Aliyekuwa Mkurugenzi wa Sheria TFF amaliza utata: Asema Fei Toto amekosea, mkataba hauvunjwi kienyeji vile

Hawawezi kukuelewa.. Rage apewe pgd ya heshima kwa kweli
 
Kwani lazima kukaa na Yanga? Kwenye mkataba kuna kipengele kimesema lazima wakae chini?
 
Kwani lazima kukaa na Yanga? Kwenye mkataba kuna kipengele kimesema lazima wakae chini?
Kwani mkataba huo ambao yy anataka kuulipia alisainishwa na nani?

Kama walikaa chini kisaini basi wakae chini kuuvunja. Uzuri kuna sheria zinazo mlinda mchezaji na club anayo ichezea.
 
Kweli Mkuu. Tukumbuke Feisal kavunja contract na Yanga sio kwamba anaenda masomoni ulaya bali amevunja ili kwenda kucheza mpira timu nyingine.
 
Free Agent mwaka 1 mmoja na nusu? Mkataba unaingiwa na pande mbili na hata ukivinjwa lazima pande mbili zikae chini bila kusahau third party ambayo inataka kuvunja huo mkataba.
Zilizoingia mkataba ni pande mbili, Feisal na Yanga. Feisal ameununua mkataba kama vifungu vinavyoeleza. Wala hajasema anataka kwenda Azam au Simba! Yeye anataka kuwa huru
 
Zilizoingia mkataba ni pande mbili, Feisal na Yanga. Feisal ameununua mkataba kama vifungu vinavyoeleza. Wala hajasema anataka kwenda Azam au Simba! Yeye anataka kuwa huru
Ameununua mkataba kwa makubaliano na nani?
 
Huo mkataba saini za wahusika zipo wapi? Muhuri.......?

So ukiziona saini hao walio saini ndio wanatakiwa wakae chini ,kama walivyo kaa chini wakati wakisaini huo mkataba.
Sawa
 
Mi nilitaka kushangaa kwamba inakuwaje mtu unakaa zako magomeni mapipa unakula tambi zako na juice ya embe unaamua kuvunja mkataba kiwepesi hivi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…