Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BASHITE ndiye aliyemuua mzee wa watu kwa mshtuko, sijui jiwe atapooondoka madarakani bashite atahamia wapi, labda kama kishapewa uraia huko RWANDA kwa mashemeji zake jiweserikali imehudhuria tena makonda alikuwepo!! hizo taarifa ulizocomment juzi ulizitoa wapi?? mkipelekwa mahakaman mnalalamika, kama huna uhakika na jambo kaa kimya!! nafurahi sana napoona wale wanaowekaga habari za uongo wakikamatwa na kupelekwa mahakamani, nafurahigi sanaa
Tena ni bashiteBASHITE ndiye aliyemuua mzee wa watu kwa mshtuko, sijui jiwe atapooondoka madarakani bashite atahamia wapi, labda kama kishapewa uraia huko RWANDA kwa mashemeji zake jiwe
Damu ya Kabwe haita acha mtu salama, tusichukulie poa uhai wa mtuTena ni bashite
Mkuu unafukua makaburiDamu ya Kabwe haita acha mtu salama, tusichukulie poa uhai wa mtu