life baada ya kuumbuliwa.
 
Umenifanya nimeitafuta hiyo movie kamanda.......dah.....sipendagi movie za kihindi lkn hii imenigusa sana.......dogo amequite life baada ya kuumbuliwa.
humo teacher anagubu aifai inafunza mno,maudhui yake makuu ni jinsi urafiki wa dhati unavyotakiwa uwe.
 
huu utumbuaji ungefuata sheria tungekuwa na hakika ya hela za wananchi kurudishwa.
 
wilson%2Bkabwe.JPG


Ndugu Wilson Kabwe, aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar na baadae kusimamishwa kazi mwanzoni mwa mwezi Mei, amefariki dunia.

Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana, ila tangu awali inadaiwa alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.

=====
UPDATE: Naithibitisha taarifa hii
MTANIWIA RADHI, NIPO NJE YA MADA KIDOGO:
**USHAURI MDOGO KWA WAZIRI WA UTUMISHI**
CC: PAUL MAKONDA
UKIKATA MISHAHARA WATUMISHI WANAOCHELEWA KUFIKA KAZINI, KUNA UWEZEKANO WA KUTENGENEZA MADAWATI 10,000 KILA MWEZI KWA NCHI NZIMA:

mheshimiwa waziri, kama kuna kitu kinachokwamisha utendaji kazi kwa ufanisi na uwajibikaji miongozi mwa watumishi wa umma katika ofisi nyingi za serikali kuu,halmashauri na wilaya ni uchelewaji wa kufika kazini na suala zima la kutozingatia muda na maadili ya kazi na hii huchangiwa na ukosefu wa kamera za CCTV katika ofisi karibia zote za serikali, ambazo uwepo wake utakusaidia wewe na uongozi wako kuweza ku-monitor mienendo ya wafanyakazi kwenye kila ofisi ya serikali, halmashauri na wilaya. Kama inawezekana kwa supermarkets na maduka madogo madogo hata kwa huku mtaani kwetu kuwa na kamera za ulinzi, inashindikana vipi katika ofisi za serikali kama watu wapo serious??? bado nipo ninaandaa dodosi kamili la namna gani unaweza kutekeleza utaratibu wa namna hii kama ushauri wangu binafsi na kuweza kuzaa matunda ambayo watanzania wahatakaa kukusahau, and mark my words,
utarudisha nidhamu ya kazi kwa watumishi ofisi za serikalini for 80% na kupunguza idadi ya wanafunzi wanaosoma kwa kukaa chini for the same percentage countrywide!!!!!
 
Leo hakuna kusifiwa maana wanandugu wamekataa serikali kuleta pua zao kwenye msiba! Najiuliza wana ndugu hivi ndugu yenu alionewa? Kweli chako ni chako hta mimi ningelifanya hivyo kusema kweli , nisingeliikaribisha serikali!
serikali imehudhuria tena makonda alikuwepo!! hizo taarifa ulizocomment juzi ulizitoa wapi?? mkipelekwa mahakaman mnalalamika, kama huna uhakika na jambo kaa kimya!! nafurahi sana napoona wale wanaowekaga habari za uongo wakikamatwa na kupelekwa mahakamani, nafurahigi sanaa
 
serikali imehudhuria tena makonda alikuwepo!! hizo taarifa ulizocomment juzi ulizitoa wapi?? mkipelekwa mahakaman mnalalamika, kama huna uhakika na jambo kaa kimya!! nafurahi sana napoona wale wanaowekaga habari za uongo wakikamatwa na kupelekwa mahakamani, nafurahigi sanaa
Mimi huwa nakuona/nakuweka katika watu reasonable humu JF kumbe bure. Kwani hukusikia yule Dr. wa familia aliyetoa taarifa na baadaye juzi wakaikanusha. But what came first was that the gov will not be entertained!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom